Kwanini unazungumza pesa, tuzungumze mambo yaliyofanyika katika elimu, Afya, barabara, maji , UMEME, na mambo yenye kuleta maendeleo. Ninyi bajeti yenu haifiki kwa wananchi, 30% inapotea njiani, 52% ni Salaries, sasa bajeti kubwa isiyofika kwa mwananchi inasaidia nini?
Wewe kwanza weka orodha ya miradi yenu hapa, kisha kila mmoja atathibitisha kwa picha. Weka kwanza orodha ya miradi yenu, kisha nitakuwekea picha. Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha. Hoyeeeeeeeee
Yeyote anayepinga juhudi mnavua uraia! Thomas Marandu kijana wenu sasa unampa Ukenya!Pale Mkenya anazungumzia Tanzania
Hakuna mtanzia
Anazungumza kiswahili cha kipumbavu kama hicho
Ati, Ati, Ati,
Yeyote anayepinga juhudi mnavua uraia! Thomas Marandu kijana wenu sasa unampa Ukenya!
vindu vichenganga...its now UP 43b..what say you now?!Wee unaonekana umevurugwa,
the issue in here is about KRA 32% decrease in revenue collection, (a fall of more than one third) not ligi kdati ya TZ n kenya.
Wee unaonekana umevurugwa,
the issue in here is about KRA 32% decrease in revenue collection, (a fall of more than one third) not ligi kati ya TZ n kenya.
To your face!
Tuchangie tu humu. Si zote zahusu KRA?Anzisha uzi ili tuchangie.
Tuchangie tu humu. Si zote zahusu KRA?