Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Shida mnapiga makofi sana wake zenu
 
Mpeleke likizo ya bila malipo miezi 6 tena mrudishe kwao. Unajua zama za Nyerere kuwekwa kizuizini. Hakikisha hatoki kwao kbs akitoka subject to talaka. Halafu punguza kumpenda sana kama umeajiliwa omba uhamisho muache hapo kwenu ukifika huko unavuta chombo ya rangi ya mtume unatuliza ndani. Ukicheka nae atakubanika na pasi ya moto mgongoni.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Kama wadau walivyopendeza, nami nawaunga mkono
Mtandike promotion, ila ujiandae maana ataenda kula kozi za ulozi
 
Mr Liverpool anazidi kujizolea points tuu🙂

Kila nikitaka KUOA nafsi inasita ...

Hua mkishauriwa msioe mnadhani watu hawawapendi.

Ona sasa yanayowakuta.

Senior Bachelors tunapita na kucheka hiiiiiiiiiiiiii


Yaani home and away kabisa

Hivi huu UCHAWI UMEUELEWA?
Yaani NDOA imemletea MAJANGA halafu ANATAKA KUOA TENA...!!!

Kuna RAIA WABISHI.

Tunawaambia MSIOEEE ila HAWAELEWII.

Kilichobaki unawaangalia na kucheka "Hiii BAGOSHAAAA"

#YNWA
 
Pole sana Mkuu kila la heri katika kufanya maamuzi muafaka. Hadi umekuja kuandika humu basi bila ya shaka maji yamekufika kwa shingo.

 
UNAMKOJOZA? Pengine hilo ndo analokosa. Weka namba Yake hapa tuone anasaidiwaje
 
Hahaaaaa mkuu wote tu wake zetu wako hivyohivyo yaani hawa huwa ni mapacha, hata ukioa mungine ndio atakuwa zaidi mark my words. Tuliambiwa tuishi nao kwa akili mkuu
 
Si kweli ,kama anazingua ni kuachana naye na kutafuta chombo kipya,yanini ujipe stress? kama mna watoto wapeleke kwa bibi yao/shangazi ,watafutie Mercury(Hg) awahudumie!
Huu ushauri haufai, yaani watoto azae yeye halafu awapeleke kwa bibi yao kweli?, Bibi alishatimiza wajibu wake wa kumlea yeye,sasa hivi ni zamu yake kulea wanae aliowazaa kutoka ktk kiuno chake.Tuache kuwatwisha mizigo Wazee.
 
Bavicha na ndoa wapi na wapi mbowe,slaa, mnyika mnakuwa wanahakati hadi kwenyendoa

USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…