KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

Hakuna mnachozalisha mara 3 ya Tz punguza upuuzi.turudi kwenye gpd per capital Tz $1080 ke $1900 ,yani kwa kifupi mnazalisha mara mbili kasoro kidogo.
 
[emoji1][emoji1] geza ulole na wewe pia.. basi bongo ni shida.. anyway tufanye TRA kinara wa kukusanya kodi africa.
Sio na wewe pia! Usifikiri wote ni zero brain kama wewe, wengine hizi ndio kazi zetu tupo kwenye vitengo husika, na kushangaa unaongea utopolo bila Soni.

Hujui hata unaongea nini masikini
 
Katika historia ya uongozi wa Tanzania, ni Magufuli pekee ndiye aliyefikia ukusanyaji wa kodi kufikia 15% ya GDP. Ndiye ambaye amefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuongeza ukusanyaji wa kodi zaidi ya 110% ndani ya kipindi cha miaka mitano, amefanikia kupunguza urari wa biashara kutoka hasi hadi chanya katika nchi za EAC na SADC, tulikua sisi ni soko la bidhaa za Kanya na South Afrika, leo hiyo hali ni kinyume chake. Amejitahidi sana Magufuli.
 
Umeeleweka na nakuunga mkono kwamba Magufuli kajitabidi lakini bado TRA wangeweza kufika mbali zaidi kama

1. Watatumia tehama zaidi
2. Watawafikia walipa kodi zaidi
3.wataongeza uwazi wa viwango vya kodi
4. Watapunguza manual processes.
5. Wataweka imani zaidi kwenye mifumo ya tehama kiliko kwenye mifumo ya watu watu ( intelligent systems)
 
Uzalishaji upi ni mara Tafu?

Ninasisitiza tena, ndugu zetu wakenya punguzenu hii tabia ya kupenda kujisifu bila ushahidi wowote, tabia hii ndiyo inayojenga chuki baadae mnalalamika kwa Tanzania ina chuki dhidi ya Kenya.

Tunakuomba uweke ushahidi kuonyesha kwamba Kenya inazalisha mara tatu ya Tanzania, Tafadhali tutajie hizo sectors ambazo Kenya inazalisha mara tatu ya Tanzania.
 
Hata kama data zako zingelikuwa ni sahihi lkn c kwa chai hii[emoji116][emoji116]

34 = 14 × 3?
 
Je population ya Tz ni ngapi?

Walipa kodi ni ngapi?

Kwanini tuna pupulation kubwa lakini GDP ndogo?

Huoni kama mfumo mbovu wa kodi unachangia kwa kiasi fulani ukuaji wa GDP?

Correct me if am wrong..
Kodi inaendana na GDP, Kama GDP ni kubwa, maana yake kodi itakua kubwa, GDP haina uhusiano wa moja kwa moja na Population, ila kuna uhusiano na uzalishaji mali, nchi inaweza kuwa na watu wachache kama Qatar lakini ikawa na Mafuta mengi au Almasi nyingi kama Botswana.

Sasa swali lako la kwanini GDP ndogo lakini population kubwa, hilo ni swali pana ambalo sababu zake ni mtambuka, there is no silver bullet answer". Labda tulifungulie uzi wake maalum.
 
One thing that has made KRA increase revenue collection is the use of KRA PIN numbers in most of Kenyans' lives.

To buy land, vehicles, open a bank account, apply for govt tenders, most private tenders, buy shares in the capital markets, open sacco accounts, apply for HELB loans and many other you need a KRA PIN number, meaning more individuals and businesses need to apply for Pins and file returns.

There is also this document called KRA tax clearance certificate, makes you very compliant on filing taxes.
 
Au kwenye akili kisoda yako unafikiri mapato yote ya serikali ni TRA inakusanya? Yapo mapato mengi tu ya serikali ambayo hayapiti TRA

[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Zero brain
Kuna uwezekano Tanzania na Kenya kuna mifumo tofauti ya ukusanyaji wa mapato ya Serikali, huku Tanzania, TRA haihusiki kukusanya mapato ambayo sio ya kodi, wakati Kenya mapato yote hupitia KRA kama sikosei.

