KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

Ndugu yangu sijui kuna nini?

Sijawahi kusikia kandarasi ikitangazwa ya kutengeneza tovuti ya serikali japo nyingi zinatengenezwa na wale wale jamaa egoverment ambao wana template moja tu wanazunguka nayo kila mahali.. nasikia mkuu wa egoverment ana PHD.

Hizi kazi wanapeana kishikaji.. watoto wa wajomba ndio wanapewa hizo kazi.

Tatizo kubwa lipo kwa wakuu wa vitengo vya ICT wengi wao ni wale walio soma maumeme miaka ya 70.
mkubwa hata mimi huwa najiuliza tovuti za taasisi za serikali Tanzania huwa zinatengenezwa na watu wenye utimamu wa akili.

afadhari hiyo tovuti ya TRA ukitaka kucheka tembele tovuti ya BRELA eti wanawashauri watu kutumia browser moja tu ya google chrome halafu website haiko kabisa user friendly

sijui wataalamu was Tehama wa Tanzania wanasomea vyuo gani mpaka hawajui kutumia vitu vidogi kama vile bootstrap kutengeneza responsive webpages


aibu
 
Tovuti zinazo takiwa kutoa huduma ila ni za ovyo
1.Brela
2.Tanroad
3. Tarura
4. [emoji1][emoji1][emoji1]


mkubwa hata mimi huwa najiuliza tovuti za taasisi za serikali Tanzania huwa zinatengenezwa na watu wenye utimamu wa akili.

afadhari hiyo tovuti ya TRA ukitaka kucheka tembele tovuti ya BRELA eti wanawashauri watu kutumia browser moja tu ya google chrome halafu website haiko kabisa user friendly

sijui wataalamu was Tehama wa Tanzania wanasomea vyuo gani mpaka hawajui kutumia vitu vidogi kama vile bootstrap kutengeneza responsive webpages


aibu
 
Ndugu yangu

Mimi ni Mtanzania kama wewe na yule..

Siendeshwi na mihemko wanasiasa wanatupatia tufate wanachokisema as mimi ni mtu mzima mwenye akili zangu timamu,nafata ubongo wangu unacyochambua mambo na sio mwanasiasa a-think for me,I think for myself!

Jirani yako kua na maendeleo zaidi yako hakufanyi wewe umchukie au uwe blind kwa takwimu zilizopo sababu tu eti humpendi sababu kakuzidi.

Kenya ni manufacturing powerhouse ya EA yote,na hii sio nchi za EAC tu,ni EA plus Horn of Africa put together.

Na bad enough shuka na bahari hadi South Africa. Ni SA tu kamzidi Kenya.

Sasa basi,shida ni sisi wenyewe na political class tuliyonayo na uzalishaji wa hovyo wa nchi sababu ya wanasiasa waliopo!

Wananchi hua hawana shida,wape uhuru 100% wa kujitafutia mali,kaa pembeni uone creativity,kwetu ni tofauti,serikali inaingilia hadi bei ya vitu. Nonsense!

Kenya wanazalisha zaidi yetu mara kadhaa na kodi wanakusanya zaidi yetu mara kadhaa. Hutaki hili basi wewe ni mnafiki na haikusaidii lolote zaidi ya kuonekana kiazi tu.

Tanzania lazima tu-adopt real capitalism na tuifanye kwa moyo hasa bila utani,hiyo ndio the only cure!

Kama dawa ya umasikini ni mali pekee yake na sio kitu kingine,basi hatuna budi kuthamini capitalism maana ni capitalism pekee yake inaleta mali.

Wanasiasa wanawadanganya, afterall wanasiasa ni group la watu wasio smart kabisa katika nchi,kama unabisha refer matokeo ya elimu zao walizosoma kuanzia la kwanza mpaka chuo kikuu,ni C and D and E and Fs only....Go check!

Nakubaliana na wewe 100% na ulichokisema tusipokunali huo ukweli tutakuwa tunadanganywa na wanasiasa huku tunazidi kuwa masikini. Kinachohitajika ni watu kuwa huru kufanya shuguli zao siyo kusubiria sijui serikali ilete nini kama sehemu hakuna zahanati hiyo inatakiwa kuwa ni fulsa kwa wafanya biashara siyo kukaa kusubiria seriakali sijui nini. Watu wakiwa huru kufanya shuguli zao ndipo watapata maendeleo na serikali itapata mapato makubwa pia.
 
