Kosa walilofanya Flora na Emanuel Mbasha

Kosa walilofanya Flora na Emanuel Mbasha

Huyo Flora kwa anavyoonekana kabisa ni (Narcissist) type ya wale wanawake controlling katika uhusiano. Wanapenda kuvimba na wepesi kushikiwa akili. Yani mfano, akiwa na kipato kukuzidi ni full madharau mjengoni. Mbaya zaidi mkizoeana anakuwa so comfortable kiasi kuona mume kama mwanamke mwenziwe pale kidume anapojaribu kuwa friendly. Wanawake wa aina ya Flora wanatakiwa wakutane na wale ME makauzu kama dagaa wale hawataki mazoea. No kuchekeana yani full time mwanamke anatetemeka kwa kidume akiwa around, hapo ndo heshima ingekuwepo.

Mbasha ni nice guy, wale wanaume wapole sana wanaojua kudekeza mwanamke na kujishusha kwa mwanamke ili kumhakikishia furaha,, ndio maana combination yao haijafaa. Flora ameishia kumdharau mwenzake tu ni dhahiri maana kama inafikia hadi mwanamke anaenda tombesha nje ukajua na bado anakukazia ni zaidi ya dharau hizo. Ingawa naskia kuwa mbasha pia alikuwa mtu wa kuskilizia yani hana mishe za kueleweka town but upendo wa kweli ungetosha kuziba hilo pengo na si usaliti!

Conclusion: Briefly hawa watu hawakuwa na chemistry ila walioana kwa kigezo cha Lust.

Walihisi wamependana ila ndoa yao ya kitoto ilighubikwa na Lust na fantasy zaidi na hakukuwa na upendo wa dhati baina yao. Mbasha alikuwa mtoto hajui majukumu yake kwa ufasaha pili domo zege alieona fursa ya free papuchi ya kupiga kila aklala na kuamka na mama aliona Handsome boy, presentable atakuwa anasifiwa na anaringishia kila akikutana na mashoga zake ila hakuwa anaelewa ndoa ni comittment, you live with the characters after the lust ends. Huu ndio mtihani mama aliushindwa na ndio kiini cha yote yaliyotokea na pengine umri wake mdogo pia ulimtia jeuri.

Anyways thats life tujifunze kukubali kuishi na mapungufu ya wenzi wetu. Hivyo ndivyo pekee ndoa inaweza kudumu ila kwa kutegemea kukimbia pale nyege zenu zitapoisha after ndoa mtabaki mnacheza kwaito na kuachana kila siku. Ndoa ni agano takatifu sio ktu rahisi kile kwa wale mnaotamani halafu hamjui maana yake. After marriage ni kufunga mkanda ni lazima kaburi ndio liwatenganishe no matter the hardships as long as mwenzio hakufanyii shambulio la kukudhuru ni kuvumiliana tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ndoa haina exprience jomonii! so ni vigumu mno kuwahukumu hawa kila mtu apambane tu na mahusiano yake.Cha msingi Flora anaenjoy na ben10 wake acha ale raha.
 
Hakuna uamuzi mbaya na usio wa busara kama kuamua kuvunja ndoa kwa mambo ya kuhisi na haswa anayeamua hivyo akawa mwanamke. Gharama ya kusuluhisha ilikuwa ndogo kuliko gharama ya kuishi mkiwa mmevunja ndoa. Mbasha asitegemee kuwa kitoa albam itanunuliwa kama zamani ni vema akapate uzoefu kwa Beatrice Mhone. Alikuwa na heshima alipokuwa na Imma kuliko huko alikokwenda kukadanganya katoto ka watu na kukaita mume. Yetu macho na time will tell
kwani naye beatrice mhone aliaachcana na mumewe au ilikuwaje?
 
Ndoa haina exprience jomonii! so ni vigumu mno kuwahukumu hawa kila mtu apambane tu na mahusiano yake.Cha msingi Flora anaenjoy na ben10 wake acha ale raha.
Success is predictable and failure is also predictable. Ukikubali kushuka na kumwelewa mwenza wako ni lazima ndoa yako itafanikiwa tu hata kama ana madhaifu gani: lakini ukifunga ndoa kinyume na taratibu ambazo Mungu kaziweka kisa kulipiza kisasi au kuogopa upweke nakuhakikishia ndoa hiyo haikai kabisa.

Nje atakuwa anajifanya anaendelea vizuri lakini ukweli toka ndani ya moyo wake ni kwamba hana furaha kabisa. Na ndiyo wadada wengi huwa wanateseka sana na hili, wako radhi waonekane wana ndoa tu hata kama ni mbaya na ina maumivu.

