Kosea vyote, usikosee mume

Kosea vyote, usikosee mume

Nae mume hubadilishwa vizuri...ukikosea sepa
Lkn weye Momye! nakukubali sana, tena sana na km yupo atakae kosea kwako tutamuweka kwenye jumba la makumbusho! njoo basi in box nkwambie kitu flani hivi! usimwambie ntu lkn!
 
Kosea yote usikosee mke wa kuowa
Mfano tu uyu mtoa mada wengine wazazi wetu especially mama wameishi kwa shidah sana ili tusome tufanikiwe leo unafanikiwa unataka wew uishi vzr kabla ya yeye.ujui mama kapigana Vita gani na mimi.mama mzazi anastaili raha zote kabla ya kupata raha wew mke

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Mpe mama yako raha zote anazostaili kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, mama atabaki kua mama na mke atabaki kua mke, baada ya kuoa familia yako kwanza ndio ndugu zako, familia yako nikimaaniasha mke au mme na watoto.
Ata ikitokea mke na mama wote wanaumwa kwa wakati mmoja na uko na limited fund utaitumia kumtibu mkeo kwanza huku ukiendelea kuomba neema juu ya matibabu ya mama.
 
Lkn weye Momye! nakukubali sana, tena sana na km yupo atakae kosea kwako tutamuweka kwenye jumba la makumbusho! njoo basi in box nkwambie kitu flani hivi! usimwambie ntu lkn!
Sawa baba😂
 
Mpe mama yako raha zote anazostaili kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, mama atabaki kua mama na mke atabaki kua mke, baada ya kuoa familia yako kwanza ndio ndugu zako, familia yako nikimaaniasha mke au mme na watoto.
Ata ikitokea mke na mama wote wanaumwa kwa wakati mmoja na uko na limited fund utaitumia kumtibu mkeo kwanza huku ukiendelea kuomba neema juu ya matibabu ya mama.
sio kwa me hawa tulionao
 
Kwenye haya maisha ya ndoa, mwanamke unapokuwa huna kipato kabisa unategemea kila kitu kitoke kwa mumeo, utaishi maisha ya ajabu na ya mateso sana.

Wanawake tujishughulishe, tuwe na vipato pia hata Kama ni kiasi kidogo, kwa juhudi na maarifa kipato kitaongezeka.
Ni kweli,ila mwanaume mkorofi ni mkorofi TU, unaweza ukawa na kazi hata yenye mshahara mkubwa kuliko yeye lkn akakudharau pia,ila ukiwa na kipato chako makali yatapungua
 
Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu. Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.

Utakuta mume ana mke na watoto lakini Bado anaongozwa na maeneno ya ndugu zake na mama yake. Sisemi kuwa Ni vibaya kuisikiliza wazazi wako na dada na Kaka zako la hasha. Unaweza kuwasikiliza lakini maneno ya kuambiwa changanya na ya kwako.

Wewe nii mume sasa na sio mtoto mdogo, unafamilia hao ndio kaka na dada zako wa kwanza, damu yako. Ndio watu wa kwanza unaotakiwa kuwasikiliza.

Unakuta mwanaume anapata mshahara wote anampelekea mama yake, mke akiitaji matumizi anaambiwa akayafutae kwa mama mkwe, hivi kweli jamani?

Wengine wanaleta wazazi, hasa mama zao waje wakae Hapo anapoishi na mke wake. Hivi unadhani Ni ustaarabu kwa mama kusikia mambo yote mnayoyafanya mkiwa chumbani.

Mnakosa hata muda wa faragha kati yenu mwishowe mnajikuta hamna mapenzi Tena kwenye ndoa kwasababu hamuhudumiani.

Na mwanamke hawezi kukuambia usimlete mama yako, kwasababu ataonekana ana roho mbaya. Ila ukweli ndio huo.

Wanaume wengine mkipata pesa kidogo tu mnataka ujionyeshe kwa watu kuwa wewe una mapesa, eti unaweka heshima baa. Embu acheni ujinga mkalee familia zenu. Kama hamuyataki majukumu kwanini mmeingia kwenye ndoa?
Wanaume mjirekebishe jamani, inasikitisha Sana.
kazi yenu ni kumuomba Mungu tu kwa kuwa hamchagui ila mnachaguliwa kwa hiyo maumivu yenu ya kawaida sababu mnakuwa mmekosea kuchaguliwa issue ipo kwetu ukikosea kuchagua hapo ndio ngoma isambe!
 
😂😂😂😂😂😔
Please akuomba ''To yeye! ukuje tu, mara moja halafu unaendelea na zako! najua una mambo yako mengi !...lkn unadhani nani atajua kuwa tumeonana huko bana? kuna kitu kizuri nataka tuongee......
 
Please akuomba ''To yeye! ukuje tu, mara moja halafu unaendelea na zako! najua una mambo yako mengi !...lkn unadhani nani atajua kuwa tumeonana huko bana? kuna kitu kizuri nataka tuongee......
Sawa,soon
 
sawa thank you!
Halafu una akili sana!! weye! mdada weye! hapo tu nabaki kucheka tu! najua umenijibu kwa akili ya hali ya juu sana! yaani ndo nazidi kukupenda na kukuamini! daaa! unakuja kweli? hayaa?.... nimekaa hapa nasubiriiiiiii...
 
Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu. Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.

Utakuta mume ana mke na watoto lakini Bado anaongozwa na maeneno ya ndugu zake na mama yake. Sisemi kuwa Ni vibaya kuisikiliza wazazi wako na dada na Kaka zako la hasha. Unaweza kuwasikiliza lakini maneno ya kuambiwa changanya na ya kwako.

Wewe nii mume sasa na sio mtoto mdogo, unafamilia hao ndio kaka na dada zako wa kwanza, damu yako. Ndio watu wa kwanza unaotakiwa kuwasikiliza.

Unakuta mwanaume anapata mshahara wote anampelekea mama yake, mke akiitaji matumizi anaambiwa akayafutae kwa mama mkwe, hivi kweli jamani?

Wengine wanaleta wazazi, hasa mama zao waje wakae Hapo anapoishi na mke wake. Hivi unadhani Ni ustaarabu kwa mama kusikia mambo yote mnayoyafanya mkiwa chumbani.

Mnakosa hata muda wa faragha kati yenu mwishowe mnajikuta hamna mapenzi Tena kwenye ndoa kwasababu hamuhudumiani.

Na mwanamke hawezi kukuambia usimlete mama yako, kwasababu ataonekana ana roho mbaya. Ila ukweli ndio huo.

Wanaume wengine mkipata pesa kidogo tu mnataka ujionyeshe kwa watu kuwa wewe una mapesa, eti unaweka heshima baa. Embu acheni ujinga mkalee familia zenu. Kama hamuyataki majukumu kwanini mmeingia kwenye ndoa?
Wanaume mjirekebishe jamani, inasikitisha Sana.
Kama hakukukuta bikra ni haki yako unayofanyiwa.
 
Back
Top Bottom