Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kumbe kusajiliwa kama professional engineer ni rahisi kuliko kusajiliwa kuwa 'Certified public accountant (T) ' ambapo ni lazima ufanye mtihani na ufaulu.
Yaan hapo kuwa graduate engineer kuwa professional siyoo rahis ufanye project za kutosha usimamiwe na watu ambao ni professional then watakuacess inachkua ata miaka 10 kuwa professional baada ya kumalza chuo au usiwe kabsaa maisha yako yote.
 
Hello wana JF .

Unakuta umesoma kozi ambazo either ulijikuta tu comby imebalance au kwa kua zilikua na priority ya mkopo lakini hazikua chaguo lako.

Baada ya kuhitimu ukaingia kitaa ukakuta things on the ground are not as you thought. Kozi uliosoma haina market.

Please share your experience about life after college.

Sent using Jamii Forums mobile app
Computer science na software engineering
 
Back
Top Bottom