Tetesi: KQ kuuza Dirimulaina 6 na boeing 777 moja baada ya kushindwa kulipa mkopo

Utajua wewe huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Nonsense mwenyewe!

Wewe wa upendo na mimi wa chuki wote sawa!

Chuki huchoma weak minded snowflakes like you!

I’m hard nosed tough minded motherfvcker!

I’m not your average joe!

Haya go take a nap duke!
 
Unauzaje gari la kukodi...tena baada ya kuliaza unaweka deal ya kulikodi tena kw huyo uliyemuuzia...

Kweli wewe ni chenga[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukinunua gari kwa mkopo, si umalize tu mkopo liwe lako badala la kuliuza alafu tena ukodi hilohilo wala sio hata jipya
Hizi ni akili za kima 🐵🐒
 
Bora Yangu nahifadhi Upendo [emoji23][emoji23][emoji23]

Na nani kakwambia upendo ni feeling sahihi?

Nani kakwambia Upendo ni feeling bora zaidi ya Chuki?

Wanasiasa na wachungaji wapumbavu wa dini?

Wanasiasa ni wapumbavu na wachungaji/mashehe ni wapumbavu kama mimi na wewe!

Wamekudanganya uwe na upendo nao usiwachukie waendelee kukunyonya!

Kalagabaho!
 
Biashara ya usafiri angani si ya mchezo mchezo ina hasara kubwa sana. Tusishangae huyo dikteta aliyekurupuka kudandia biashara hii kichwa kichwa akaizuia ofisi ya CAG kukagua financial statements ili kuficha uozo na hasara kubwa ndani ya ATCL.

KQ keshanyolewa,ATCL tia maji zamu yako!

Na ATCL ndio kipigo kitakua kikali sana maana ATCL ni loss generation super machine!

Watch this space folks!
 
Sio kazi yangu kuchukia watu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani kuinvest heavily kwenye biashara ambayo ni unpredictable ni ujinga kwa kweli..
 
Kwani KQ tena hawamiliki ndege tatu[emoji848][emoji848].? Ama wale know it all from satanic nation didn't tell me something.

Hata mimi nimejiuliza hilo swali. Huyo huyo alieanzisha hii maada alishawahi kuleta nyingine ikidai KQ wana ndege 3 tu. Leo wanauza Dreamliner 7, ni za wapi tena hizo!
 
ATCL walishanyolewa, wamejifunza na wamejua namna ya kutunza nywele. Hutaona wamenyolewa tena.

Ni bora ukaamini kuwa nguruwe anaweza kuruka sawa na kunguru. As far fetched as it is; it has a better chance of happening kuliko ATCL hii kujiendesha kwa faida.
 
kumchukia mtu hukatazwi.

ila kumtukana ndio tatizo,tunachoshauri ongeza sauti,hakikisha amekusikia na amekuona.
 
Mwanaume aliekamilika hana tabia za kijinga kama hizo,
Kama umekamilika nenda mfate mchane live sio kujificha nyuma ya keyboard [emoji23][emoji23][emoji23]

Nimchane live for what?

Sina muda wa kupoteza mzee.

Its not my job to counsel others!

Mwanaume aliekamilika hana chuki?

Unadanganya watoto hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…