Kwa nini upangiwe kazi au itafute kazi? Kozi nzuri kiasi hicho alafu unazingumzia habari za kupangiwa kazi au kutafuta kazi kweli? Kama umesoma PCM hapo ndo penyewe. Agr. sio lazima. then unaingia shambani, unalima na kumwagilia, unavuna na kupata fedha. Acha kuwaza white colar job