Maumivu na changamoto kwenye ndoa Flora siyo wa kwanza kupata hapa duniani. Isitoshe Flora yeye ni mtumishi wa Mungu tulitegemea mtazamo wake wa kimaisha utakuwa tofauti kabiaa na wale wadada wamjini wanaoshinda Saluni au kwenye mtandao 24/7.

Kuna kipindi ndoa inaweza ikakupa changamoto balaa, lakini tunavumiliana sana na tunajitahidi kuyamaliza mambo kiutu uzima na kuangalia maslahi yenu mapana.

NB: Hakuna raha yoyote kuishi nje ya mapenzi ya Mungu. Hakunaaa, ni kujidanganya tu.
 
View attachment 617475

KOSA KUBWA ALILOFANYA EMMANUEL MBASHA KWA FLORA.

1. Gwajima hakuwa na mahusiano na mkewe.
2. Alimsapoti na kumuamini kupita kiasi na kumuachia maamuzi ya familia.
3. Marafiki zake aliwapa nafasi kubwa sana kwa mkewe.

KOSA KUBWA ALILOFANYA FLORA KWA EMANUEL MBASHA.

1. Alidanganya hata kwenye ukweli.
2. Alikimbilia kuolewa kabla ya suluhu na kufunga ndoa ingine kanisani.
3. Aliwahi sana kudai talaraka.
4. Aliharibu kumbambika kesi mmewe kisa wana mgogoro.
5. Marafiki aliwapa nafasi kubwa ya kumshauri kuliko kusikiliza nafsi yake.
6. Amemuwekea vikwazo mmewe ili ndoa yake mpya isivunjike.

CHANGAMOTO.

1. Emmanuel Mbasha sasa anaishi maisha magumu sana kwa ukata wa pesa.
2. Flora ndoa yake mpya haitadumu kabisa.
Yule mtoto ni wa nani?
 
Anyways thats life tujifunze kukubali kuishi na mapungufu ya wenzi wetu. Hivyo ndivyo pekee ndoa inaweza kudumu ila kwa kutegemea kukimbia pale nyege zenu zitapoisha after ndoa mtabaki mnacheza kwaito na kuachana kila siku. Ndoa ni agano takatifu sio ktu rahisi kile kwa wale mnaotamani halafu hamjui maana yake. After marriage ni kufunga mkanda ni lazima kaburi ndio liwatenganishe no matter the hardships as long as mwenzio hakufanyii shambulio la kukudhuru ni kuvumiliana tu.[/SIZE]

You are extremely smart brother!
Good for you to have known these stuff at your age. Huwa nawaangalia sana hawa vijana wa sasa, nawaambia kwamba hakuna ndoa kama zile za Romeo and Julieth. Ukiingia utakutana na changamoto ngumu sana ambazo hukuwahi tegemea.

Ukiwa kichwa panzi ni lazima utakimbia tu na kuvunja ndoa yako bure. Ukiwa mwelewa na mvumilivu utakuja kula mema ya nchi. Kuna kipindi mnaweza hata kulala kitanda kimoja hata hutaki kumsikia akiongea, yaani ukisikia hata harufu yake unatamani kumrushia nje ya dirisha. Lakini ndiyo hivyo mnayatatu kiutu uzima tu, na mnajikuta mmerudi kwenye hali ya kawaida
 
Success is predictable and failure is also predictable. Ukikubali kushuka na kumwelewa mwenza wako ni lazima ndoa yako itafanikiwa tu hata kama ana madhaifu gani: lakini ukifunga ndoa kinyume na taratibu ambazo Mungu kaziweka kisa kulipiza kisasi au kuogopa upweke nakuhakikishia ndoa hiyo haikai kabisa.

Nje atakuwa anajifanya anaendelea vizuri lakini ukweli toka ndani ya moyo wake ni kwamba hana furaha kabisa. Na ndiyo wadada wengi huwa wanateseka sana na hili, wako radhi waonekane wana ndoa tu hata kama ni mbaya na ina maumivu.

Maumivu na changamoto kwenye ndoa Flora siyo wa kwanza kupata hapa duniani. Isitoshe Flora yeye ni mtumishi wa Mungu tulitegemea mtazamo wake wa kimaisha utakuwa tofauti kabiaa na wale wadada wamjini wanaoshinda Saluni au kwenye mtandao 24/7.

Kuna kipindi ndoa inaweza ikakupa changamoto balaa, lakini tunavumiliana sana na tunajitahidi kuyamaliza mambo kiutu uzima na kuangalia maslahi yenu mapana.

NB: Hakuna raha yoyote kuishi nje ya mapenzi ya Mungu. Hakunaaa, ni kujidanganya tu.
Umeandika ukweli mtupu!
 
View attachment 617475

KOSA KUBWA ALILOFANYA EMMANUEL MBASHA KWA FLORA.

