Kozi ipi ya kusoma kati ya hizi Tafadhali

Kozi ipi ya kusoma kati ya hizi Tafadhali

Hongera kwa kufikiria kupiga hatua, endelea na mipango yako....tafuta watu sahihi wa kukupa mwongozo wa ukweli hapa hata tusiojua lolote tutakulisha matango pori ilimradi tu, kasome uende field nyingine inawezekana. Kila laheri
Real life story,

Brother angu mmoja alisoma PGM,
Akaenda ualimu diploma akaajiliwa UALIMU...

Akaenda kusoma degree akabadirisha akasoma IT

Akarudi akaja fanyiwa Recategorizetion now ni IT mkubwa TAIFA...
 
Real life story,

Brother angu mmoja alisoma PGM,
Akaenda ualimu diploma akaajiliwa UALIMU...

Akaenda kusoma degree akabadirisha akasoma IT

Akarudi akaja fanyiwa Recategorizetion now ni IT mkubwa TAIFA...
Wapo walimu wengi nawajua waliosoma kozi nyingine wakabadili kazi....wanaomwambia we ni mwalimu utabaki kuwa mwalimu sijui wanawaza nini....
 
Real life story,

Brother angu mmoja alisoma PGM,
Akaenda ualimu diploma akaajiliwa UALIMU...

Akaenda kusoma degree akabadirisha akasoma IT

Akarudi akaja fanyiwa Recategorizetion now ni IT mkubwa TAIFA...
Mara nyingi Recategorization hufanyika kwa degree ya kwanza. Huyo imewezekana kwa maana alikua na diploma. Kiutumishi tunaangalia degree yako ya kwanza ndio fani yako haswa.
Angekua kasoma bachelor ya ualimu na kisha aende masters ya IT angekua kajifurahisha tu kimuundo.
 
Mara nyingi Recategorization hufanyika kwa degree ya kwanza. Huyo imewezekana kwa maana alikua na diploma. Kiutumishi tunaangalia degree yako ya kwanza ndio fani yako haswa.
Angekua kasoma bachelor ya ualimu na kisha aende masters ya IT angekua kajifurahisha tu kimuundo.
Kwamba hakuna mtu mwenye degree ya Education na Masters ya fani nyingine kisha akachana na ualimu akaenda huko kwingine?? Au mi ndio sijakuelewa🙄
 
Nimechaguliwa kusoma kozi zote nne nilizoomba kusoma kwa level ya Masters.

1. Ya kwanza MS in Business Analytics and Management.

2. Ya pili MS in Finance and Economics.

3. Ya tatu ni Ms in Economics and Data Science.

4. MS in International Business Finance and Economics.

Ipi kati ya hizo nichague kwa mstakabali wa mbeleni.
Soma 3 au 4
 
Kwamba hakuna mtu mwenye degree ya Education na Masters ya fani nyingine kisha akachana na ualimu akaenda huko kwingine?? Au mi ndio sijakuelewa🙄
By default ni ngumu sana mkuu. Waliopo yawezekana ukute wana motive ya kisiasa nyuma yao hivyo wakaweza kuachana na ualimu ama wako kwenye NGOs. Kwa serikali ni either awe kama academician ama researcher(mara chache mno)
Muundo wa kiutumishi unamfunga mwalimu na boma la shule
 
By default ni ngumu sana mkuu. Waliopo yawezekana ukute wana motive ya kisiasa nyuma yao hivyo wakaweza kuachana na ualimu ama wako kwenye NGOs. Kwa serikali ni either awe kama academician ama researcher(mara chache mno)
Muundo wa kiutumishi unamfunga mwalimu na boma la shule
Kwa nnavyojua mimi mwalimu anafungwa akiwa na degree ya ualimu halafu aongeze na masters ya ualimu ni kupoteza muda na pesa kwakweli, ila akisoma fani nyingine anaondoka vizuri tu na mambo mengine yanabadilika
 
Sasa wewe ni mwalimu kama unataka kusoma masters ilibidi usome masters ya mambo ya ma- carriculum lesson plan preparation ambayo kimsingi ndiyo waalimu mna-deal nayo. Na hapo hata manufaa ya kusoma masters utayaona maana umesoma kitu ambacho kipo ndani ya field yako

Lakini ukisema usomee uchumi technically huwezi kuwa mtalamu wa uchumi kwasababu walimu wa uchumi kuna baadhi ya vitu mkiwa chuo huwa hamvisomi kama vile econometrics , accounts environmental economics nk ambavyo humfanya mtu kuwa mchumi wengine wenu huchukua course mbili tu ambazo kwenu ndiyo huwa teaching - subjects .

