Kozi zenye fursa kubwa ya ajira na kujiajiri katika sekta ya Bahari

Watu kuwa wachache inamaanisha
1-kozi hailipi
2-qualification zake ni ngumu
3-uwepo wa ajira ni mdogo

So hebu tuambie zaidi juu ya ilo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kozi zinalipa Sana, hazitolewi hapa nchini, uwepo wa ajira mkubwa ndani na nje ya nchi. Pia gharama zipo juu kwenye kusoma.

Marine haina tofauti sana na Aviation, haina vigezo vikali kusoma shida ni ada zake.

Kozi yenye ugumu kusoma ni Marine Hydrographic survey hii kama umri umesogea usiende,huku ni hesabu haswa na mazoezi ya upimaji mara kwa mara ambayo hususisha hesabu nyingi.
 
Unayosema ni kweli gharama zake si mchezo nimeangalia hii ya marine survey diploma yake inafika $4500.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unayosema ni kweli gharama zake si mchezo nimeangalia hii ya marine survey diploma yake inafika $4500.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unapesa ukiwekeza kwenye hii, hao Lloyd Register jamaa ndio wanaongoza kuajiri duniani kwenye sekta ya marine. Kwanza utapewa Leseni yao hata ukiwa huku Tanzania ikitokea kazi wamepewa karibu na huku wao watakuunganisha.

Hata hivyo kazi moja ya survey mtu anachukua hela ndefu, kwa kubangaiza mtu akifanya bei ndogo ni million 2.
 
Je naweza kusoma electro technical officer (ETO) baada ya diploma ya electrical engineering
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…