KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

Nilikuwa namjibu huyo aliyetoa hoja ya value of money.
Me naona watu wanapoteza muda tu kujadili kitu kwa kuzunguka vichakani wakati ni jambo dogo tu kwamba Kenya wanatoza kodi zaidi ya mara mbili mpaka mara tatu ya Tanzania kwa bidhaa

Nimeishi Kenya naongea kwa experience, ndio maana kila kitu Kenya bei ni ghali maradufu ya Tanzania, siku Tanzania nayo itatoza kodi kwa rates na tariffs za Kenya, hakutakua na nakisi tunayoiona.
 
Me naona watu wanapoteza muda tu kujadili kitu kwa kuzunguka vichakani wakati ni jambo dogo tu kwamba Kenya wanatoza kodi zaidi ya mara mbili mpaka mara tatu ya Tanzania kwa bidhaa

Nimeishi Kenya naongea kwa experience, ndio maana kila kitu Kenya bei ni ghali maradufu ya Tanzania, siku Tanzania nayo itatoza kodi kwa rates na tariffs za Kenya, hakutakua na nakisi tunayoiona.
Point [emoji122][emoji122]
 
MK254 ni mkenya mpumbavu na asiyetaka kubadilika na ndiyo maana akiona Tz inasonga mbele huwa anapotea kabisa kwenye nyuzi cz amekaa kishabiki mno, ss nani asiyejua kwamba kenya kuna madudu mengi kuliko Tz, usikute hata hyo KRA inapika taarifa ionekane inakusanya sn.

Kama wanakusanya sn mbn wananchi bado wana maisha magumu tofauti na Tz? Kama wanakusanya sn mbn GoK inakesha kuomba misaada hata ya ku finance miradi midogo midogo? So lengo la huu uzi ni kuonesha mapungufu yaliyopo TRA japo mtoa uzi ameandika kishabiki zaidi but ukweli ni kwamba TRA inanuka madudu.

Halafu wewe mbona huwa unashindwa kujadili hoja bila kunitaja taja, humu ni jukwaa la kijamii, kila mtu yuko huru kujadili aonavyo, huwa nakupuuza maana ulishadhihirisha uwezo wako kujadili hoja yoyote uko mdogo sana, upo kama mataga wenzako. Mtu yeyote ambaye amekaa KiCCM zaidi huwa nampuuza maana mumeshikiliwa akili, huwa hamna uwezo wa kujadili chochote zaidi ya mapambio.

Sasa huu ukweli wa huu uzi unasababisha mpate hamaki, hamtaki kukubali kwenye ulipaji ushuru tumewazidi mara tatu na ndio maana pengo la kiuchumi baina yetu linaelekea kuwa mara mbili ya uchumi wenu, na hili pengo limeongezeka kwa kasi miaka mitano ya hivi majuzi.
 
Point [emoji122][emoji122]
Angalia bei zao za bidhaa common kama

Airtime
Umeme
Vinywaji
Kuagiza gari
Gas ya majumbani
Nauli
Etc

Hizi bidhaa ni ghali karibu mara 2.5 ya Tanzania, wakenya wenyewe wanachoka na kodi kubwa za serikali. Tanzania kodi zipo chini sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizotuzunguka.
 
Me naona watu wanapoteza muda tu kujadili kitu kwa kuzunguka vichakani wakati ni jambo dogo tu kwamba Kenya wanatoza kodi zaidi ya mara mbili mpaka mara tatu ya Tanzania kwa bidhaa

Nimeishi Kenya naongea kwa experience, ndio maana kila kitu Kenya bei ni ghali maradufu ya Tanzania, siku Tanzania nayo itatoza kodi kwa rates na tariffs za Kenya, hakutakua na nakisi tunayoiona.

Mnajiaminisha vitu vya kiajabu, taja kimoja hicho ambacho huku bei yake ni maradufu yenu, mimi nimeishi Tanzania tena miaka mingi, hamna tofauti kubwa baina ya bei za bidhaa. Labda nafaka kidogo ndio huwa kuna kaunafuu kwenu na kenyewe kadogo sana.

Nyie wenyewe hamna viwanda, mnategemea kuagiza vitu vingi hata sindano, sasa itokeeje muwe na unafuu kwenye bei ya chochote.

Pia nauli yenu ya daladala iko chini maana mnapenda vya bure, uchumi wa kijamaa huzalisha wazembe na wabahiri watupu, unakuta mtu ana mshahara mzuri ila anabanana kwenye hizo daladala zinazonuka shombo ili alipe Tsh 400
 
1600335667333.png
 
Me naona watu wanapoteza muda tu kujadili kitu kwa kuzunguka vichakani wakati ni jambo dogo tu kwamba Kenya wanatoza kodi zaidi ya mara mbili mpaka mara tatu ya Tanzania kwa bidhaa.