Ndiyo maana nikashauri kama unataka ukasome hizo masters za uchumi , inabidi kwanza ufanye utaratibu uwe mchumi kwanza afu ndyo ukasome hivyo vitu .
Afuate huu ushauri.

Kuna mtu namjua alisome BAED then MBA akawa irrelevant Kazi akakosa maana kushika chako hataki.Ikabidi arusi asime BBA tena.

So jamaa kama ndoto za kufanya kazi nje ya chakiism arudi akaanze undergraduate tena otherwise atapoteza muda aje ajutie baadae.
 
Mara nyingi Recategorization hufanyika kwa degree ya kwanza. Huyo imewezekana kwa maana alikua na diploma. Kiutumishi tunaangalia degree yako ya kwanza ndio fani yako haswa.
Angekua kasoma bachelor ya ualimu na kisha aende masters ya IT angekua kajifurahisha tu kimuundo.
Sawa mkuu nimekuelewa.....
It means mtu mfano akisoma BAED baadae akaenda soma mwaka mmoja....
POSTGRADUATE DIPLOMA IN ECONOMICS,

Au postgraduate diploma in finance au Taxation au accountancy.....

Swali langu Huyu mtu akiamua ajiendeleze kwenye fani nyingine kama jamaa anavyo SEMA Kwa uzoefu wako unaona hawezi kutoboa????

Tupeane uzoefu
 
Nimechaguliwa kusoma kozi zote nne nilizoomba kusoma kwa level ya Masters.

1. Ya kwanza MS in Business Analytics and Management.

2. Ya pili MS in Finance and Economics.

3. Ya tatu ni Ms in Economics and Data Science.

4. MS in International Business Finance and Economics.

Ipi kati ya hizo nichague kwa mstakabali wa mbeleni.

Namba 3 mkuu. Data science kama ukiwa smart ndio dunia inapoenda
 
Namba 3 mkuu. Data science kama ukiwa smart ndio dunia inapoenda
Mimi mwenyewe napenda mambo ya Data niliwahi kufanya kazi zake kwenye hospital fulani mkoani Mara. Nadhani hii itanipa uwanja mpana katika uchumi na Data science kwenye kozi moja
 
Undergraduate nilisomea kozi ya ualimu kwa masomo ya Uchumi na Uhasibu kwa sasa Mwalimu wa sekondari kwa somo la uchumi.
Ndoto yangu ni kuwa mtaalamu katika Uchumi
Hizi kozi zote ni vyuo vya nje?
Kama unapenda uchumi, na hizi kozi ni za vyuo vya nje, sio bongo basi fanya hiyo namba 3, maana itakupa uwanja mpana sana pia wa data science, ambayo ndio habari ya dunia kwa sasa, ukiifanya kwa userious na ukawa mtu wa kuchungulia na kubaini fursa na kutengeneza network, itakufikisha mbali sana. Na kwa wenzetu vyuo vya nje, inakua inafundishwa kwa userious zaidi utagain vitu vingi sana. Ila pia inabidi uwe mzima sana wa Hesabu, sio mtu wa kubahatisha kwenye hesabu kwa sababu mzizi wa data science ni hesabu, kama hesabu inakupa shida au unaziweza kwa kutumia nguvu kubwa sana, utateseka sana.
Lakini pia, ukisoma hiyo namba 3 wakati uko shule anza kufikiria kubaki huko huko au kutafuta fursa na network nchi za nje huko, maana ukirudi hapa bongo unaweza kuishia kuwa frustrated tu.
Huo ndo ushauri wangu.
 
Back
Top Bottom