KRA vs TRA (Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania)

KRA: Kenya Revenue Authority

TRA: Tanzania Revenue Authority

Makusanyo (Tax Collection July 2019 to June 2020)

KRA-Kenya: 34 Trillion (Tsh)

TRA-Tanzania: 14 Trillion (Tsh)

Sababu ni hizi hapa.
  • Matumizi duni ya teknologia (ICT) kwa TRA
  • Kodi kubwa kwa walipa kodi TRA
  • Kazi nyingi kufanyika kwa mikono (manual processing)- TRA
  • Walipa kodi kukosa elimu ya walipa kodi: TRA
  • Kukosa ubunifu katika kuongeza walipa kodi (Tax base) : TRA
  • Kukosa uwazi kwenye viwango vya kodi kwa walipa kodi - TRA
Matumizi ya teknologia

Mfano mdogo ni ukilinganisha tovuti ya TRA vs KRA.

Tovuti ya TRA ipo duni sana na siyo tovuti ya karne hii bado ni zile tovuti static ambazo taarifa zake hazibadiliki na hazina umuhimu kwa walengwa .

Mfano.

Home page ya TRA vs Home page ya KRA.

Main menu TRA.


Ukifungua tovuti ya TRA kwanza ubnakutana na mambo yafuatayo
View attachment 1571980

Ukweli ni kwamba menu yote ambayo ndiyo memyu kuu haina umuhimu wowote kwa mlipa kodi , hata wanao isimamia hii tovuti sijui wana elimu gani.

Main menu KRA
Ukifungua tovuti ya KRA unakutana na menu ifuatayo
View attachment 1571981
Hii umekaa kihusika kabisa kwa mlipa kodi wa aina zote , ukifungua hapa individual unakutana na taarfiza zote na kodi kwa watu binafsi, ukifungua business unakutana na taariza zote za kodi kwa makampuni na taasisi, na investors unakutana na taarifa zote za kodi zinazo husu wawekezaji.

Home page TRA vs KRA

Home page ya TRA
.
Utakutana picha zinazo za wanasiasa, ndege za ATCL, picha ya commissioner general ,picha za barabara etc, hivi vyote havina umuhimu wowote na wala havimusaidii mlipa kodi . Ni mambo ya kizamani sana .. nadhani mkuu wa ICT TRA atakua na miaka zaidi ya 50. Picha ya CG inahusika na nini na walipa kodi.. tovuti imejaa taarifa ambazo hazina mashiko.
View attachment 1571983

Home page ya KRA
Unakutana na maelezo ya jinsi ya kutafuta huduma yoyote ya kodi na kuna sehemu una chagua taarfia na huduma unayo itaka (very friendly )
View attachment 1571984
Hii ni mifano tuu jinsi TRA ilivyo nyuma katika matumizi ya teknologia katika kurahisisha ukusanyaji wa kodi. Tovuti hii ya KRA inafanya kazi za watu zaidi ya 5000, na uhakika KRA itakua na wafanyakazi wachache kuliko TRA pamoja na kwamba inakusanya kodi mara 3 ya TRA.
View attachment 1571985
Kwa ujumla tovuti ya TRA na KRA zina tofauti zifutazo.
  • KRA ina maelezo karibia yote ya aina za kodi na jinsi ya kulipa Pamoja na maelezo mengine ya kumsaidia mlipa kodi mkubwa na mdogo wakati tovuti ya TRA , taarifa ni chache san ana hazija pangwa kiutaratibu kiasi kwamba tovuti haina msaada .
  • KRA kodi karibia zote unalipa kwa kutumia mitandao au una faili kwa kutumia teknologia na ii unapunguza sana rushwa na kubambikiwa kodi sizizo na maana. Mfano Capital Gain tax ambayo Tanzania Tax pengine inayo ongoza kwa rushwa, Kenya una faili online na baada ya muda unapewa risiti online ya kulipia .
  • KRA imejengwa vizuri na ina taarifa ambazo zinamsadia mlipa kodi, zimehuishwa , tofauti na tovuti ya TRA ambayo imejaza taarifa ambazo hazina maana mfano: number of vistors inamsadia nini mlipa kodi, au link za taasisi za kodi ambazo hazipo Tanzania, utadhani hawana kitu cha kuweka kwenye tovuti sasa wanaamua kukusanya chochote na kujaza huko.
Kwa leo niishie hapa, nitamalizia next week.

