Kozi za Chuo cha Maji zina soko?

Kozi za Chuo cha Maji zina soko?

Showio

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2019
Posts
254
Reaction score
481
Naomba kujua kozi za chuo cha maji zipoje sokoni,vipi uhitajika wake kwenye jamii upoje. Asante
 
Mkuu nahitaji kujua waliomaliza pale kwenye kile chuo hali zao zipoje kiajira/kwenye soko.
Kwa swala la ajira, duniani nzima hususani 3rd world countries ni pasua Kichwa. Wewe Soma unachokipenda ukimaliza njoo shambani tulime mchicha.

Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
 
Naomba kujua kozi za chuo cha maji zipoje sokoni,vipi uhitajika wake kwenye jamii upoje.Asante
soko lake ni ww utakavyojiwek utapata tu kazi ya kufanya maana kila mtu anatumia maji na kila nyumba na maghorofa yana mabomba ya maji nk nk
 
soko lake ni ww utakavyojiwek utapata tu kazi ya kufanya maana kila mtu anatumia maji na kila nyumba na maghorofa yana mabomba ya maji nk nk
Kwa mfano kozi ya usambazaji maji, na kozi ya uchimbaji visima ipi ipo more marketable?
 
Back
Top Bottom