Tetesi: KQ yaongeza Hasara mara mbili hadi Ksh 7.5b kutoka billioni 4 mwaka janaπŸ˜†πŸ˜†

Kq wanamiliki ndege 3 tu zingine zote ni leased deal
 
huyo ni ndovu anayetembelea mguu mmoja, kilema.

unaongelea jina au ndege maana unajisifia ujinga kuwa na gharama za matengenezo coz ndege zenu ni za kukodi pia simpya, fuel cost kuwa ndogo ni kwa sababu tunatumia akili kubwa kununua ndege zenye low fuel consumption.
kwenye hizo ndege naweza sema kq hamba ndege hata moja coz hata hiyo 787 mliyonunua bado mnadaiwa so mkizingua wanachukua ndege yao
 
Saidia majibu plzπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Did you know, loss making KQ still carries over 4 million passengers per year.
How many thousands does ATCL carry?
 
Did you know, loss making KQ still carries over 4 million passengers per year.
How many thousands does ATCL carry?
Kubeba abiria sio hoja πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† hapa tunaangalia where is the profit?? Inamaana munabeba abiria bure na munaingizia nchi hasara ya mabilioni ya pesaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Note:
Every businessman is a profit motivated
 
Kubeba abiria sio hoja πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† hapa tunaangalia where is the profit?? Inamaana munabeba abiria bure na munaingizia nchi hasara ya mabilioni ya pesaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Note:
Every businessman is a profit motivated

KQ made an operation profit in 2017 and 2018.
It is suffering only because of past management errors. Kulipa madeni za kitambo.

How much operation profit did ATCL make last year?
 
KQ made an operation profit in 2017 and 2018.
It is suffering only because of past management errors. Kulipa madeni za kitambo.

How much operation profit did ATCL make last year?
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† hvi wewe unaongea nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…