Naamini department ya TRA mtabadirika, au tafuteni namna mkajifunze kwa wenzenu wa KRA.

Tanzania bado inanafasi ya kufikia walau nusu ya makusanyo ya kenya kama itazingatia matumizi ya tehama na kuaachana na matumizi ya binadamu kwa sehemu kubwa, lakini kwa utaratibu huu wa sasa kenya muda si mrefu itakusanya mara 4 ta Kenya.
Asante Kwa NONDO hizi...

Mkuu KRA (Kenya) kwao VAT ni 16% wakati TRA (Tanzania) VAT ni 18%
Je, tungekusanya nasi 16% ndo ingekuaje?
 
Mmmh

Mimi sio mwanasiasa.

Na huwezi ninyang'anya uraia wangu wa Tanzania ukanipa wa Kenya!

Hakuna mtu anaweza mnyang'anya uraia wa kuzaliwa wa mtu!

Hakuna mwanadamu alichagua kuzaliwa mahali..Sikuchagua kuzaliwa TZ,nilijikuta,ni kwangu,sina pengine maana sijazaliwa huko unakotaka nipa uraia wake!

Mwanasiasa ni yule anaefanya siasa full time,mimi sio!

Mimi nasema tu ukweli ,kwamba Tanzania hatuwezi kuendelea bila true free capitalism!

Ni simple theory tu, waache wanadamu wawe huru kujitafutia mali na kuzikusanya kadiri ya uwezo wake bila kuingiliwa au kulazimishwa kitu.

Kila mtu duniani alipie kila huduma anayotaka kadiri ya jasho lake, iwe matibabu, elimu, etc!

Serikali ikae pembeni kabisa, isijihusishe na kupangia watu how to run their personal lives na isiwaibie chochote!
Ndio sababu nikasema wewe unafaa kuwa mwanasiasa kwasababu ni mpiga domo mzuri sana, unapozungumzia kuhusu Capitalism vs Socialism, hiyo ndio kupiga siasa kwenyewe. Kwako wewe unadhani Capitalism ni nzuri, lakini Ngugi wa Thiong'o, msomi mkubwa sana wa Kenya anafikiria tofauti kabisa na mawazo yako

Kenya Capitalism ndio hiyo imeifikisha Kenya hapo ilipo
1)Tribalism
2)Nepotism
3)Slums
4)Land injustice
5)Corruption
6)Big gap between rich and poor
7)Hunger
8) Insecurity

Sijui Capitalism imeisaidiaje Kenya?
 
Ndugu yangu sijui kuna nini?

Sijawahi kusikia kandarasi ikitangazwa ya kutengeneza tovuti ya serikali japo nyingi zinatengenezwa na wale wale jamaa egoverment ambao wana template moja tu wanazunguka nayo kila mahali.. nasikia mkuu wa egoverment ana PHD.

Hizi kazi wanapeana kishikaji.. watoto wa wajomba ndio wanapewa hizo kazi.

Tatizo kubwa lipo kwa wakuu wa vitengo vya ICT wengi wao ni wale walio soma maumeme miaka ya 70.
Wanafanya kitu kibaya sana maana hiyo mitovuti yao mibovu inaonekana dunia nzima
 
Mpumbavu wewe usiejua anything kuhusu vitu kama umeme,maji,etc serikali imejimilikisha kutawalia wananchi....

Ukitoa 50,000/= unapata 140.44Units na sio uongo wa 145Units unaotaja hapa wewe!

Kama upo mikoa tajiri kama Dar,Arusha,Moshi,Mwanza,Dodoma,Mbeya,etc unapata units 140.44kWH...

Kama upo located Tandahimba au Simiyu kwenye remote districts ndio unapata hizo,probably!