Ila ngoja tusubiri wakenya wenye ufahamu mzuri watuambia juu ya hili, nadhani Mkikuyu akili timamu anaweza kuwa anafahamu vizuri au Tony254, ila hawa wakenya wengine wengi huwa wanaongea kiushabiki zaidi, hawaaminiki Sana.
 
Hicho ndicho anachohangaika nacho Magufuli, kwa kifupi ni kwamba TRA sio wabunifu ni mpaka washituliwe kama gari bovu, bado hatujapata kamishina mzuri pale TRA ambaye ataleta Mageuzi makubwa kama aliyofanya Kimei CRDB.
 
Uchumi wa Kenya upo juu sana kulinganisha na TZ.. TRA kipewa kazi ya kukusanya kodi Kenya ingeweza kukusanya mara 10 ya hii inayokusanywa na KRA.
 
Tunakuomba sana, punguza hii tabia yako, mbona wenzako wanachangia vizuri bila kushambulia wengine?
MK254 ni mkenya mpumbavu na asiyetaka kubadilika na ndiyo maana akiona Tz inasonga mbele huwa anapotea kabisa kwenye nyuzi cz amekaa kishabiki mno, ss nani asiyejua kwamba kenya kuna madudu mengi kuliko Tz, usikute hata hyo KRA inapika taarifa ionekane inakusanya sn.

Kama wanakusanya sn mbn wananchi bado wana maisha magumu tofauti na Tz? Kama wanakusanya sn mbn GoK inakesha kuomba misaada hata ya ku finance miradi midogo midogo? So lengo la huu uzi ni kuonesha mapungufu yaliyopo TRA japo mtoa uzi ameandika kishabiki zaidi but ukweli ni kwamba TRA inanuka madudu.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umenichekesha sana. Eti itakusanya mara 10.

Kenya hakuna issue zile za njoo ofisini tuongee ukifika ofisini tena njoo liquid bar tuongeee.

Huku kenya kila kitu ni digital.[emoji1][emoji1]
Uchumi wa Kenya upo juu sana kulinganisha na TZ.. TRA kipewa kazi ya kukusanya kodi Kenya ingeweza kukusanya mara 10 ya hii inayokusanywa na KRA
 
Tatizo hawataki kuwapa vijana ajira wamejaza wazee wa miaka ya 70 ni tatizo ambalo lipo ofisi nyingi za serikali hata ukienda ttcl wazee wejazana ofisini wakati wanapaswa kuwaachia vijana. Mzee wa miaka 60+ na technology wapi na wapi?
 
Mkikuyu- Akili timamu ndio mkenya pekee huwa anandika ukweli kuhusu kenya,

Hawa wengine wapo kishabiki mtakesha humu kuanzisha argument zisizo na mbele wala nyuma huku wengine wakiweka siasa zisizo hitajika.
 
Nasikia CIO (Chief Information Officer ) TTCL ni mjeshi mstaafu kama ni kweli..[emoji1]
Tatizo hawataki kuwapa vijana ajira wamejaza wazee wa miaka ya 70 ni tatizo ambalo lipo ofisi nyingi za serikali hata ukienda ttcl wazee wejazana ofisini wakati wanapaswa kuwaachia vijana. Mzee wa miaka 60+ na technology wapi na wapi?
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umenichekesha sana. Eti itakusanya mara 10.

Kenya hakuna issue zile za njoo ofisini tuongee ukifika ofisini tena njoo liquid bar tuongeee.

Huku kenya kila kitu ni digital..[emoji1][emoji1]
mkuu KE wapigaji sana.
 
Hicho ndicho anachohangaika nacho Magufuli, kwa kifupi ni kwamba TRA sio wabunifu ni mpaka washituliwe kama gari bovu, bado hatujapata kamishina mzuri pale TRA ambaye ataleta Mageuzi makubwa kama aliyofanya Kimei CRDB.

Je, mfumo wetu wa elimu wa kuzingatia tu marks za darasani na aina ya ajira za TRA kulingana na tuhuma zinavyosemwa semwa huku mtandaoni inaweza kuwa ndio sababu ya TRA kukosa ufanisi na ubunifu katika kukusanya mapato?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…