Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Endelea kuila nchi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnawazaga kumake sex tu, sio kila mwanamke analizishwa na sex tu mnakariri sana ndiyo maana NDOA zenu zinawashinda peupee, zinaingiliwa na kidudu mtu gubuMkuu ukiona mke anakuwa na gubu, kiburi, makasiriko ya hapa na pale, hasira tambua kuwa haumkazi inavyotakiwa aisee.
Shida mnapiga makofi sana wake zenuWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Watu wakishachokana wanaweza hata kutiana kisu, kuepusha mauaji ugomvi wa kila siku ni heri separationSiupendi huu ushauri....there is always second chance.
Ndiyo hivyo mbaya zaidi ukute hiyo couple wanakunywa pombe aisehh ugomvi ukianza mtu anakula mkong'oto wa kutosha vunjavunja vituBora kuachana kuliko kuvumilia ujinga ujinga, mnatunza visasi moyoni mwisho mnachinjana.
Daaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna Msambaa mmoja nilioa ni familia ina gubu hatari. Kaka akaja kutoa nguo.za dada yake ndani nikaona hakuna familia kuna wazimu sikuhangaika nao kbs.Ni msambaa ??
Mtandike promotion, ila ujiandae maana ataenda kula kozi za uloziWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Mr Liverpool anazidi kujizolea points tuu🙂
Kila nikitaka KUOA nafsi inasita ...
Hua mkishauriwa msioe mnadhani watu hawawapendi.
Ona sasa yanayowakuta.
Senior Bachelors tunapita na kucheka hiiiiiiiiiiiiii
Liverpool VPN [emoji276]
Yaani home and away kabisa
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
UNAMKOJOZA? Pengine hilo ndo analokosa. Weka namba Yake hapa tuone anasaidiwajeWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Hahaaaaa mkuu wote tu wake zetu wako hivyohivyo yaani hawa huwa ni mapacha, hata ukioa mungine ndio atakuwa zaidi mark my words. Tuliambiwa tuishi nao kwa akili mkuuWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Huu ushauri haufai, yaani watoto azae yeye halafu awapeleke kwa bibi yao kweli?, Bibi alishatimiza wajibu wake wa kumlea yeye,sasa hivi ni zamu yake kulea wanae aliowazaa kutoka ktk kiuno chake.Tuache kuwatwisha mizigo Wazee.Si kweli ,kama anazingua ni kuachana naye na kutafuta chombo kipya,yanini ujipe stress? kama mna watoto wapeleke kwa bibi yao/shangazi ,watafutie Mercury(Hg) awahudumie!
Bavicha na ndoa wapi na wapi mbowe,slaa, mnyika mnakuwa wanahakati hadi kwenyendoaWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu