Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Unaonekana una hasira sana mkuu,pole sana!! Hakuna kitu kigumu kama kuishi na mtu mwenye gubu na kisirani
Sio mchezo kiukweli kipindi hata sijamuoa ungeambiwa ana hizi tabia usingeamini
 
Yupo kwao sahivi navyoongea hapa nimemuambia akae huko kwao hadi siku atakapobadilika na asirudi tena kwangu hadi siku atakapojifunza watoto napambana nao mwenyewe wala sio shida

Safi sana
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Daah broo asante sana nimekusoma mwamba
 
Pole, yalinipata mpaka nilichanganyikiwa, nilimpeleka mahakamani, hakimu akamuuliza mke wangu kama bado anahitaji ndoa, eti akasema bado ananitaka, hakimu akamwambia labda anania na kitu kingine ila sio ndoa. Maana hakimu (tena ni mwanamke) alimshangaa mwanamke mwenzake kwa yale anayoyafanya kwenye ndoa, mwishoalitoa hukumu ya kuvunja ndoa. Mpaka nimenenepa aisee, mwanamke anakutesa mpaka uwaza kutenda jinai
Daah pole sana mkuu mimi nimemvumilia kanitesa sana kuna vitu nikiandika huku hamtoamini
 
Huwa anaonesha gubu na kiburi ukimfanyia nini?ama ni kila siku zote na muda wote yuko hivyo?

Miaka sita ni mingi kumvumilia mtu wa namna hiyo....
Kila kitu yeye ni gubu tu na kiburi ana kiburi kibaya sijapata ona
 
Mpeleke likizo ya bila malipo miezi 6 tena mrudishe kwao. Unajua zama za Nyerere kuwekwa kizuizini. Hakikisha hatoki kwao kbs akitoka subject to talaka. Halafu punguza kumpenda sana kama umeajiliwa omba uhamisho muache hapo kwenu ukifika huko unavuta chombo ya rangi ya mtume unatuliza ndani. Ukicheka nae atakubanika na pasi ya moto mgongoni.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Yupo kwao tayar na nimewaambia ndugu zake kwamba sitaki kumuona
 
Pole sana Mkuu kila la heri katika kufanya maamuzi muafaka. Hadi umekuja kuandika humu basi bila ya shaka maji yamekufika kwa shingo.
Mkuu BAK huu ni mtihani mzito sana napitia sasa hivi naowawazia ni wanangu tu kwamba wataishi malezi gani bila wazazi wawili
 
Kuna jamaa yangu, mke wake alimsumbua sana, nilimpa ushauri ambao leo ananishukuru sana, nilimwambia aende mahakani afanye process zote za talaka huku anamuangalia mwenendo wake, alifumgua shauri la kumpa talaka mke wake, mke wake hakuamini siku analetewa wito wa kufika kwenye shauri, alilia sana.

Alipungua uzito mpaka huruma ilinijia ila nilimwambia dogo komaa hawa watu sio wakiwaonea huruma kirahisi hivyo, shauri liliendelea mpaka talaka ikatoka siku hiyo ilikuwa ngumu sana kwa mwanmke alizimia, hakuamini walikuja ndugu kibao wa mwanamke kumuombea msamaha.

Basi tuliongea na hakimu tukamweleza tunaomba mahama ihold hukumu wakati tunafuatilia mwenendo wa mke wake, mahakama ilikubali, mpaka leo mwamke amebadilika sana sana.

Sikushauri sana hili ila wewe angalia la kufanya
Wazo zuri sana kaka...[emoji1317][emoji1317]
 
