KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

Sio kweli, umeme Tz kwa ni shilingi 344/unit na tunategemea kushuka zaidi JNHP ikiisha.
Ninakuomba watanzania tumpuuze huyu jamaa hadi atakapojirekebisha, hapaswi kutumia lugha ya dharau na kudhalilisha wengine na utegemee kujibiwa kwa staha, hana maana huyu jamaa.
 
Umeme Tanzania kwa domestic tunalipa 356/= per unit mikoa mikubwa mitano Tanzania,the rest mikoa masikini wanalipa 350/=,hakuna 344/= labda Chattle possibly!
Mimi nipo Dar ukitoa sh 1000 unapata units 2.9 kwahyo hesabu yako inaonyesha kwamba sh 1000 ukigawa kwa hyo 2.9 inakuja 356?
 
Usiendelee kujibishana na huyu jamaa, lengo lake ni kujenga chuki ili tuache kufanya mjadala wa maana na tuanze kurushiana maneno makali makali, tafadha tumpuuze huyu jamaa.
Hapana haipaswi kuwa hivyo, mara nyingi wanaoamua kufanya hivyo ni walioshindwa hoja.
 
Hapana haipaswi kuwa hivyo, mara nyingi wanaoamua kufanya hivyo ni walioshindwa hoja.
Kuna wengi tu tulikubaliana na tuliwapuuza hadi walipojirekebisha. Lengo ni kulumbana kwa hoja sio kupandikiza chuki na kutaka kuwadharau wengine. Lazima tufundishane ustasrabu. Kama mtu amelelewa katika malezi ya ufhalilishaji, sio vizuri kutuambukiza
 
Ninakuomba watanzania tumpuuze huyu jamaa hadi atakapojirekebisha, hapaswi kutumia lugha ya dharau na kudhalilisha wengine na utegemee kujibiwa kwa staha, hana maana huyu jamaa.
Ni mjinga sana huwa anapenda mno sifa huyu atakuwa mkenya wa kizazi cha zamani sn, ukimkoti anaanza kujisifu kwamba wana mkoti watu wengi yn very conservative person pia ni mshamba sn.
 
Mimi nipo Dar ukitoa sh 1000 unapata units 2.9 kwahyo hesabu yako inaonyesha kwamba sh 1000 ukigawa kwa hyo 2.9 inakuja 356?
Hahahaaa

Kumbe umeme wa buku?

Upo kwenye D1 umeme wa masikini,ambapo unakua subsdized na rich people, which again is legalized theft administered na government!

Nunua umeme kuanzia 5,000/=,utapata units 14.04=14.1kWh.

Hahahaaa, umeme wa buku?

Umeme umegeuzwa welfare kwa wananchi asilimia 75 masikini.

Wananchi 15% matajiri wa Tanzania ndio wanasaidia kulipia masikini 75% umeme kwa discounted rate!

Hii ni communism, stealing from the hardworking 15% and give 75% for FREE!

We will never progress with these government administered stealings!
 
Ndugu yangu

Mimi ni Mtanzania kama wewe na yule..

Siendeshwi na mihemko wanasiasa wanatupatia tufate wanachokisema as mimi ni mtu mzima mwenye akili zangu timamu,nafata ubongo wangu unacyochambua mambo na sio mwanasiasa a-think for me,I think for myself!

Jirani yako kua na maendeleo zaidi yako hakufanyi wewe umchukie au uwe blind kwa takwimu zilizopo sababu tu eti humpendi sababu kakuzidi..

Kenya ni manufacturing powerhouse ya EA yote,na hii sio nchi za EAC tu,ni EA plus Horn of Africa put together....

Na bad enough shuka na bahari hadi South Africa....Ni SA tu kamzidi Kenya...

Sasa basi,shida ni sisi wenyewe na political class tuliyonayo na uzalishaji wa hovyo wa nchi sababu ya wanasiasa waliopo!

Wananchi hua hawana shida,wape uhuru 100% wa kujitafutia mali,kaa pembeni uone creativity,kwetu ni tofauti,serikali inaingilia hadi bei ya vitu...Nonsense!

Kenya wanazalisha zaidi yetu mara kadhaa na kodi wanakusanya zaidi yetu mara kadhaa...Hutaki hili basi wewe ni mnafiki na haikusaidii lolote zaidi ya kuonekana kiazi tu...

Tanzania lazima tu-adopt real capitalism na tuifanye kwa moyo hasa bila utani,hiyo ndio the only cure!

Kama dawa ya umasikini ni mali pekee yake na sio kitu kingine,basi hatuna budi kuthamini capitalism maana ni capitalism pekee yake inaleta mali....

