KRA tax collections fall by 32 percent in first quarter

KRA tax collections fall by 32 percent in first quarter

Kheee!!si wewe uliyeseme nilete wapi tunatumia $1b kufanyia miradi...
Nimekubana sio[emoji23][emoji23][emoji23]

Anyway, hayo uliyoyataja mnatuzidi kipi?
Story za vijiweni sitaki
Kwanini unazungumza pesa, tuzungumze mambo yaliyofanyika katika elimu, Afya, barabara, maji , UMEME, na mambo yenye kuleta maendeleo. Ninyi bajeti yenu haifiki kwa wananchi, 30% inapotea njiani, 52% ni Salaries, sasa bajeti kubwa isiyofika kwa mwananchi inasaidia nini?
 
Lete bajeti yenu ya elimu hapa kwanza
Wewe kwanza weka orodha ya miradi yenu hapa, kisha kila mmoja atathibitisha kwa picha. Weka kwanza orodha ya miradi yenu, kisha nitakuwekea picha. Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha. Hoyeeeeeeeee
 
Pale Mkenya anazungumzia Tanzania
Hakuna mtanzia
Anazungumza kiswahili cha kipumbavu kama hicho
Ati, Ati, Ati,
Yeyote anayepinga juhudi mnavua uraia! Thomas Marandu kijana wenu sasa unampa Ukenya!
 
Wee unaonekana umevurugwa,
the issue in here is about KRA 32% decrease in revenue collection, (a fall of more than one third) not ligi kdati ya TZ n kenya.
vindu vichenganga...its now UP 43b..what say you now?!
 
Back
Top Bottom