Kozi za chuo kwa aliyesoma PCB

Yani nikimaliza a-level mkuu kutoa ualim nini kingine

unamaana kwamba kama hujaenda chuo?
kama ni hivyo basi hakuna kazi yoyote itakayo-base kwenye hiyo CBG yako, itakuwa ni sawa tu na mtu wa form IV aliye mtaani, ni mpaka usomee kitu fulani hata college tu
 
za kubahatisha;
MEDICAL DOCTOR (MD)
PHARMACY
VETERINARY MEDICINE
za kutumaini kabisa;
MEDICAL LABORATORY
EDUCATION WITH SCIENCE
NURSING-Degree
ELECTRICAL ENGINEERING( kama umefaulu BAM)
na nyingine nyingi.

Electrical engineering?? Unaelewa ulichoandika???
 
Ahsant mkuu nikisoma nursing in degree nawaez kujiendelez na kuwa doctor


Kijana,,,upo level gani ya elimu?I bet form five au form six..sasa soma kwanza then hakikisha unafaulu vizuri sana kuna sehemu nyingi tu za kwenda!!
 
kuamakn na ushaur wawatu hum jf.vngne chukua vngne xoma uache kama vlvyo.uksoma CBG yako advnc. huwez kujakuwa MD.
utaixhia kuwa pharmasia n.k lakn MD nmpak usome phzoo ndug yan pcb.
 
kama upo vzul pcb aply chuo cha afya ngaz ya clincal offcer(diploma) ukmalza una chukua digree MD.ila mwixho wa kuaply n kexho tar 18/7/ ila kam vp nenda advanc ukfaul vzur hutakosa pakwenda chamxng kazabut.
 

Gombaneni Jamani..🙌🙌🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…