Wanasiasa wanawadanganya,afterall wanasiasa ni group la watu wasio smart kabisa katika nchi,kama unabisha refer matokeo ya elimu zao walizosoma kuanzia la kwanza mpaka chuo kikuu,ni C and D and E and Fs only....Go check!
Hahahaha, wewe ni zaidi ya mwanasiasa. Mbona unapiga domo bila statistics, wewe unafaa kuwa mwanasiasa, tena mwanasiasa wa Kenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaaa

Kumbe umeme wa buku?

Upo kwenye D1 umeme wa masikini,ambapo unakua subsdized na rich people,which again is legalized theft administered na government!

Nunua umeme kuanzia 5,000/=,utapata units 14.04=14.1kWh.....

Hahahaaa....umeme wa buku?

Umeme umegeuzwa welfare kwa wananchi asilimia 75 masikini...

Wananchi 15% matajiri wa Tanzania ndio wanasaidia kulipia masikini 75% umeme kwa discounted rate!

Hii ni communism,stealing from the hardworking 15% and give 75% for FREE!

We will never progress with these government administered stealings!
Ww ndiyo maana huwa nakupuuza sn ni mjinga sana, hyo nimekutajia ndiyo gharama za watu wa kawaida cc huwa tunanunua umeme wa elfu 50 tunapata units 145, na hapo bado wanasema tupo line ya viwandani tukihamia line ya majumbani (domestic) inapungua zaidi yn hzo units zote unazipata kwa sh 10000 Tu.

Punguza ujuaji pia punguza ku act uzungu ni ujinga huo.
 
Nakubaliana na sababu ulizoelezea kuhusu tovuti hata hivo bado tofauti hiyo ni kubwa sana kwanza ni vema kuangalia ukubwa wa biashara kati ya hizi nchi mbili kwasababu kodi inatokana na biashara.

Ukiangalia shehena inayopitishwa katika Bandari ya Mombasa na kulinganisha na shehena inayopitishwa Bandari ya Dar es Salaam utaona Mombasa inapitisha shehena zaidi ya mara mbili ya shehena inayopitishwa katika Bandari ya Dar es Salaam.

Tanzania ina nchi nyingi zinzzoweza kutumia Bandari ya dar es Salaam lakini kwa kiasi gani zinatumia hii Bandari ni kiasi kidogo sana, kati ya shehena yote inayoingizwa nchini ni 25% tu ndiyo shehena ya nchi jirani.

Tatizo la kwanza ni uwezo mdogo wa bandari ya Dar es Salaam kuweza kuhudumia shehena kubwa na hivyo kutokuwa na uwezo wa kuhudumia shehena zaidi kutoka nchi Jirani na hivyo nchi Jirani kupitishia sehemu ya shehena katika Bandari zingine.

Sababu nyingine ni viwanda vichache vilivyopo Tanzania ukilinganisha na viwanda vilivyopo Kenya hali inayoifanya Kenya kuwa na biashara kubwa ya ndani kuliko Tanzania kwa sababu pamoja na kwamba Mombasa inahudumia shehena mara mbili ya shehena inayohudumiwa katika Bandari ya Dar es Salaam, 78% ya shehena yote inayohudumiwa katika Bandari ya Mombasa ni ya ndani ya nchi na 22% ndiyo ya nchi jirani.

Hiyo ndiyo tofauti inayosababisha KRA kuwa na mapato karibu mara 3 ya mapato ya jumla ya mapato ya TRA.
 
Kaka kwa uchumi wa Kenya ulivo kwa sasa, thamani ya shilingi ya Kenya kuwa juu, ndio chanzo kikubwa cha viwanda na ajira kupungua Kenya, sasa hivi gharama za uzalishaji zipo juu sana kiasi kwamba hata mazao ya kilimo Kenya hayawezi kushindana na yanayotoka Uganda na Tanzania, hata mayai pia ni ghali kuliko yanayotoka Uganda. Makampuni mengi yanahamishia uzalishaji wao nchi za jirani kukimbia 'high cost of productions
Thamani ya KES ipo juu ukilinganisha na $? Au unadhani Kenya tunalinganisha sarafu yetu na hela ya madafu likija kwenye suala la imports/exports au foreign exchange? Viwanda vinazidi kuongezeka kila uchao, sio kupungua na kati ya factors ambazo zinawavutia wawekezaji zinawahusu hao hao KRA na sera zinazaoleweka za utozaji kodi na ushuru.
 
