KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

leave him alone. Stupid guy thinks Economics ni kindergarten level math .

He seriously thinks if Tanzania erases one zero from their currency, it will beat kenya's currency. How can you explain Gdp predictions and figures to such a person .
Ksh haina purchasing power kubwa kulinganisha na Tsh na ndiyo maana kenya maisha ni magumu mno.
 
Heheheheheeee hii gdp ushuzi inanshangaza sn wallahi mara 109 mara 70, mara 95 so which is which?

Btw nisaidie kuambia wenzako waache kujidanganya hamjafika three digits economy na hamtofika recently may be 2050.
Wewe kojoa ulale. Those are 2019 figures and we are in 2020. Kenya's economy grew between 2019 and 2020 hata Kama Ni kidogo. Did you expect the figures to remain the same? Hiyo ya 70 unajua mahali umeitoa wewe. Nimekupa taarifa kutoka World Bank, wewe unaniletea uchwara. If you have an issue with those figures, go and complain at World Bank headquarters in Washington DC
 
Heheheheheeee hii gdp ushuzi inanshangaza sn wallahi mara 109 mara 70, mara 95 so which is which?

Btw nisaidie kuambia wenzako waache kujidanganya hamjafika three digits economy na hamtofika recently may be 2050.
Kijana wa Tandale, this won't change the fact that Kenya's GDP is almost two times bigger than yours. I already told you that ukiwa na shida you can forward your complaints to World Bank who published those figures. Kupiga kelele hapa JF won't change any fact
 
Do you know the difference between 2019 and 2020? Ama unajifanya hujui kusoma?
Tatizo lenu mnapenda ukubwa sana hata blog uchwara wakiandika gdp yenu ni $300b in the name of wb hamtawaza mara mbili kupost hapa...
Najua kutofautisha Ndio ndio nakuuliza mbona mmekua mkisema ni 99 mara zote?
 
Tatizo lenu mnapenda ukubwa sana hata blog uchwara wakiandika gdp yenu ni $300b in the name of wb hamtawaza mara mbili kupost hapa...
Najua kutofautisha Ndio ndio nakuuliza mbona mmekua mkisema ni 99 mara zote?
Akikujibu nitag [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tatizo lenu mnapenda ukubwa sana hata blog uchwara wakiandika gdp yenu ni $300b in the name of wb hamtawaza mara mbili kupost hapa...
Najua kutofautisha Ndio ndio nakuuliza mbona mmekua mkisema ni 99 mara zote?
The data I have given you is from World Bank website. How that one is a blog only God knows. Nishakuambia upeleke malalamishi yako World Bank headquarters
 
Nakubaliana na wewe kwenye hoja zako (Tz ipo chini ya Ke). Lakini ili kupata ulinganifu mzuri, ungetizama zaidi tax revenue to GDP ratio. Hii ya kutizama absolute values peke yake haiwezi kukupa ulinganisho sahihi (hasa kama unalingajisha performance).

Nchi nyingi za kiafrika kwa ujumla hazifanyi vizuri sana kwenye ukusanyaji kodi. Wakati fulani wastani wa kodi kwa GDP kwa Africa ulikuwa kama 18% hivi......wakati kuna nchi zingine wanakusanya kodi mpaka 50% au zaidi GDP zao. Roughly Tz collects 12% and Ke 18%.

Na kuna wengine pia wanaangalia admin cost (how much does TRA/KRA spend to collect a $ of tax?)
 
Hili litawezekanaje wakati kila siku mnaamini kwamba uchumi wetu ni wa kupikwa?
 
Reactions: SMU
Kwa nini mke wako ana makalio madogo kuliko wa jirani yako? Ndio jibu
 
[emoji116][emoji116][emoji116]
Naomba niwakumbushe

Kenya inamaskini wengi kuliko Tanzania

Below poverty line Kenya:34%

Below poverty line Tanzania : 26%

As of 2018.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…