Tetesi: KQ kuuza Dirimulaina 6 na boeing 777 moja baada ya kushindwa kulipa mkopo

MK254 na genge lako kama bado hamjaja ebu njooni tuimbe mapambio..
 
It’s a sale and lease back. Business decision to manage cash flows

This kind of decision is normally working on live investments like real estate. The dead ones like plant and machinery it's triggering to a erosion of bottom line.
 
ATCL walishanyolewa, wamejifunza na wamejua namna ya kutunza nywele. Hutaona wamenyolewa tena.

Faida wanapata lini?

Maana ni hasara generation since Jiwe na itaenda to infinity!

Serikali inachoma hela day in day out....faida ni actually will never ever happen!
 
Nenda kaite Press conference alafu useme ni bogus [emoji23][emoji23][emoji23]


Hutaki andamana!

Huwezi zuia watu wasikuchukie!

Hata asipoita press conference atasemea chumbani kwake au chooni kwake wakati anakunya!

Hii dunia kuna wataokupenda na tutakao kuchukia!

Nothing you can do about people’s minds!

Nothing!

Sina haja ya press conference!

Jamaa namchukia with passion!

Sio yeye tu,yeye na kila kitu anachokifanya na wote wanaomzunguka na chama chake,na mkewe na watoto na kijijini kwako na ndugu zake wote,etc!

Its me!

Sitaki ushauri wa mtu!

Wewe mpende,upo huru,na sisi hatumpendi tupo huru!

You and him can go to hell anyways!
 
Unachukia vitu anavyofanya [emoji23][emoji23][emoji23] basi usiwe unapita barabarani pita vichochoroni,
Usisahau pia chuki humchoma anayehifadhi.
 
Unachukia vitu anavyofanya [emoji23][emoji23][emoji23] basi usiwe unapita barabarani pita vichochoroni,
Usisahau pia chuki humchoma anayehifadhi.

Nisipite barabarani hizo barabara ni za Jiwe au CCM?

Stop insulting people of Tanzania!

We are group of civilized people from generation and generation of our ancestors putting the work of what you see today!

Jiwe is just one stone among millions and millions of stones making up this nation!

Barabara na kila kitu ni mali ya wananchi wote na Jiwe ni mmoja kati ya milioni 60 hardworking people of this nation!

Barabara au chochote si vyake!

Hawezi zuia wananchi wenye mali zao wasitumie sababu hawaelewani nae yeye binafsi na chama chake!

Chuki ni emotion kama ilivyo kupenda!

Zote ni overated emotions!

Mwenye upendo na mwenye chuki wote ni sawa,wote ni wapumbavu!

Ambao sio wapumbavu ni wote emotionless!

Wewe mwenye upendo na huyo mtu na mimi mwenye chuki na huyo mtu wote tupo sawa!

Cha ajabu ulivyo nyani unacheka kundu la nyani mwenzio!

What an irony!
 
Umesema unachukia vitu anavyofanya na vitu vinavyofanywa na watu wa karibu yake it Means serikali kwa ujumla, sasa kwanini utumie vitu vinavyofanywa na yeye au serikali kwa ujumla [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo cha zaidi unaendelea tu kuonekana wewe huna hoja zaidi ya chuki za kishamba maana unasema unachukia serikali alafu bado unaendelea kutumia huduma zake,
Chuki humchoma anayehifadhi Usisahau hili.
 
Unauzaje gari la kukodi...tena baada ya kuliaza unaweka deal ya kulikodi tena kw huyo uliyemuuzia...

Kweli wewe ni chenga[emoji23][emoji23][emoji23]
KQ ina ndege 3 tu ilizo lipa pesa yote ya mkopo.
Hizi inayo uuza ni kujaribu kukwepa madalali kuzipiga mnanda sababu ya kukosa kulipa deni
 
Umetoa wapi hayo maandiko...manake habari inaongea vingine...kweli mara hii mmekorogeka[emoji23][emoji23][emoji23]
U r transferring a lease as u couldn't honor the debt from Afrexim bank!
 

Bado hujaelewa na siwezi kukulaumu!

Jiwe na watu wake kuingia madarakani 2015 hakufanyi vitu vya nchi hii kua vya binafsi,bali ni mali zetu hivyo natumia na kumiliki kama zamani wakati wao walikua hawapo!

Ishu hapa ninawachukia wao kama personal individuals!

Mali zao binafsi siwezi gusa au kuji associate nazo!

Mali zetu kama nchi ni mali zetu na napita na kutumia ninavyotaka.

Nae akimaliza kua kijakazi wetu atarudi kwa baba na mama yake huko Chattle na ataingia kima mwingine!

Nachokichukia ni wao binafsi na bongo zao za hovyo na maamuzi ya hovyo na uonevu wanaofanyia wengine na wao kama wao binafsi.

Siwapendi,full stop!

Niache kutumia mali halali za jasho la watu wa nchi yangu sababu nisiempenda ni kijakazi kwenye hizo mali???

Get that in yo’head!
 
Nonsense [emoji23][emoji23][emoji23]
Chuki humchoma anayehifadhi Usisahau hilo.
 
Nonsense [emoji23][emoji23][emoji23]
Chuki humchoma anayehifadhi Usisahau hilo.

Nonsense mwenyewe!

Wewe wa upendo na mimi wa chuki wote sawa!

Chuki huchoma weak minded snowflakes like you!

I’m hard nosed tough minded motherfvcker!

I’m not your average joe!

Haya go take a nap duke!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…