Harvey frank
Member
- Jun 17, 2016
- 54
- 22
Habari zenu wakuu nakuja mbele zenu katika kupata mawazo yenu ni kozi gani/ipi itanifaa kusomea veta pale keko chang'ombe kwa mwaka wa masomo 2019.kati ya kozi hizi zifuatazo.
1:umeme wa magari
2:electrical installation
3:ukerezaji vyuma/ufundi mitambo
4😱f set machine printing(uchapaji vitabu,magazeti,kalenda vipeperushi n.k)
Nakaribisha mawazo yenu wakuu naomba kuwasilisha..ahsanteni
1:umeme wa magari
2:electrical installation
3:ukerezaji vyuma/ufundi mitambo
4😱f set machine printing(uchapaji vitabu,magazeti,kalenda vipeperushi n.k)
Nakaribisha mawazo yenu wakuu naomba kuwasilisha..ahsanteni