Where you located at? Kama ni Dar,nigga you are lying big time!
Kaka hata DSM pia rates ni tofauti kulingana na maeneo, Mbagala na Sinza rates zinatofautiana, muhimu utoe taharifa TANESCO ili wakupangia daraja unalostahili, lakini yote kwa yote UMEME ni cheap Tanzania kuliko Kenya
 
Kabisa boss

KRA: Capital Gain Tax 5%
TRA: Capital Gain Tax 10%
Asante Kwa NONDO hizi...

Mkuu KRA (Kenya) kwao VAT ni 16% wakati TRA (Tanzania) VAT ni 18%
Je, tungekusanya nasi 16% ndo ingekueaje?
 
Nakubaliana na wewe 100% na ulichokisema tusipokunali huo ukweli tutakuwa tunadanganywa na wanasiasa huku tunazidi kuwa masikini. Kinachohitajika ni watu kuwa huru kufanya shuguli zao siyo kusubiria sijui serikali ilete nini kama sehemu hakuna zahanati hiyo inatakiwa kuwa ni fulsa kwa wafanya biashara siyo kukaa kusubiria seriakali sijui nini. Watu wakiwa huru kufanya shuguli zao ndipo watapata maendeleo na serikali itapata mapato makubwa pia.
Hahahaha.wewe kweli kizibo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani viwanda vingi vya Kenya soko lake ni USA?, au wakulima wenu wa wa kawaida wanategemea kuuza USA?. Maziwa, kuku, mayai, siagi, sigara, dawa za wanyama na binadamu, viatu na mazao mengi mnauza wapi ka sio East, South and Central Afrika?.

Siku zote gharama za uzalishaji unalinganisha na majirani zako. Hivi kama gharama za umeme, mishahara na kodi zipo juu Kenya, unategemea mwenye kiwanda atajenga Kenya au Uganda?
Vipimo vyote kwenye masuala kama haya huwa vipo in $, sio hela ya madafu Tzshs. Kutoka kwa GDP, foreign exchange, kodi, ushuru hadi biashara kati ya Kenya na Tz au hata UG. Kwahivyo wawekezaji siku hizi wanaenda UG na Tz badala ya Kenya? 😀 Turudi tu kwenye mada ya uzi huu, tafadhali. KRA, TRA n.k.
 
Tumekubaliana tupunguze mivutano isiyokuwa kuwa na tija. Lengo ni kuonyesha ni maeneo gani nchi ipi inafanya vizuri ili nchi nyengine ijifinze kutoka nchi nyingine.

Katika huu uzi na ule unaohusu bandari ya Dar na Mombasa, watu wamejaribu kuchangia bila ushabiki wa kujisifu au kujaribu kushusha nchi nyingine.

Jambo la kushangaza, wewe umeanza kujisifu na kutoa kashfa kwa Tanzania, jaribu kuwa na busara kidogo. Ukweli ni kwamba, niliomba tupunguze malumbano baada ya kuona Wakenya mumezidiwa katika mijadala mbalimbali, jana yote Wakenya mlipotea kabisa.

Punguza chuki na wivu, kila nchi ina mapungufu yake na mazuri yake, lengo ni kujifunza na kubadilishana uzoefu, sasa wewe unataka kuendeleza malumbano ambayo tayari Kenya mlishaanza kuzidiwa, jaribu kubadilika mkuu.
TRA wanatumia GEPG, KRA hawana
 
Vipimo vyote kwenye masuala kama haya huwa vipo in $, sio hela ya madafu Tzshs. Kutoka kwa GDP, foreign exchange, kodi, ushuru hadi biashara kati ya Kenya na Tz au hata UG. Kwahivyo wawekezaji siku hizi wanaenda UG na Tz badala ya Kenya? 😀 Turudi tu kwenye mada ya uzi huu, tafadhali. KRA, TRA n.k.
Hili ndio tatizo lenu ninyi wakenya, hivi kwanini kuna zaidi ya makampuni 500 yapo Tanzania na mengi yapo katika manufacturing sector?, sababu kubwa ni kwamba gharama za uzalishaji Tanzania zipo chini ukilinganisha na Kenya. Hivi kwanini makampuni mengi ya USA yanakimbilia kuzalisha bidhaa zao China, sababu ni gharama za uzalishaji.

