PACHOTO
JF-Expert Member
- Dec 30, 2011
- 1,321
- 973
Wakuu,
Leo katika pita pita zangu kwenye mitandao nimevutiwa na taarifa ya rubani mwenye umri mdogo kabisa Tanzania kurusha Boing ambaye ana miaka 21.Na mimi nimeshawishika kuwekeza kwa mtoto wangu, swalli langu ni kwamba, je ni qualification gani anatakiwa awe nazo ili aweze kusomea urubani na pili gharama zake zikoje.
Shukrani sana, naomba majibu tafadhali
Leo katika pita pita zangu kwenye mitandao nimevutiwa na taarifa ya rubani mwenye umri mdogo kabisa Tanzania kurusha Boing ambaye ana miaka 21.Na mimi nimeshawishika kuwekeza kwa mtoto wangu, swalli langu ni kwamba, je ni qualification gani anatakiwa awe nazo ili aweze kusomea urubani na pili gharama zake zikoje.
Shukrani sana, naomba majibu tafadhali