mkuu umetoa povuWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
[emoji23][emoji23]an idle mind husema sijui ni devil's house if I'm correct Sasa unamlisha mkeo ma vyakula una mfuga ndani ana shida hayuko busy Matokeo anawaza ngono akichepuka anakutana na wanaume waliokula vumbi la Kongo huku wewe hukojoa dakika 1 unategemea asiwe jeuri, hafu na ubusy wako anaamua kwenda kwa manabii kuombewa kule anadaganywa unategemea ndoa isife?Wewe mtoto visa sana 😀 😀
yooo yoooo. I'm going to keep this advice for the rest of my life.Kuna jamaa yangu, mke wake alimsumbua sana, nilimpa ushauri ambao leo ananishukuru sana, nilimwambia aende mahakani afanye process zote za talaka huku anamuangalia mwenendo wake, alifumgua shauri la kumpa talaka mke wake, mke wake hakuamini siku analetewa wito wa kufika kwenye shauri, alilia sana.
Alipungua uzito mpaka huruma ilinijia ila nilimwambia dogo komaa hawa watu sio wakiwaonea huruma kirahisi hivyo, shauri liliendelea mpaka talaka ikatoka siku hiyo ilikuwa ngumu sana kwa mwanmke alizimia, hakuamini walikuja ndugu kibao wa mwanamke kumuombea msamaha.
Basi tuliongea na hakimu tukamweleza tunaomba mahama ihold hukumu wakati tunafuatilia mwenendo wa mke wake, mahakama ilikubali, mpaka leo mwamke amebadilika sana sana.
Sikushauri sana hili ila wewe angalia la kufanya
TRUE 100% ....HATA MIMI YALINIKUTA NA NIKAJUA KWAMBA NIMESHAKOSEA....KILICHOKUA KINATAKA KUTOKEA NI MMOJA KUFA NA MWINGINE KUFUNGWA MAISHA AU KUNYONGWA...BAADA YA KUFIKIRIA JUU YA WATOTO WANGU WATATU , BASI NIKAKUBALI YAISHE..SASA NI MIAKA MITANO WOTE TUPO HAI LAKINI KILA MMOJA ANA MAISHA YAKE ILA WATOTO TUNALEA KWA PAMOJA NA KWA NGUVU ZOTEPiga chini atakuja kukuuwa huyo au kukupeleka jela kwa kuuwa
Ndicho kinachotupoteza hichoInamaana hzo tabia ameanza kuonesha baada ya kuzaa tena watoto watatu wote....?
Au ulikuwa unajifariji hapo kabla kwamba atabadirika...?
OkayNakuomba inbox mdada kama hutojali
Mapenzi yama tafsiri pana ndugu, shida ya mwanamke alikuwa na wivu uliopitiza pia alikuwa anataka kumtawala jamaa so alipambana kwa gharama zozote ili jamaa awe down , baada ya kufanikisha zoezi letu hilo mwanamke ametuliaIla hapa kuna shida...ina maana hakuna love Ila no kuogopa talaka na maisha baada ya talaka ama
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Mpeleke kwenye vikao cya chamaWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
Mm nilipiga chini faster.Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mr Liverpool anazidi kujizolea points tuu🙂
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji134][emoji134][emoji134]Nasoma hili andiko huku kiwimbo flani hivi cha taarabu kinaimba kichwani “mwanamke jeuri dawa yake muibie mumewe”
Pole sana mkuu
[emoji134][emoji134][emoji134]ikiwa si mzinifu komaa nae kabisaa usimuache.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh, watu mna ushauri mbaya!
[emoji134][emoji134][emoji134]Mkuu ukiona mke anakuwa na gubu, kiburi, makasiriko ya hapa na pale, hasira tambua kuwa haumkazi inavyotakiwa aisee.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulishawahi kukojoa palipoandikwa usikojoe hapa..? Halafu wameweka alama ya mkasi na mayai mawili!.
Sasa we endelea kusema kosea vyote! nyengine hizi ni siri za mtu binafsi mkuu lea familia yako kwa upendo sijaona kosa hapo hayo ni mambo mbalimbali tu, tuliokosea tumekaa kimya sio kwamba hatuna vya kusema.
🙄[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]