Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,689
Pole, yalinipata mpaka nilichanganyikiwa, nilimpeleka mahakamani, hakimu akamuuliza mke wangu kama bado anahitaji ndoa, eti akasema bado ananitaka, hakimu akamwambia labda anania na kitu kingine ila sio ndoa. Maana hakimu (tena ni mwanamke) alimshangaa mwanamke mwenzake kwa yale anayoyafanya kwenye ndoa, mwishoalitoa hukumu ya kuvunja ndoa. Mpaka nimenenepa aisee, mwanamke anakutesa mpaka uwaza kutenda jinaiWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Shemeji lazma atakua msambaa au mpareMleta Mada Kabila gani shemeji ??
Frankly asking out of curiousity, no
Offence.
Kuna kitu nitasema il nijibu kwanza
Mtafute MUNGU wa kweli ukimpata utaridhika lahsivyo sahau kuridhika, Duniani tunapita tu imagine Kila kitu utakachotaka Sasa hivi unakipata, Je, unafikiri utakuwa na furaha??? hapana, hii ni kwa sababu utakuwa overstressed kwa ajili utakuwa ukiwaza tu Kuwa kilichobaki ni kifo[emoji23][emoji23][emoji23] Jambo ambalo laweza kukunyima raha kabisa.Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Msambaa Wa Shume, Mtae, Mlalo, Mlola,Ni msambaa ??
Huwa anaonesha gubu na kiburi ukimfanyia nini?ama ni kila siku zote na muda wote yuko hivyo?Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Ukimuacha, watoto watalelewa na Nani? Umeona mapungufu yake wewe huna mapungufu???Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Ukishakuwa na hela unaanza kuwaza kuhusu afya yako na namna ya kukiepuka kifo.yaani mtu angenunua kutokufa.Mtafute MUNGU wa kweli ukimpata utaridhika lahsivyo sahau kuridhika, Duniani tunapita tu imagine Kila kitu utakachotaka Sasa hivi unakipata, Je, unafikiri utakuwa na furaha??? hapana, hii ni kwa sababu utakuwa overstressed kwa ajili utakuwa ukiwaza tu Kuwa kilichobaki ni kifo[emoji23][emoji23][emoji23] Jambo ambalo laweza kukunyima raha kabisa.
Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
ushauri kama huu umenigharimu sana.Si kweli ,kama anazingua ni kuachana naye na kutafuta chombo kipya,yanini ujipe stress? kama mna watoto wapeleke kwa bibi yao/shangazi ,watafutie Mercury(Hg) awahudumie!
Umeeleweka [emoji419]Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
ushauri kama huu umenigharimu sana.