1. Gwajima hakuwa na mahusiano na mkewe.
2. Alimsapoti na kumuamini kupita kiasi na kumuachia maamuzi ya familia.
3. Marafiki zake aliwapa nafasi kubwa sana kwa mkewe.

KOSA KUBWA ALILOFANYA FLORA KWA EMANUEL MBASHA.

1. Alidanganya hata kwenye ukweli.
2. Alikimbilia kuolewa kabla ya suluhu na kufunga ndoa ingine kanisani.
3. Aliwahi sana kudai talaraka.
4. Aliharibu kumbambika kesi mmewe kisa wana mgogoro.
5. Marafiki aliwapa nafasi kubwa ya kumshauri kuliko kusikiliza nafsi yake.
6. Amemuwekea vikwazo mmewe ili ndoa yake mpya isivunjike.

CHANGAMOTO.

1. Emmanuel Mbasha sasa anaishi maisha magumu sana kwa ukata wa pesa.
2. Flora ndoa yake mpya haitadumu kabisa.


Kisandu leo umekuja kama kivingine sana....Big Up
 
You are extremely smart brother!
Good for you to have known these stuff at your age. Huwa nawaangalia sana hawa vijana wa sasa, nawaambia kwamba hakuna ndoa kama zile za Romeo and Julieth. Ukiingia utakutana na changamoto ngumu sana ambazo hukuwahi tegemea.

Ukiwa kichwa panzi ni lazima utakimbia tu na kuvunja ndoa yako bure. Ukiwa mwelewa na mvumilivu utakuja kula mema ya nchi. Kuna kipindi mnaweza hata kulala kitanda kimoja hata hutaki kumsikia akiongea, yaani ukisikia hata harufu yake unatamani kumrushia nje ya dirisha. Lakini ndiyo hivyo mnayatatu kiutu uzima tu, na mnajikuta mmerudi kwenye hali ya kawaida
Asante mkuu,i intended to learn jinsi ya kuishi katika ndoa.. I once did live with my woman for about 8 months. Mwanzo mambo yalikuwa raha tupu na tulienda sawa sana ila kuna kipindi ilifika i had to be very rigid. Niliexperience very bad treatment toka kwake ile hali ya caring ilimuisha kabisa akawa ananikera sana. Siku give up because nilitaka kujifunza what it feels kuwa katika ndoa. Aisee mtihani haukuwa rahisi japo niliyashinda yale magumu at last alirudi akawa mpole tukazidi elewana zaidi.

Inahitaji moyo wa chuma kuishi na mwanamke kwa kweli. Wenye roho nyepesi ndoa zitawatia uwazimu jamani. Kuishi na kero za mke ni hatari sana. I could imagine wale waliooa kabisa jinsi ambavyo wanakereka na hizo tabu za KE.
 
Huyo Flora kwa anavyoonekana kabisa ni (Narcissist) type ya wale wanawake controlling katika uhusiano. Wanapenda kuvimba na wepesi kushikiwa akili. Yani mfano, akiwa na kipato kukuzidi ni full madharau mjengoni. Mbaya zaidi mkizoeana anakuwa so comfortable kiasi kuona mume kama mwanamke mwenziwe pale kidume anapojaribu kuwa friendly. Wanawake wa aina ya Flora wanatakiwa wakutane na wale ME makauzu kama dagaa wale hawataki mazoea. No kuchekeana yani full time mwanamke anatetemeka kwa kidume akiwa around, hapo ndo heshima ingekuwepo.

Mbasha ni nice guy, wale wanaume wapole sana wanaojua kudekeza mwanamke na kujishusha kwa mwanamke ili kumhakikishia furaha,, ndio maana combination yao haijafaa. Flora ameishia kumdharau mwenzake tu ni dhahiri maana kama inafikia hadi mwanamke anaenda tombesha nje ukajua na bado anakukazia ni zaidi ya dharau hizo. Ingawa naskia kuwa mbasha pia alikuwa mtu wa kuskilizia yani hana mishe za kueleweka town but upendo wa kweli ungetosha kuziba hilo pengo na si usaliti!

Conclusion: Briefly hawa watu hawakuwa na chemistry ila walioana kwa kigezo cha Lust.

Walihisi wamependana ila ndoa yao ya kitoto ilighubikwa na Lust na fantasy zaidi na hakukuwa na upendo wa dhati baina yao. Mbasha alikuwa mtoto hajui majukumu yake kwa ufasaha pili domo zege alieona fursa ya free papuchi ya kupiga kila aklala na kuamka na mama aliona Handsome boy, presentable atakuwa anasifiwa na anaringishia kila akikutana na mashoga zake ila hakuwa anaelewa ndoa ni comittment, you live with the characters after the lust ends. Huu ndio mtihani mama aliushindwa na ndio kiini cha yote yaliyotokea na pengine umri wake mdogo pia ulimtia jeuri.

