Angalia jedwali kiongozi
Mkuu hiyo uliyofanyia comparison ni tax revenue tu..ngoja nikupe mtiririko wa budget yetu uelewe alafu ufanye comparison yako na hao wakenya..
- The total collection of Government revenue was 26.13 trillion shillings equivalent to 79% of the total collection target.
- Tax revenues reached 14.63 trillion shilling. The growth was attributed to strengthening enforcement of tax laws and proper management of Electronic Fiscal Devices (EFDs); provision of taxpayers’ education and taxpayer services; and strengthening mineral control.
- Non-tax revenues amounted to 2.25 trillion shillin
- Local Government Authorities (LGAs) own source reached 571.12 billion shillings
- Grants and concessional loans disbursed from Development Partners reached 2.41 trillion shillings,This was attributed to Government’s efforts in implementing the underlying principles stipulated in the Development Cooperation Framework (DCF).
- Loans from domestic sources including rollover of matured Treasury bills and bonds, reached 4.45 trillion shillings
- External non-concessional borrowings reached 1.82 trillion shilling
TRA imejaa wapigaji wengi, nakumbuka kuna video ambayo Magufuli aliita kikao na wana biashara, wakamfungukia ukweli wote namna huwa wanababaishwa, mtu una biashara yenye mtaji wa Tshs 10,000,000 unapotaka ulipe kodi jamaa wanapiga mahesabu wanakuambia una deni la TRA la Tshs 200,000,000
Unaambiwa ufanye maamuzi, uwape kitita fulani wakurekebishie au ukapambane mbele huko, haya yote aliambiwa rais wenu sijui kama kuna lolote la maana mlilifanya au ile ilikua show tu, tatizo mnapenda maonyesho maonyesho ya kisiasa halafu utendaji zero.
Pia Watanzania hamna desturi ya kupenda kulipa kodi, nilishangaa sana nikiwa Bongo kuona hamna mtu huhangaika kuagiza risiti ya EFD. Sasa hapo mnataka mshindane na sisi kiuchumi, pengo baina yetu litazidi kuongezeka mpaka basi.
Hapana mkuu sina nia mbaya ninapocheka, ninafurahi jinsi unavyoshuka mistari[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu
Unanifurahisha sana pale unapoona kua tuna mfumo bora sana wa serikali...
Huoni matatizo fundamentally ya kimfumo tuliyonayo....
Huoni kabisa,wewe unacheka na unaona tupo sawa kabisa..
Yaani unaona ni safi kabisa mwananchi mchimba madini Mererani anaruka ukuta mita kadhaa,anapigwa risasi kadhaa na bado anavuka mpaka anapeleka madini kuuza Nairobi na sio Dar es Salaam hujiulizi tatizo ni nini na hii nchi?
MkuuMkuu
Unshajiuliza wewe pia inawezekana ndio ukawa misinformed na wala sio mimi?
Oh yeah,wanadamu tupo biased na what we know,wewe upo informed mimi sipo informed,according to you!
Mimi nipo informed ila sijui about you,na hii ni according to me too!
Unatoa bias na mimi nimetoa my bias!
Hatuiwezi kwenda na biases namna hii...wewe toa sentensi kama hoja then backup na evidence!
Mimi nimetoa hoja kua serikali ya Tanzania kisheria inaruhusiwa kuua makampuni binafsi bila hata kwenda mahakamani....
Nikaweka na mifano.....sasa hizo kampuni hazikuuwawa kweli?
By the way,Airtel ilikua kidogo iuwawe nadhani ikaponea baada ya ku-strike a deal na mtakatifu....
Sheria za nchi zinaruhusu haya yote,na pia hatuna Rule of Law,mahakama zetu sio mahakama,hili unalijua!
Kampuni zote zinaenda Kenya maana kuna guarantee ya rule of law na sheria zao ni free capitalism friendly kwenye misingi yake!
Na by the way,Tanzania tuna ya kujifunza Kenya,Capitalism ipo Kenya,kwetu tuna Socialism,tuna kibarua cha kujifunza capitalism,Kenya have perfected that art..
Tuna kazi ndefu mno ya kujifunza!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu
Makampuni mangapi ya Tanzania yameenda Kenya na makampuni mangapi ya Kenya yamekuja Tanzania?