Ni mjinga sana huwa anapenda mno sifa huyu atakuwa mkenya wa kizazi cha zamani sn, ukimkoti anaanza kujisifu kwamba wana mkoti watu wengi yn very conservative person pia ni mshamba sn.
Tupige kampeni ili watanzania wampuuze, hovyo sana huyu jamaa, tusikubali afanikiwe kupandikiza chuki alizozoea huko kwao. Tusijibu posts zake zenye nia ya kupandikiza chuki.
 
Hahahaha, wewe ni zaidi ya mwanasiasa. Mbona unapiga domo bila statistics, wewe unafaa kuwa mwanasiasa, tena mwanasiasa wa Kenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh

Mimi sio mwanasiasa.

Na huwezi ninyang'anya uraia wangu wa Tanzania ukanipa wa Kenya!

Hakuna mtu anaweza mnyang'anya uraia wa kuzaliwa wa mtu!

Hakuna mwanadamu alichagua kuzaliwa mahali..Sikuchagua kuzaliwa TZ,nilijikuta,ni kwangu,sina pengine maana sijazaliwa huko unakotaka nipa uraia wake!

Mwanasiasa ni yule anaefanya siasa full time,mimi sio!

Mimi nasema tu ukweli ,kwamba Tanzania hatuwezi kuendelea bila true free capitalism!

Ni simple theory tu, waache wanadamu wawe huru kujitafutia mali na kuzikusanya kadiri ya uwezo wake bila kuingiliwa au kulazimishwa kitu.

Kila mtu duniani alipie kila huduma anayotaka kadiri ya jasho lake, iwe matibabu, elimu, etc!

Serikali ikae pembeni kabisa, isijihusishe na kupangia watu how to run their personal lives na isiwaibie chochote!
 
Ww ndiyo maana huwa nakupuuza sn ni mjinga sana, hyo nimekutajia ndiyo gharama za watu wa kawaida cc huwa tunanunua umeme wa elfu 50 tunapata units 145, na hapo bado wanasema tupo line ya viwandani tukihamia line ya majumbani (domestic) inapungua zaidi yn hzo units zote unazipata kwa sh 10000 Tu.

Punguza ujuaji pia punguza ku act uzungu ni ujinga huo.
Mpumbavu wewe usiejua anything kuhusu vitu kama umeme,maji,etc serikali imejimilikisha kutawalia wananchi....

Ukitoa 50,000/= unapata 140.44Units na sio uongo wa 145Units unaotaja hapa wewe!

Kama upo mikoa tajiri kama Dar,Arusha,Moshi,Mwanza,Dodoma,Mbeya,etc unapata units 140.44kWH...

Kama upo located Tandahimba au Simiyu kwenye remote districts ndio unapata hizo,probably!

Where you located at? Kama ni Dar,nigga you are lying big time!
 
Thamani ya KES ipo juu ukilinganisha na $? Au unadhani Kenya tunalinganisha sarafu yetu na hela ya madafu likija kwenye suala la imports/exports au foreign exchange? Viwanda vinazidi kuongezeka kila uchao, sio kupungua na kati ya factors ambazo zinawavutia wawekezaji zinawahusu hao hao KRA na sera zinazaoleweka za utozaji kodi na ushuru.
Kwani viwanda vingi vya Kenya soko lake ni USA?, au wakulima wenu wa wa kawaida wanategemea kuuza USA?. Maziwa, kuku, mayai, siagi, sigara, dawa za wanyama na binadamu, viatu na mazao mengi mnauza wapi ka sio East, South and Central Afrika?.

Siku zote gharama za uzalishaji unalinganisha na majirani zako. Hivi kama gharama za umeme, mishahara na kodi zipo juu Kenya, unategemea mwenye kiwanda atajenga Kenya au Uganda?
 
Kumbe ndiyo maana Wakenya wengi ni mafukara wa kutupwa japo kaGDP kao kanasemekana kametuzd kidogo kumbe ni mzigo wa kodi anaobebeshwa raia zen hzo pesa zinatafunwa na mama ngina pamoja na wakora wenzake, inauma sana[emoji3][emoji3][emoji3]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😹😹😹😹 weye achana na mama Ngina wetu.
 
mkubwa hata mimi huwa najiuliza tovuti za taasisi za serikali Tanzania huwa zinatengenezwa na watu wenye utimamu wa akili.

afadhari hiyo tovuti ya TRA ukitaka kucheka tembele tovuti ya BRELA eti wanawashauri watu kutumia browser moja tu ya google chrome halafu website haiko kabisa user friendly

sijui wataalamu was Tehama wa Tanzania wanasomea vyuo gani mpaka hawajui kutumia vitu vidogi kama vile bootstrap kutengeneza responsive webpages


aibu
 
Back
Top Bottom