KQ: Kenya airways- Wateja wa tanzania ni 3.9% ya wateja wote, + mengineyo

hehe....bora umefafanua kwa Kiswahili Kafrican...othewise wangepita kimya kimya kisa hamna aliyeelewa chochote
 
Wakenya wanamuogopa sana jpm ndio maana faster wameanzisha route ya US ilitutakaposhusha zetu waseme tumeiga wao.
Kaeni kwa ushindani zinakuja zipo njiani mamaeeee na jpm kasema TZ to US, TZ TO CHINA, TZ TO LONDON.
Mtanyooka kipindi hiki
Kenya iliapply US flights karibia miaka 7 iliopita.barani ni nchi sita tu zinazo operate flights kuelekea Marekani..good luck....you will need it...
 
Watanzania wengine wanachekesha sana mnashabikia vya nje huku mnashangilia kuua vya kwenu! Duh hopeless kabisa.
Ila mleta thread utambue kuwa abiria wengi sana wa mataifa mbalimbali wanapitia Tanzania. Hatuangalii kupanda ndege tu bali tunaangalia abiria wa mataifa mbalimbali wanapitia routes zipi. Tanzania is an important route due to the richness of heritage centers that attract tourists who you are proud of.... View the booming business of KQ in broder terms.
 
Wakenya wanamuogopa sana jpm ndio maana faster wameanzisha route ya US ilitutakaposhusha zetu waseme tumeiga wao.
Kaeni kwa ushindani zinakuja zipo njiani mamaeeee na jpm kasema TZ to US, TZ TO CHINA, TZ TO LONDON.
Mtanyooka kipindi hiki
Ndoto kama hizi ndo huwa zinafanya mtu ajitie kitanzi akishaamka. Watz bana eti JPM kasema 😀 amka kijana ahadi za kampeni ndo mlizinguliwa nazo. We unadhani ni kazi ya siku mbili? Imechukua Kenya miaka saba kukubaliwa kuoperate kwenye route hiyo. Quality ya pale JKIA wamekuwa wakiitathmini kwa siku nyingi sana. We bado una matumaini na hapa kazi tu? Umenikumbusha zile nyimbo za zilizopendwa.....miaka yaenda haraka sana, na sura ya tz inazidi ikichuchuka, ooh baby! 🙂
 
Kenya iliapply US flights karibia miaka 7 iliopita.barani ni nchi sita tu zinazo operate flights kuelekea Marekani..good luck....you will need it...
lakini Ethiopia inamake stops Togo so sio direct kama kq...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…