Mkuu samahani kwa hili swali, umekunywa kidogo au ndio akili zako?[emoji23][emoji23]
Sisi hatuna capital ya kwenda Kenya kama Wakenya walivyo na capital ya kuja huku....Mkuu
Makampuni mangapi ya Tanzania yameenda Kenya na makampuni mangapi ya Kenya yamekuja Tanzania?
Mkuu samahani kwa hili swali, umekunywa kidogo au ndio akili zako?[emoji23][emoji23]
Sisi hatuna capital ya kwenda Kenya kama Wakenya walivyo na capital ya kuja huku....
Swali hapa ni kwamba Kenya kuna kampuni nyingi zaidi ya Tanzania na zinazalisha zaidi ya Tanzania mara kadhaa....
Hiyo ndio fundamental issue..
Wewe kudhani makampuni mengi ya Kenya kuja Tanzania ni dhihirisho kua Tanzania ina mfumo mzuri wa uchumi?
Na kwamba makampuni yetu kutokua na uwezo wa kwenda Kenya ni kwamba Kenya mfumo wao ni mbaya?
Neither of the above ni true...
Tanzania makampuni yetu yapo weak kwenda Kenya ku-compete,Kenyan competition ni more stiff na cutthroat zaidi...
No Tanzanian company can survive in Kenya kwasababu ni weaker company from weaker economy...
Makampuni ya Kenya kuja hapa ni regional expansionism kuja kwenye weaker economies maana ni rahisi ku-compete na weaker companies huku ambayo ni natural progression ya stronger economies kutafuna weaker economies.
Tanzania mfumo wetu ni wa hovyo,ndio maana makampuni yetu ni weaker,wakija Wakenya wana dominate,japo serikali ni haramia ila weaker competition is more appealing to them wana take risk ya kuja.....
Mkuu,tujiangalie mara mbili mbili,we have to perfect this game more than Kenyans...
Huwa huchoki kudanganya wenzako? Your Tax revenue was 15.5 trillion.
Mkuu izi brains za miccm wanazijua wenyewe.Yaani they always think in reverse I don't blame them though 😂😂Sisi hatuna capital ya kwenda Kenya kama Wakenya walivyo na capital ya kuja huku....
Swali hapa ni kwamba Kenya kuna kampuni nyingi zaidi ya Tanzania na zinazalisha zaidi ya Tanzania mara kadhaa....
Hiyo ndio fundamental issue..
Wewe kudhani makampuni mengi ya Kenya kuja Tanzania ni dhihirisho kua Tanzania ina mfumo mzuri wa uchumi?
Na kwamba makampuni yetu kutokua na uwezo wa kwenda Kenya ni kwamba Kenya mfumo wao ni mbaya?
Neither of the above ni true...
Tanzania makampuni yetu yapo weak kwenda Kenya ku-compete,Kenyan competition ni more stiff na cutthroat zaidi...
No Tanzanian company can survive in Kenya kwasababu ni weaker company from weaker economy...
Makampuni ya Kenya kuja hapa ni regional expansionism kuja kwenye weaker economies maana ni rahisi ku-compete na weaker companies huku ambayo ni natural progression ya stronger economies kutafuna weaker economies.
Tanzania mfumo wetu ni wa hovyo,ndio maana makampuni yetu ni weaker,wakija Wakenya wana dominate,japo serikali ni haramia ila weaker competition is more appealing to them wana take risk ya kuja.....
Mkuu,tujiangalie mara mbili mbili,we have to perfect this game more than Kenyans...
Huwa huchoki kudanganya wenzako? Your Tax revenue was 15.5 trillion.
View attachment 1572525
Mkuu nilikuulizwa swali hujajibu, naomba kurudia tena swali langu, ila samahani kama litakukera:Sisi hatuna capital ya kwenda Kenya kama Wakenya walivyo na capital ya kuja huku....
Swali hapa ni kwamba Kenya kuna kampuni nyingi zaidi ya Tanzania na zinazalisha zaidi ya Tanzania mara kadhaa....
Hiyo ndio fundamental issue..
Wewe kudhani makampuni mengi ya Kenya kuja Tanzania ni dhihirisho kua Tanzania ina mfumo mzuri wa uchumi?
Na kwamba makampuni yetu kutokua na uwezo wa kwenda Kenya ni kwamba Kenya mfumo wao ni mbaya?
Neither of the above ni true...
