Unajengaje hoja kwenye ambiguity? Halaf mimi wala simo kwenye huo ubishani wenu wa Kenya Airways na Tanzania Airways. Mimi ni Mtanzania, ninachokiri tu ni kwamba shirika la wenzetu liko mbele kuliko letu, kubisha katika hilo ni uzembe, lazima ukubali kwanza weakness ujifunze kwa waliofanikiwa then ukomae, ukianza kung'aka tu kwamba wewe ni mkali kuliko yeye wakati anakuzidi utakuwa ujuha!Hahahahaha, umeshindwa kujenga hoja umegeukia kuwa mwalimu wa lugha.
Sent using Jamii Forums mobile app
nyongeza hapo mkuu na hao wazazi wake 2020 wanastafu labda waongezewe 5yrs na mtoto atakua bado hajaanza shule ya msingi😆😆😆😆Hivi bado mnaendelea kulinganisha KQ na ATC??
Sikia nikwambie... KQ ni sawa na mtu mzima aliyepoteza muelekeo wa maisha na ATC ni sawa na mtoto ambaye anafanya vizuri sana shuleni na anapendwa sana na wazazi wake.
Huwezi kuwalinganisha hawa wawili unapoteza muda tu.
Hahahahaha KQ wamefanikiwa?, nenda kanye kwanzaUnajengaje hoja kwenye ambiguity? Halaf mimi wala simo kwenye huo ubishani wenu wa Kenya Airways na Tanzania Airways. Mimi ni Mtanzania, ninachokiri tu ni kwamba shirika la wenzetu liko mbele kuliko letu, kubisha katika hilo ni uzembe, lazima ukubali kwanza weakness ujifunze kwa waliofanikiwa then ukomae, ukianza kung'aka tu kwamba wewe ni mkali kuliko yeye wakati anakuzidi utakuwa ujuha!
Wapo insecured! hawajiamini. Kipimo chao ATCL 😀Ni nani amekwambia tunanunua ndege ili kushindana na Kenya airways? Tunanunua ndege ili kuboresha Uchumi wetu kwa kuongeza Utalii na vile vile ajira kwa Watanzania, hivyo hata kama Kenya airways ina ndege 1000 haijalishi kwetu!
Unajengaje hoja kwenye ambiguity? Halaf mimi wala simo kwenye huo ubishani wenu wa Kenya Airways na Tanzania Airways. Mimi ni Mtanzania, ninachokiri tu ni kwamba shirika la wenzetu liko mbele kuliko letu, kubisha katika hilo ni uzembe, lazima ukubali kwanza weakness ujifunze kwa waliofanikiwa then ukomae, ukianza kung'aka tu kwamba wewe ni mkali kuliko yeye wakati anakuzidi utakuwa ujuha!
nyongeza hapo mkuu na hao wazazi wake 2020 wanastafu labda waongezewe 5yrs na mtoto atakua bado hajaanza shule ya msingi😆😆😆😆
Kupokea Ndege kufanywa ni tukio la kitaifa ni ushamba, tunachoreshana.. - JamiiForums
Kupokea Ndege kufanywa ni tukio la kitaifa ni ushamba, tunachoreshana.. - JamiiForumsWapo insecured! hawajiamini. Kipimo chao ATCL 😀
Ndiyo, wamefanikiwa ukilinganisha na sisi. Otherwise shirika pekee la ndege linalojiendesha kwa faida Afrika ni Ethiopian Airline. Na unapojadili na mtu usiyefahamiana naye jaribu kutumia maneno ya staha.
Hivi mtu aliyeanzisha biashara miaka arubaini iliyopita, baadae biashara ikaanza kuyumba na kupata hasara, na mtu anayeanzisha biashara sasa hivi na unafanya vizuri, nani anapaswa kwenda kujifunza kwa mwengine ili afanikiwe?.Ndiyo, wamefanikiwa ukilinganisha na sisi. Otherwise shirika pekee la ndege linalojiendesha kwa faida Afrika ni Ethiopian Airline. Na unapojadili na mtu usiyefahamiana naye jaribu kutumia maneno ya staha.
Ndiyo, wamefanikiwa ukilinganisha na sisi. Otherwise shirika pekee la ndege linalojiendesha kwa faida Afrika ni Ethiopian Airline. Na unapojadili na mtu usiyefahamiana naye jaribu kutumia maneno ya staha.
Ushamba ni kuwacha Kazi uende kushangilia ndege na hata baskeli huna...wewe ushawahi waona waarabu wakikimbia Airport kupokea ndege mpya ya Emirates???Kusheherekea route nayo ndio ujanja?
Usiseme watanzania. Mtaje aliyesema. Mbona sisi huwa tunaambiwa wanaume wa kenya wanapigwa na wake zao, lakini kwa kuwa hiyo ni general statement hatuiandiki hapa. Hata mie sijaindika ila nimetoa mfano tu!!!!Nimeona mahali watanzania wanasema KQ wana lease ndege,Nikajua kingereza kweli kigumu Bongo hawaelewi meaning ya "lease out" KQ imelease out ndege zake tatu .moja leased to Turkish Airlines na itarudishwa this year ingine mbili to oman airlines na zinarudi mwaka huu.
Wabongo naona kingereza ni ngumu sana kwenuView attachment 991151
kaka walikua wengiUsiseme watanzania. Mtaje aliyesema. Mbona sisi huwa tunaambiwa wanaume wa kenya wanapigwa na wake zao, lakini kwa kuwa hiyo ni general statement hatuiandiki hapa. Hata mie sijaindika ila nimetoa mfano tu!!!!
Hivi bado mnaendelea kulinganisha KQ na ATC??
Sikia nikwambie... KQ ni sawa na mtu mzima aliyepoteza muelekeo wa maisha na ATC ni sawa na mtoto ambaye anafanya vizuri sana shuleni na anapendwa sana na wazazi wake.
Huwezi kuwalinganisha hawa wawili unapoteza muda tu.
labda nikufundishe kiswahili kizuri. Sema nimeona baadhi ya watanzania.......... na mimi nasema nimesikia baadhi ya wakenya wanapigwa na wake zao.kaka walikua wengi
sawa kaka asante sanalabda nikufundishe kiswahili kizuri. Sema nimeona baadhi ya watanzania.......... na mimi nasema nimesikia baadhi ya wakenya wanapigwa na wake zao.
Ushamba ni kuwacha Kazi uende kushangilia ndege na hata baskeli huna...wewe ushawahi waona waarabu wakikimbia Airport kupokea ndege mpya ya Emirates???
Washamba nyinyi halafu kwenye Huo uzi angalia mara ngapi KQ na KENYA imetajwa...povu ruksa.
Hahahahahahaha, akirudi atakua lazima ni from Gikuyu kingdom.[emoji23][emoji23][emoji23]ila nimeshawahi kuona rais mmoja sijui wa wapi anaenda kuzindua route mpya ya shirika la ndege wakati haijafanyiwa tathmini kama italeta faida,matokeo yake wiki moja tu route ikavunjwa[emoji23][emoji23][emoji1322][emoji3603][emoji1322][emoji3603].
vipi, ndege ishafika au bado?[emoji23][emoji23][emoji23]ila nimeshawahi kuona rais mmoja sijui wa wapi anaenda kuzindua route mpya ya shirika la ndege wakati haijafanyiwa tathmini kama italeta faida,matokeo yake wiki moja tu route ikavunjwa[emoji23][emoji23][emoji1322]♂️[emoji1322]♂️.