Tetesi: KQ kuuza Dirimulaina 6 na boeing 777 moja baada ya kushindwa kulipa mkopo

Tetesi: KQ kuuza Dirimulaina 6 na boeing 777 moja baada ya kushindwa kulipa mkopo

Hichi ulichokiandika hata heri zile kauli za wakulu wenu majukwani..yani chenga kabisa
Kwani shirika la KQ ni la Wakenya au ni wabia na wazungu, ambao ndio wanaoendesha na wanasiasa wanakula pesa za shirika. Wazungu wanauza Mali zao Kisha waondoke Kisha GOK wachukuwe ili serikali ikabidhi kwa wananchi kuongoza. Kama ilivyo kwa JPM ndege zote ni za serikali. Na ikabidhi kwa KQ na kuongoza na Wakenya na siyo Mzungu
 
Kwani shirika la KQ ni la Wakenya au ni wabia na wazungu, ambao ndio wanaoendesha na wanasiasa wanakula pesa za shirika. Wazungu wanauza Mali zao Kisha waondoke Kisha GOK wachukuwe ili serikali ikabidhi kwa wananchi kuongoza. Kama ilivyo kwa JPM ndege zote ni za serikali. Na ikabidhi kwa KQ na kuongoza na Wakenya na siyo Mzungu
Kenya Airways Ltd., more commonly known as Kenya Airways, is the flag carrier airline of Kenya.[2] The company was founded in 1977, after the dissolution of East African Airways. Their head office is located in Embakasi, Nairobi,[3] with its hub at Jomo Kenyatta International Airport.[4]
The airline was owned by the Government of Kenya until April 1995, and it was privatised in 1996, becoming the first African flag carrier to successfully do so.[5] Kenya Airways is currently a public-private partnership. The largest shareholder is the Government of Kenya (48.9%), 38.1% is owned by KQ Lenders Company 2017 Ltd. (in turn owned by a consortium of banks), followed by KLM, which has a 7.8% stake in the company. The rest of the shares are held by private owners; shares are traded on the Nairobi Stock Exchange, the Dar es Salaam Stock Exchange, and the Uganda Securities Exchange.[5][6][7]
Source: https://en.wikipedia.org/wiki/Kenya_Airways
 
Back
Top Bottom