Tanzania makampuni yetu yapo weak kwenda Kenya ku-compete,Kenyan competition ni more stiff na cutthroat zaidi...
No Tanzanian company can survive in Kenya kwasababu ni weaker company from weaker economy...
Makampuni ya Kenya kuja hapa ni regional expansionism kuja kwenye weaker economies maana ni rahisi ku-compete na weaker companies huku ambayo ni natural progression ya stronger economies kutafuna weaker economies.
Tanzania mfumo wetu ni wa hovyo,ndio maana makampuni yetu ni weaker,wakija Wakenya wana dominate,japo serikali ni haramia ila weaker competition is more appealing to them wana take risk ya kuja.....
Mkuu,tujiangalie mara mbili mbili,we have to perfect this game more than Kenyans...
I told you bro, that guy is very stranger.Mkuu nilikuulizwa swali hujajibu, naomba kurudia tena swali langu, ila samahani kama litakukera:
Umekunywa konyagi kidogo au hii ndio akili yako?.
Wacha kujidhalilisha, unakua Kama kichaa wewe vipi?,. Wewe ndiye uliyesema kwamba kutokana na sera mbovu za Tanzania ndio sababu makampuni ya Tanzania yanakimbilia Kenya, ndio sababu nikakuuliza ni makampuni mangapi ya Tanzania yaliyokimbilia Kenya ukilinganisha na Makampuni ya Kenya yaliyokimbilia Tanzania?, ulipogundua kwamba Hakuna makampuni ya Tanzania yaliyokimbilia Kenya badala yake makampuni ya Kenya ndio yamekimbilia Tanzania, unageuza mwekeleo na kusema kwasababu yapo weak, ila makampuni ya Tanzania yakienda Kenya ni kwasababu Tanzania kuna sera mbovu, hivi wewe ubongo wako umejaa wadudu?
Ana matatizo ya akili sio bure, haeleweki anachosema, anazungumza maneno mengi yasiyokua na muunganiko: ooh sera za uchumi ni mbovu makampuni yanaenda Kenya kwenye sera nzuri, baadae anabadilisha " unajua makampuni ya Tanzania hayawezi kwenda Kenya kwasababu hayana mtaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I told you bro, that guy is very stranger.
Wewe umesoma hizo comments za Watanzania,Watanzania hawajui kujifunzaTafadhali hili sio lengo la huu mjadala, lengo ni kuonyesha mapungufu ili watu wajifunze, wacha kutoa conclusions ambazo huna uhakika nazo, hadi sasa tumezungumzia maeneo mawili tu, ya bandari za Mombasa vs Dar.na TRA vs KRA, subiri kuna maeneo mengi yanakuja, sijui kama hutofuta hii kauli yako.
SijakuelewaWewe umesoma hizo comments za Watanzania,Watanzania hawajui kujifunza
Wanachojuwa wao ni ubushi na ushindanikama Wewe unafikiri huu uzi utawafunza Watanzania basi umekosea sana,huwajui hawa Watu..the most ignorant people in the planet Earth
Haungekuwa na chochote cha kujifunza Kenya, haungekuwa kwenye jukwaa la Kenya. Hii inadhihirisha jinsi chuki ilvyokukaba hadi kooniTumieni data sahihi sio hizi takataka, halafu Tanzania hatuna chochote cha kujifunza Kenya 🚮🚮🚮🚮
Stop blaming your inneficiencies on us. Start acting instead of lamenting. Hilo la wauza ng'ombe linafanyika hapa Kenya. Huwezi kuuza ng'ombe, mbuzi au kondoo kwenye mnada hapa Kenya bila kulipa kodi.Mara mbili bado haifiki pia,huwezi kukadiria pesa.Makusanyo siyanaendana na shughuli za uzalishaji mali katika eneo husika. Mfano hapa Tanzania kuna wafugaji wenye Ng'ombe kwa maelfu hao wakipata soko wanalipia kodi wapi? Kwa siku moja zinauzwa Ng'ombe, mbuzi kondoo ngapi ambazo hazilipiwi kodi?Bado serikali inamtambua mfugaji kama choka mbaya wakati huingiza fedha nyingi sana kuliko watu wengi wa kawaida. Kwann basi wasitengeneze utaratibu wa kukusanya walau 5% kwa kila Ng'ombe atakaeuzwa, pesa zipo nyingi zinazunguka hazisomeki kwenye mfumo.