Nimeishi Kenya naongea kwa experience, ndio maana kila kitu Kenya bei ni ghali maradufu ya Tanzania, siku Tanzania nayo itatoza kodi kwa rates na tariffs za Kenya, hakutakua na nakisi tunayoiona.
Hili nalo pia ni sababu kubwa ya tofauti ya mapato kati ya KRA na TRA, wakenya wanatozwa kodi nyingi na kubwa kuliko Tanzania.
 
Mnajiaminisha vitu vya kiajabu, taja kimoja hicho ambacho huku bei yake ni maradufu yenu, mimi nimeishi Tanzania tena miaka mingi, hamna tofauti kubwa baina ya bei za bidhaa. Labda nafaka kidogo ndio huwa kuna kaunafuu kwenu na kenyewe kadogo sana.

Nyie wenyewe hamna viwanda, mnategemea kuagiza vitu vingi hata sindano, sasa itokeeje muwe na unafuu kwenye bei ya chochote.
Sio kuwa na kiwanda na kutokua nacho, suala ni kwamba hata ukiagiza kutoka nje pale bandarini unatoza kodi kiasi gani?

Lingine kwamba bidhaa zenu ni ghali nimeziorodhesha hapo juu, cha kwanza stima, unit 1 ni ghali mara 2 ya Tanzania na kiuzalishaji stima ikishakua ghali hata bidhaa zote lazima ziwe ghali.
 
Hili nalo pia ni sababu kubwa ya tofauti ya mapato kati ya KRA na TRA, wakenya wanatozwa kodi nyingi na kubwa kuliko Tanzania
Ni kweli kiongozi, gas ya majumbani Kenya ule mtungi mdogo gharama yake kuujaza ni sawa na huu mtungi mkubwa wa Tanzania na change inabaki.
 
Mnajiaminisha vitu vya kiajabu, taja kimoja hicho ambacho huku bei yake ni maradufu yenu, mimi nimeishi Tanzania tena miaka mingi, hamna tofauti kubwa baina ya bei za bidhaa. Labda nafaka kidogo ndio huwa kuna kaunafuu kwenu na kenyewe kadogo sana.

Nyie wenyewe hamna viwanda, mnategemea kuagiza vitu vingi hata sindano, sasa itokeeje muwe na unafuu kwenye bei ya chochote.

Pia nauli yenu ya daladala iko chini maana mnapenda vya bure, uchumi wa kijamaa huzalisha wazembe na wabahiri watupu, unakuta mtu ana mshahara mzuri ila anabanana kwenye hizo daladala zinazonuka shombo ili alipe Tsh 400
Bishana na hii hoja hapa [emoji116][emoji116]
Angalia bei zao za bidhaa common kama

Airtime
Umeme
Vinywaji
Kuagiza gari
Gas ya majumbani
Nauli
Etc

Hizi bidhaa ni ghali karibu mara 2.5 ya Tanzania, wakenya wenyewe wanachoka na kodi kubwa za serikali. Tanzania kodi zipo chini sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizotuzunguka.
 
Sio kuwa na kiwanda na kutokua nacho, suala ni kwamba hata ukiagiza kutoka nje pale bandarini unatoza kodi kiasi gani?

Lingine kwamba bidhaa zenu ni ghali nimeziorodhesha hapo juu, cha kwanza stima, unit 1 ni ghali mara 2 ya Tanzania na kiuzalishaji stima ikishakua ghali hata bidhaa zote lazima ziwe ghali.
Hii thread umeshaifunga mkuu [emoji122][emoji122][emoji3][emoji3]
 
Kumbe ndiyo maana Wakenya wengi ni mafukara wa kutupwa japo kaGDP kao kanasemekana kametuzd kidogo kumbe ni mzigo wa kodi anaobebeshwa raia zen hzo pesa zinatafunwa na mama ngina pamoja na wakora wenzake, inauma sana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sio kuwa na kiwanda na kutokua nacho, suala ni kwamba hata ukiagiza kutoka nje pale bandarini unatoza kodi kiasi gani?

Lingine kwamba bidhaa zenu ni ghali nimeziorodhesha hapo juu, cha kwanza stima, unit 1 ni ghali mara 2 ya Tanzania na kiuzalishaji stima ikishakua ghali hata bidhaa zote lazima ziwe ghali.

Umeme Tanzania kwa unit ni Tshs 350, haina tofauti kubwa na Kenya ambapo ukipiga mahesabu utakuta tunalipa Tshs 374
TANESCO - Kwa nini wengine wakitoa Tshs 10,000/= wanapata umeme mwingi kuliko mimi?
 
Hii thread umeshaifunga mkuu [emoji122][emoji122][emoji3][emoji3]
Ni kweli kiongozi tunatakiwa tuangalie kwenye kiasi cha kodi kwanza tufanye standardization kati ya Kenya na Tanzania, tungeanza kwa hili, hii thread wala isingefika mbali.
 