Unaweza kuoa ukakuta huyo uliyemuoa ndiye mwenye Tabia mbaya kuliko huyo wa kwanza, alafu kuoa mke wa pili ni dhambi mbele za Mungu, unajikatia tiketi ya moja kwa moja kwenda jehannum ya moto! Hapo mwenye matatizo ni wewe wala sio huyo mwanamke , mwanamke yupo chini mwanaume siku zote, umesema unamtimizia kila kitu hapo ndo kosa lako lilipo mkuu! Mwanamke lazima kuishi Naye kwa akili mno! Na ujitahidi asikusome jinsi ulivyo! Wewe huyo mwanamke wako umemzoesha vibaya na amekusoma kuwa wewe ni baba usiye na maamuzi, huna msimamo, mpole mno, hivyo yeye amechukua nafasi yako, ukiwa mwanaume lazima uweke sheria za nyumba yako au familia yako na zifuatwe mkuu!! Haijalishi ni mwanamke wa namna gani akikuona wewe hutabiriki atakuheshimu tu! Mfano
1;Mwanamke ana marafiki wa ajabuajabu na wewe upo tu unaangalia
2: mwanamke kila mara anaenda kwao au kwa ndugu zake hili ni tatizo kubwa mkuu ukiliruhusu tu umeisha
3: mwanamke kila sherehe anaenda hata sherehe ambazo hazina maana anaenda ukimruhusu mwanamke wako kufanya hivyo umeisha mkuu
4: vikundi mbalimbali, mfano vikoba hivyi vikundi ni vizuri lakini ukimwendeleza mke wako kwa kila kikundi anaingia umeishi mkuu
5: jitahidi kufanya kile unachopenda wewe hata kama yeye hataki mzoeshe hivyo mfano mda wa kurudi nyumbani
6: sio kila hela Akiomba lazima mpe zingine jaribu kumute alafu unakuja unampa siku ambayo hajakuomba!
Alafu mkuu Simamia sheria zako! Wanawake wote wanafanana tatizo ni uongozi tu wa mwanaume!
Huyu wangu too much kwa kweli
 
Inaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
Huwa nampiga show hadi anaomba "poo" yeye mwenyewe katika hii idara nipo vizuri sana madam
 
Ndoa za siku hizi watu huchokana haraka sana kwa sababu wana ndoa wengi wanalala kwenye kitanda kimoja tangu January mpaka December.
Tangu nakua, kwenye chumba cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili. Baba chake, mama chake. Yani hii nadhani husaidia kumuona mwenzako 'mpya' wakati unapojumuika naye.
Tangu yaanze kuingia haya mavitanda ya 'sita kwa sita' nadhani hapa ndipo ndoa nyingi zilipoanza kuingia shubiri.
Hata pilau japo tamu, ukifungiwa nayo chumbani tangu asubuhi mpaka jioni, itakuboa tuu.
Wanandoa wanatakiwa wabadilike. Wapunguze kuwa karibu sana wakati wote. Hii hufanya watu kuchokana haraka na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika mapema.
Huwa nawaambia vijana, ukitaka ndoa yako idumu, ufurahie tendo na kupunguza kuchepuka, lala kitanda tofauti na mwenzi wako siku zote isipokuwa tu pale mnapohitajiana kujumuika.
Hata mimi mzee na mama wana vitanda tofauti toka nakua
 
Kama watoto wote watatu ni wakwako huyo mwanamke usimwache,
Mlipotoka ni mbali saana mpaka kufika hapo

Najua unavyoumia mzee mwenzangu lakini kumbuka na wewe una madhaifu yako hakuna aliyeumbwa amekamilika
lakini mama mtu kayabeba Kama yalivyo

Vumilia, penda ,heshimu, huyo mke naamini yuko vzr kuliko kwenda kuanza upya
Sawa sawa mkuu
 
Brother, just move on immediately. Don't be inactive in connection to ongoing situation. Lemme remind you that Life is too short to be stressed.

There's no need of having a moronic woman in your life. A woman who doesnt respect you, your hustle etc. We do really deserve the best brother but not what you are going through.

Regarding the issues, let her stay with them but make sure you support them accordingly.
Great advice.....[emoji1317][emoji1317]
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
Oa mke2 mwengin ila huyo ucmuache kongozi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]eti unanizimikia kuhegendewa ni hitaji la mwili ka msosi so to some extent ni muhimu
Nakupenda bure yaani unakuwa muwazi.
Hata mie napenda Sana mtu anayejiachia na anafanya Kama hitaji la mwili wake ulivyo na hitaji
 
Back
Top Bottom