Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Habari wanajukwaa.
Ninaombeni mnisaidie maoni yenu kuhusu kozi saivi yenye kusomea kwa kijana wa pcm mwenye 1 point 8.
Mie nimemshauri ya kwanza
Chemical Engineering
Electrical Engineering
Mechanical engineering.
Nishaurini kwa kujazia nyama.
Mana nimeona kemiko Ana wigo Mpana Sana wa kazi Mana anatokea familia zetu so mtaji wa kujiajiri Hana labda arudi aanze kubeba zege ama alone vibarua ili apate mtaji ajiajiri.
Ila naangalia uwezekano wa yeye wa kusoma afu akapata kaajira angalau akaweka yake mfukoni afu akili yake itaamua.
Karibuni
Ninaombeni mnisaidie maoni yenu kuhusu kozi saivi yenye kusomea kwa kijana wa pcm mwenye 1 point 8.
Mie nimemshauri ya kwanza
Chemical Engineering
Electrical Engineering
Mechanical engineering.
Nishaurini kwa kujazia nyama.
Mana nimeona kemiko Ana wigo Mpana Sana wa kazi Mana anatokea familia zetu so mtaji wa kujiajiri Hana labda arudi aanze kubeba zege ama alone vibarua ili apate mtaji ajiajiri.
Ila naangalia uwezekano wa yeye wa kusoma afu akapata kaajira angalau akaweka yake mfukoni afu akili yake itaamua.
Karibuni