Kozi za afya zenye ajira haraka

Kozi za afya zenye ajira haraka

Jamani ,,,ni kozi gani ya afya inafaa nisomee kwa ufaulu huu
Chemistry_C
Biology_B
Physics_f NB:shule niliosomea haifundishi PH ,means hakuna teacher
 
[QUOTE="Chief_mataka, post: 42666074, member: 660558"


Clinical Medicine na Pharmaceutical Ni Taka Taka Siku Hizi.[/QUOTE]

Taka taka kweli kweli.
 
Wakuu naombeni mnijuze kozi gan ya afya ambayo nikisoma diploma sitosota mtaani ....maisha magumu mno. ..ambayo nitaajiriwa haraka

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Soma Medical Lab halafu tafuta Microscope moja ya Olympus na Urinalysis Machine halafu zamia Mkoa wenye wakulima wenye hela kama Morogoro, Ruvuma, Mbeya au Rukwa halafu nenda kule mawilayani huko tafuta frem halafu fungua Lab yako upige mipesa...

Kama una mtu wa karibu yako asome Diagnostic Radiography lakini akomalie sana Ultrasound aje mfungue Diagnostic Center...
Baada ya hapo ni kuoga mihela...

Hii inawafaa wale wasio na familia na kama huna mpango wa kuoa ndani ya miaka 5 au 7 hivi ukusanye hela mkoani kwanza ndo mwende/mrudi mjini mkiwa na mtaji wa kutosha...

Kama unataka ajira za Mama basi soma Clinical Medicine...
 
Wewe huna ulijualo,si juzi tu hapa ulikua unaomba ushauri jinsi gani utaapply hiyo kozi sisi tunamshauri huyo MTU kwa sababu tupo kwenye hii kada na nafasi kwa Sasa chache..Kama unaona Kuna zahanati hizo ziko wazi na umesoma nenda kafanye kazi.

NB:Clinical officer ni kozi nzuri mno Ila Kuna Mambo hapa Kati Kati yametokea yameharibu ubora na thamani ya hii kozi.
1.Mrundikano na wa vyuo na kupunguzwa kwa vigezo vya kusoma hiyo kozi zamani ilikua DCC Ila Sasa DDD inaenda.
2.Serikali kukaa zaidi ya miaka 5 bila kuajiri Hali iliyosababisha mlundikano wa watahiniwa mtaani.
3.Vyuo vya private kufanya biashara kwenye mafunzo ya afya Hali inayofanya kuzalisha watu wengi wasiokuwa na sifa huku wale wenye sifa kuonekana wote sawa.
4.Kuongezeka kwa vyuo vinavyotoa ngazi ya digrii na kudahili watahiniwa wengi na wanaohitimu wengi pia.hivyo kufanya C.O awe wakawaida tu.
5.Kukua kwa teknolojia ambayo inamfanya daktari asiwe mtu muhimu Sana kwa asilimia fulani kwa baadhi ya magonjwa hasa Tabibu maana karibu ya magonjwa mengi watu wanayafahamu hata jinsi ya kutibu hivyo watanzania siku hizi kila mtu daktari na ukiona anaenda hospital Basi ameshindwa kujitibu.

Na nyingine nyingi ....

Kwa Sasa kozi ambazo bado Zina market kubwa kwa mtoto wa maskini ni hizi hawezi kukosa ajira Tena atakaa hospital za wilaya.
1.Nesi(hasa kwa wanawake)
2.Radiology
3.Dental

Hizo kozi MTU akishikwa Hana namna ya kukusaidia lazima apate msaada na ndio kwa Sasa Zina watu wachache 2&3.
Optemetry na Physiotherapy ni nzuri Ila hospital zinazotoa hiyo huduma ni chache utachelewa kuajirika tegemezi lako Itakua serikali Ila ukipata shavu utakaa sehemu nzuri.



Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Kuusu optometry naona wasome tu ina fursa kubwa licha ya kaz za hospital za serikal na private. Unaweza kufungua clinic yako ya macho unapata pesa.

Pia kuna taasis za kimataifa (N.G.O) zinadil na mambo ya upofu ata apa bongo nishaiona moja kwnye kituo changu cha kazi inaitwa SIGHT SAVERS.. wanalipa vizul

Lingine kubwa anaweza kujiendeleza kielim kwenda kuchukua degree ya macho kama akiona mtaani mambo hayaelewek!..

Binafs sina shida kuusu

1. Nursing

( hii soko lake haliishi leo wala kesho ni A LIVING LEGEND kwnye afya ila unesi sio kaz ya mchezo " commitment " inaitajika

2. Dental ( big yes)
3. Radiology ( big yes)
4. Optometry ( big yes)
5. Physiotherapy ( big yes)

Kuusu

1. Med lab
2. C.o
3. Pharm

Kazi zipo ila za msimu
 
Hii N.G.O ipo nchi zaid ya 30 Dunian lengo Lao ni kupunguza magonjwa ya macho na upofu unaozuilika!.. wana miaka zaid ya 70 kwenye tasnia

Vijana wa optometry sehemu yenu io na bongo pia wapo!
20230205_133049.jpg
 
Back
Top Bottom