Tetesi: KQ kuuza Dirimulaina 6 na boeing 777 moja baada ya kushindwa kulipa mkopo

Mwanaume aliekamilika anatoa wapi chuki za kishamba [emoji23][emoji23][emoji23]
Huo muda unaopoteza kumchukia mtu asiyekujua unautoa wapi.
Nimchane live for what?

Sina muda wa kupoteza mzee.

Its not my job to counsel others!

Mwanaume aliekamilika hana chuki?

Unadanganya watoto hapa?
 
Mwanaume aliekamilika anatoa wapi chuki za kishamba [emoji23][emoji23][emoji23]
Huo muda unaopoteza kumchukia mtu asiyekujua unautoa wapi.

Chuki yangu sio ya kishamba!

Ni ya kishamba kutokana na ubongo wako binafsi!

Which is okay maana una uhuru wa maoni!

Still unachosema ni maoni!

Hanijui,ila namchukia!

Namchukia yeye,watu wake,anavyofikiri,anachoongea,etc!

I just hate the nigga!

Usinipangie!

Jipangie mwenyewe!

Mpende wewe,unaruhusiwa!

Mimi usinipangie kabisa na sitaki ushauri wala maoni yako!
 
Sasa hizo chuki zako huwa unaandika za nini humu?
Niandikie insha hapo chini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mlikua mnasema KQ ina ndege tatu sasa hizo zote zatoka wapi tena?
 
Unajifanya mjuaji baada ya hasara zenu wakenya [emoji23][emoji23][emoji23] ATCL inamiliki ndege zake bro, kwanza hatuna shida na mindege mikubwa kama mlokua nayo nyie ilowapa hasara, cc vndege vyetu vudgo na zinaenda nchi chache tu ambazo ndo wageni wetu wakubwa hapa nchini nadhan ni nchi 13 tu africa, na nchi kama india na pia china na london very soon with just such a small fleet. Nyie mumekopa mandege makubwa kibaaoo na abiria hamna [emoji23][emoji23][emoji23] afu mnauza ndege za watu kwenda kulipa deni. Sisi hata tukipata hasara tutauza ndege na pesa ni yetu tutafanyia mambo mengne but hatuta uza ili kuwapa pesa watu wengne kama ninyi. Kwahy mzee wetu katumia akili kuanza mdgo mdgo hajakurupuka kama nyie.
Who believe in anything Jiwe is doing?

The dude’s bogus!

ATCL ni mtambo wa kutengeneza hasara,huo ndio ukweli mchungu sana!

Kalagabaho!
 

Naona umeshanipa uraia wa Kenya!

Very funny!

Mengine yote uliyoongea ni nonsense!

Ukubwa ndege,sijui ndege mnamiliki wenyewe kwa hela cash,sijui nini na nini ni hoja za hovyo sana!

Kinachoangaliwa ni hiki:

ATCL unajenga faida as we speak?Jibu ni hapana!

ATCL ina pump hasara jumlisha hasara tangu mwanzo,sasa na hadi infinity!

Hayo ya umiliki,sijui cash,sijui Jiwe,sijui safari fupi,sijui safari ndefu,etc ni mavi ukajumlisha na mavi!
 
Who believe in anything Jiwe is doing?

The dude’s bogus!

ATCL ni mtambo wa kutengeneza hasara,huo ndio ukweli mchungu sana!

Kalagabaho!
na sio ATCL pekee,,subiri tuombe tuwe na maisha maref ili tuje kushudia kilio cha mbwa mwizi
 

Huu ni wakati wa kununua ndege kwa cash kutoka kwa waafrica wenzetu Magufuli fanya yako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Midege mibovu inakula mawese kama nini, wakae nayo tu au wauze kama pile of scrap metal..
Huu ni wakati wa kununua ndege kwa cash kutoka kwa waafrica wenzetu Magufuli fanya yako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kiukweli sio jambo la kufurahisha ila ni jambo la kutafakari na kujiuliza swali la kwann ,.. japo biashara huwa ina matokeo ya kupanda na kuporomoka ila KQ hawakustahili hili kuna vitu ndio vimepelekea hapo walipofikia lzm wakenya mtafakari...iweje rwandair kashirika hakana hata miaka 15 kana survive ktk biashara mliyoitawala kwa miaka mingi ktk ukanda huu leo hii rwandair wana pave the way
 
Wa tz bana..muulize yeye kaenda lini kumuonyesha hayoo mahaba live
 
KQ keshanyolewa,ATCL tia maji zamu yako!

Na ATCL ndio kipigo kitakua kikali sana maana ATCL ni loss generation super machine!

Watch this space folks!
Eti Loss generation super machine. Kweli mnawashwa. Uzeni izo ndege tu mpate kulipa madeni yenu. Huenda mkauza ata Airport nyinyi 😀
 
Source:https://en.wikipedia.org/wiki/RwandAir

 
Unauzaje gari la kukodi...tena baada ya kuliaza unaweka deal ya kulikodi tena kw huyo uliyemuuzia...

Kweli wewe ni chenga[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani shirika la KQ ni la Wakenya au ni wabia na wazungu, ambao ndio wanaoendesha na wanasiasa wanakula pesa za shirika. Wazungu wanauza Mali zao Kisha waondoke Kisha GOK wachukuwe ili serikali ikabidhi kwa wananchi kuongoza. Kama ilivyo kwa JPM ndege zote ni za serikali. Na ikabidhi kwa KQ na kuongoza na Wakenya na siyo Mzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…