heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Wakuu, nina mdogo angu age 18 kamaliza four mwaka huu, bila shaka hatoweza pata maksi za kwendelea. Sasa ni kozi gani ambayo itamsaidia mbeleni uko hata kwa kujiajiri.
Ya kwanza napendekeza udereva, ila ningetaka kujua na nyingine ambayo haitopitwa na wakati maana maendeleo haya ya sayansi isije ikamkosti.
Yani kitu ambacho hata akitoka nje ya nchi anaweza jiendeleza kiasi na kufanya mambo yake vyema.
Hakusoma sayansi.
Nawakilisha.
Ya kwanza napendekeza udereva, ila ningetaka kujua na nyingine ambayo haitopitwa na wakati maana maendeleo haya ya sayansi isije ikamkosti.
Yani kitu ambacho hata akitoka nje ya nchi anaweza jiendeleza kiasi na kufanya mambo yake vyema.
Hakusoma sayansi.
Nawakilisha.