heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Mpeleka Veta Shinyanga akasomehe Ufundi Mitambo ,, ikiwemo Excavator, Motor Grader na GrederWakuu, nina mdogo angu age 18 kamaliza four mwaka huu bila shaka atoweza pata maksi za kwendelea,
Sasa ni kozi gani ambayo itamsaidia mbeleni uko ata kwa kujiajiri,
Ya kwanza napendekeza udereva, ila ningetaka kujuwa na ingine ambayo haitopitwa na wakati maana maendeleo haya ya sayansi isije ikamkosti
Yani kitu ambacho ata akitoka nje ya nchi anaweza jiendeleza kiasi na kufanya mambo yake vyema
Hakusoma sayansi
Nawakilisha