Nyie watumwa wa marekani nendeni mkapeleke uchafu yaani kutukanwa kote huko bado mnashangiria eti kQ imefanikiwa puuuuuh kenya ni hole of shitWatanzania wataipanda KQ wakisafiri Marekani wapende wasipende.
Walisema pesa ni sabuni ya roho. Watalii humo humo ndani pamoja na wabeba boksi wa kitanzania, safari hadi Mericah!Nyie watumwa wa marekani nendeni mkapeleke uchafu yaani kutukanwa kote huko bado mnashangiria eti kQ imefanikiwa puuuuuh kenya ni hole of shit
[emoji28] [emoji27] [emoji28] [emoji28] [emoji27] [emoji27] [emoji27]
Bombardier bado kufika?Hata hiyo 3%-8% market share si kitu kidogo maana KQ bado ina-make loss! ET n fly Dubai n other middleEast airlines wanawanyorosha KQ.
Hivi serikali inamiliki stakes ngapi?,ngoja waje wamapovu.. duh Kenya inasonga mbeleeee
Yeah it should because your task is to lease keep leasing but you own nothingWith the current CEO KQ will surely rise
When Turkish wanted to enlarge his operations and ask for his aircrafts that day KQ will start to fly mikokoteni to New York
Si bora hata sisi tunachochakushikiliwa nyie mnamiliki mikataba tu ya leasing ndege zina wenyewe wametulia mpate hasara mpate faida pesa ya aircraft-lord inahitajika.Libombandia liliwa mazima mazima, mnatia aibu nyie watu, tatizo mpo wazembe hamjui kusoma mikataba kingereza kinawachanganya. Mnaliwa kuanzia kulia hadi kushoto....mnunue nyingine na kuirusha nje mshangae itakavyokua imesubiriwa...hehehehe
Hehe noma mazee, ushauri wa buree kwao, dawa ya deni ni kulipa tu[emoji3] magu naskia huwa anapiga simu kila siku ikulu ya canada akiomba bombadia lake liachiwe ili iwe kama ishara ya urafiki kati ya tz na canada, walisha mblock huko![emoji191] [emoji241]Libombandia liliwa mazima mazima, mnatia aibu nyie watu, tatizo mpo wazembe hamjui kusoma mikataba kingereza kinawachanganya. Mnaliwa kuanzia kulia hadi kushoto....mnunue nyingine na kuirusha nje mshangae itakavyokua imesubiriwa...hehehehe
New develoments, CNN doing promo work for Kenya and KQ! Hii wabongo watakubali tu, bila hata ya kushurutishwa.Hehe noma mazee, ushauri wa buree kwao, dawa ya deni ni kulipa tu[emoji3] magu naskia huwa anapiga simu kila siku ikulu ya canada akiomba bombadia lake liachiwe ili iwe kama ishara ya urafiki kati ya tz na canada, walisha mblock huko![emoji191] [emoji241]
Anyways richard quest pale cnn naona anazidi kutupa promo ya bureee, alaf anasema wataicover inugural flight siku hiyo!! Ni sheeeedahhhh[emoji122] [emoji122] [emoji95] [emoji119] [emoji3] [emoji125]
Hivi KQ Serikali inamiliki % Ngapi?Watanzania wataipanda KQ wakisafiri Marekani wapende wasipende.
The problem with KQ is cost effectiveness,KQ will carry the people that will go to salvage the bombardier that's grounded in Canada.
Hahaha....mtatii.
Kenya govt 49% ,38% ya local banks through consortium ya kenya airways lenders company, klm na air france about 7% so generaly KQ inamilikiwa about 87% na wakenya. Kwa habari zaidi Banks, Kenyan Gov’t Now Own 87% of Kenya Airways – Red Pepper UgandaHivi KQ Serikali inamiliki % Ngapi?
Without forgeting the most affordable of them all Air tanzania baby[emoji3] [emoji122] [emoji241] [emoji191]The problem with KQ is cost effectiveness,
Hata hivyo,
Why Not Ethiopia Airlines with affordable prices, of South African Airways
We have more than 10 months to start that operation sasa unafikiri watu hawana shughuli za kufanya all that decades they think about lossmaking airline?Hehe noma mazee, ushauri wa buree kwao, dawa ya deni ni kulipa tu[emoji3] magu naskia huwa anapiga simu kila siku ikulu ya canada akiomba bombadia lake liachiwe ili iwe kama ishara ya urafiki kati ya tz na canada, walisha mblock huko![emoji191] [emoji241]
Anyways richard quest pale cnn naona anazidi kutupa promo ya bureee, alaf anasema wataicover inugural flight siku hiyo!! Ni sheeeedahhhh[emoji122] [emoji122] [emoji95] [emoji119] [emoji3] [emoji125]
View attachment 674417
KQ hoyeeeee
View attachment 674418
Sure, the problem with KQ is all the money they generate goes to Aircraft Lords, (the owners),Without forgeting the most affordable of them all Air tanzania baby[emoji3] [emoji122] [emoji241] [emoji191]