Kwani shirika la KQ ni la Wakenya au ni wabia na wazungu, ambao ndio wanaoendesha na wanasiasa wanakula pesa za shirika. Wazungu wanauza Mali zao Kisha waondoke Kisha GOK wachukuwe ili serikali ikabidhi kwa wananchi kuongoza. Kama ilivyo kwa JPM ndege zote ni za serikali. Na ikabidhi kwa KQ na kuongoza na Wakenya na siyo Mzungu
Kenya Airways Ltd., more commonly known as Kenya Airways, is the flag carrier airline of Kenya.[2] The company was founded in 1977, after the dissolution of East African Airways. Their head office is located in Embakasi, Nairobi,[3] with its hub at Jomo Kenyatta International Airport.[4]Kwani shirika la KQ ni la Wakenya au ni wabia na wazungu, ambao ndio wanaoendesha na wanasiasa wanakula pesa za shirika. Wazungu wanauza Mali zao Kisha waondoke Kisha GOK wachukuwe ili serikali ikabidhi kwa wananchi kuongoza. Kama ilivyo kwa JPM ndege zote ni za serikali. Na ikabidhi kwa KQ na kuongoza na Wakenya na siyo Mzungu
Ni za wabia 😁Mlikua mnasema KQ ina ndege tatu sasa hizo zote zatoka wapi tena?