Anyways thats life tujifunze kukubali kuishi na mapungufu ya wenzi wetu. Hivyo ndivyo pekee ndoa inaweza kudumu ila kwa kutegemea kukimbia pale nyege zenu zitapoisha after ndoa mtabaki mnacheza kwaito na kuachana kila siku. Ndoa ni agano takatifu sio ktu rahisi kile kwa wale mnaotamani halafu hamjui maana yake. After marriage ni kufunga mkanda ni lazima kaburi ndio liwatenganishe no matter the hardships as long as mwenzio hakufanyii shambulio la kukudhuru ni kuvumiliana tu.
Umetuliza akili mzee,hongera.
Huyo Flora kwa anavyoonekana kabisa ni (Narcissist) type ya wale wanawake controlling katika uhusiano. Wanapenda kuvimba na wepesi kushikiwa akili. Yani mfano, akiwa na kipato kukuzidi ni full madharau mjengoni. Mbaya zaidi mkizoeana anakuwa so comfortable kiasi kuona mume kama mwanamke mwenziwe pale kidume anapojaribu kuwa friendly. Wanawake wa aina ya Flora wanatakiwa wakutane na wale ME makauzu kama dagaa wale hawataki mazoea. No kuchekeana yani full time mwanamke anatetemeka kwa kidume akiwa around, hapo ndo heshima ingekuwepo.

Mbasha ni nice guy, wale wanaume wapole sana wanaojua kudekeza mwanamke na kujishusha kwa mwanamke ili kumhakikishia furaha,, ndio maana combination yao haijafaa. Flora ameishia kumdharau mwenzake tu ni dhahiri maana kama inafikia hadi mwanamke anaenda tombesha nje ukajua na bado anakukazia ni zaidi ya dharau hizo. Ingawa naskia kuwa mbasha pia alikuwa mtu wa kuskilizia yani hana mishe za kueleweka town but upendo wa kweli ungetosha kuziba hilo pengo na si usaliti!

Conclusion: Briefly hawa watu hawakuwa na chemistry ila walioana kwa kigezo cha Lust.

Walihisi wamependana ila ndoa yao ya kitoto ilighubikwa na Lust na fantasy zaidi na hakukuwa na upendo wa dhati baina yao. Mbasha alikuwa mtoto hajui majukumu yake kwa ufasaha pili domo zege alieona fursa ya free papuchi ya kupiga kila aklala na kuamka na mama aliona Handsome boy, presentable atakuwa anasifiwa na anaringishia kila akikutana na mashoga zake ila hakuwa anaelewa ndoa ni comittment, you live with the characters after the lust ends. Huu ndio mtihani mama aliushindwa na ndio kiini cha yote yaliyotokea na pengine umri wake mdogo pia ulimtia jeuri.

Anyways thats life tujifunze kukubali kuishi na mapungufu ya wenzi wetu. Hivyo ndivyo pekee ndoa inaweza kudumu ila kwa kutegemea kukimbia pale nyege zenu zitapoisha after ndoa mtabaki mnacheza kwaito na kuachana kila siku. Ndoa ni agano takatifu sio ktu rahisi kile kwa wale mnaotamani halafu hamjui maana yake. After marriage ni kufunga mkanda ni lazima kaburi ndio liwatenganishe no matter the hardships as long as mwenzio hakufanyii shambulio la kukudhuru ni kuvumiliana tu.
 
View attachment 617475

KOSA KUBWA ALILOFANYA EMMANUEL MBASHA KWA FLORA.

1. Gwajima hakuwa na mahusiano na mkewe.
2. Alimsapoti na kumuamini kupita kiasi na kumuachia maamuzi ya familia.
3. Marafiki zake aliwapa nafasi kubwa sana kwa mkewe.

KOSA KUBWA ALILOFANYA FLORA KWA EMANUEL MBASHA.

1. Alidanganya hata kwenye ukweli.
2. Alikimbilia kuolewa kabla ya suluhu na kufunga ndoa ingine kanisani.
3. Aliwahi sana kudai talaraka.
4. Aliharibu kumbambika kesi mmewe kisa wana mgogoro.
5. Marafiki aliwapa nafasi kubwa ya kumshauri kuliko kusikiliza nafsi yake.
6. Amemuwekea vikwazo mmewe ili ndoa yake mpya isivunjike.

CHANGAMOTO.

1. Emmanuel Mbasha sasa anaishi maisha magumu sana kwa ukata wa pesa.
2. Flora ndoa yake mpya haitadumu kabisa.
Kisandu umepona baba..! Leo unaeleweka kabisa au mwezi bado haujaandama??
 
Back
Top Bottom