Mnajiaminisha vitu vya kiajabu, taja kimoja hicho ambacho huku bei yake ni maradufu yenu, mimi nimeishi Tanzania tena miaka mingi, hamna tofauti kubwa baina ya bei za bidhaa. Labda nafaka kidogo ndio huwa kuna kaunafuu kwenu na kenyewe kadogo sana.

Nyie wenyewe hamna viwanda, mnategemea kuagiza vitu vingi hata sindano, sasa itokeeje muwe na unafuu kwenye bei ya chochote.

Pia nauli yenu ya daladala iko chini maana mnapenda vya bure, uchumi wa kijamaa huzalisha wazembe na wabahiri watupu, unakuta mtu ana mshahara mzuri ila anabanana kwenye hizo daladala zinazonuka shombo ili alipe Tsh 400
Ndugu wana JF huyu mwenzetu ameshindwa kabisa kuwa na busara, kila tukijaribu kuendesha mijadala bila kushambuliana ili mijada iwe "Educative", yeye amekua mstari wa mbele kuvuruga na kuishambulia Tanzania ili kuendeleza na kuzidisha chuki na uhasama kati ya Kenya na Tanzania, japo ni vizuri kulinganisha na kushindanisha maendeleo ya hizi nchi mbili, lakini sio kwa kupandikiza chuki Kama anavyofanya huyu MK254.

Naomba kutoa wazo ili kupunguza malumbano yasiyokua ya maana kati ya hizi nchi mbili, ninaomba sana watanzania tujizuie kujibisha na MK254 pale atakapofungua uzi au kuweka post yoyote ambayo ni "provocative". Kwa kifupi tumpuuze huyu jamaa kwa kutojibu posts zake zenye mwelekeo wa chuki.
 
Sio kuwa na kiwanda na kutokua nacho, suala ni kwamba hata ukiagiza kutoka nje pale bandarini unatoza kodi kiasi gani?

Lingine kwamba bidhaa zenu ni ghali nimeziorodhesha hapo juu, cha kwanza stima, unit 1 ni ghali mara 2 ya Tanzania na kiuzalishaji stima ikishakua ghali hata bidhaa zote lazima ziwe ghali.
Usiendelee kujibishana na huyu jamaa, lengo lake ni kujenga chuki ili tuache kufanya mjadala wa maana na tuanze kurushiana maneno makali makali, tafadha tumpuuze huyu jamaa.
 
Uzalishaji upi ni mara Tafu?.
Ninasisitiza tena, ndugu zetu wakenya punguzenu hii tabia ya kupenda kujisifu bila ushahidi wowote, tabia hii ndiyo inayojenga chuki baadae mnalalamika kwa Tanzania ina chuki dhidi ya Kenya.

Tunakuomba uweke ushahidi kuonyesha kwamba Kenya inazalisha mara tatu ya Tanzania, Tafadhali tutajie hizo sectors ambazo Kenya inazalisha mara tatu ya Tanzania
Ndugu yangu

Mimi ni Mtanzania kama wewe na yule..

Siendeshwi na mihemko wanasiasa wanatupatia tufate wanachokisema as mimi ni mtu mzima mwenye akili zangu timamu,nafata ubongo wangu unacyochambua mambo na sio mwanasiasa a-think for me,I think for myself!

Jirani yako kua na maendeleo zaidi yako hakufanyi wewe umchukie au uwe blind kwa takwimu zilizopo sababu tu eti humpendi sababu kakuzidi.

Kenya ni manufacturing powerhouse ya EA yote,na hii sio nchi za EAC tu,ni EA plus Horn of Africa put together.

Na bad enough shuka na bahari hadi South Africa. Ni SA tu kamzidi Kenya.

Sasa basi,shida ni sisi wenyewe na political class tuliyonayo na uzalishaji wa hovyo wa nchi sababu ya wanasiasa waliopo!

Wananchi hua hawana shida,wape uhuru 100% wa kujitafutia mali,kaa pembeni uone creativity,kwetu ni tofauti,serikali inaingilia hadi bei ya vitu. Nonsense!

Kenya wanazalisha zaidi yetu mara kadhaa na kodi wanakusanya zaidi yetu mara kadhaa. Hutaki hili basi wewe ni mnafiki na haikusaidii lolote zaidi ya kuonekana kiazi tu.

Tanzania lazima tu-adopt real capitalism na tuifanye kwa moyo hasa bila utani,hiyo ndio the only cure!

Kama dawa ya umasikini ni mali pekee yake na sio kitu kingine,basi hatuna budi kuthamini capitalism maana ni capitalism pekee yake inaleta mali.

Wanasiasa wanawadanganya, afterall wanasiasa ni group la watu wasio smart kabisa katika nchi,kama unabisha refer matokeo ya elimu zao walizosoma kuanzia la kwanza mpaka chuo kikuu,ni C and D and E and Fs only....Go check!
 
Back
Top Bottom