Hivi kwanini mayai na maziwa Kenya ni ghali kuliko yanayotoka Uganda?, kwanini vitunguu na matunda yanayizalishwa Kenya ni ghali kuliko yanayotoka Tanzania?, kwanini beer na soft drinks Tanzania ni cheap kuliko Kenya?

Kwa ujumla viwanda vya Kenya vingi vinashundwa kupambana na bidhaa zinazotoka China, Uganda na Tanzania kutokana na "higher costs of productions"
 
Ndio sababu nikasema wewe unafaa kuwa mwanasiasa kwasababu ni mpiga domo mzuri sana, unapozungumzia kuhusu Capitalism vs Socialism, hiyo ndio kupiga siasa kwenyewe. Kwako wewe unadhani Capitalism ni nzuri, lakini Ngugi wa Thiong'o, msomi mkubwa sana wa Kenya anafikiria tofauti kabisa na mawazo yako

Kenya Capitalism ndio hiyo imeifikisha Kenya hapo ilipo
1)Tribalism
2)Nepotism
3)Slums
4)Land injustice
5)Corruption
6)Big gap between rich and poor
7)Hunger
8) Insecurity

Sijui Capitalism imeisaidiaje Kenya?
Mkuu

Kenya wapo well off zaidi yetu kwa mifumo na kila kitu...

Overall wapo mbele yetu,hili huwezi bisha....

Tribalism hata TZ ipo,kiasi gani?hakuna kipimo halisi cha kujua,hatuwezi toa jibu!

Tribalism ya TZ watu hawaongei wazi wazi,ila ya Kenya watu wanaongea upfront,zote ni Tribalism..Moja ni overt na ingine ni on the low!

Nepostism ipo pote,rulling classes TZ ni akina Mwinyis,Kikwetes,Nnauyes,Nyereres,etc

Serikalini wapo Wasukuma tu,Tresury yupo nani tena?Well,you know!

Land Justice,unachekesha sana,land system ya Kenya ni the best system,ardhi ni mali halisi ya mwenye ardhi na sio mali ya rais wa nchi.System inayojali Private Ownership na sio eti ardhi ni mali rais wewe umepangishwa tu kwa miaka 33 au 99,muda ukiisha ardhi inarudi serikalini kwa rais!

System ya kipumbavu sana,wananchi wamepagishwa kwenye ardhi yao wao wenyewe!

Kama ume-work hard ukamiliki ardhi iliyopimwa iwe ardhi yako pekee yako na haitakiwi uingiliwe na serikali au yeyote...

Watanzania wameazimishwa ardhi,sio yao,ni mali ya serikali...Na tena hiyo ardhi uliyoazimishwa ikatokea kuna madini au mafuta au chochote chenye thamani unanyang'anywa kwa uonevu mkubwa na serikali....What a theft?

Corruption ni sawa per capita....Kenya per capita yao ni kubwa na corruption ni kubwa...ila kwa per capita,tuko sawa .....Walao Kenya wana mfumo wa Mahakama unaofanyakazi,mtu akipelekwa mahakamani kwa corruption na kuna evidence anafungwa ana kama hakuna evidencce hafungwi..Tanzania rais ndio anaamua..what a stupid system?

Gap between rich na poor ni safi,maana kama wanadamu wote wapo huru kutafuta mali kwa usawa bila upendeleo basi kutatokea wa kwanza na wa mwisho,hivyo hii ni sahihi....Masikini kua masikini sio kosa la tajiri,ni kosa lake yeye binafsi...Hii sio ishu ya kuzungumzia kabisa....Pia kumbuka masikini wa Kenya kwa kipato kamzidi masikini wa Tanzania kwa kipato,na hii ni thanks to capitalism ya Kenya na blame to communism ya Tanzania tuliyonayo!
 
Mkuu

Kenya wapo well off zaidi yetu kwa mifumo na kila kitu...

Overall wapo mbele yetu,hili huwezi bisha....

Tribalism hata TZ ipo,kiasi gani?hakuna kipimo halisi cha kujua,hatuwezi toa jibu!

Tribalism ya TZ watu hawaongei wazi wazi,ila ya Kenya watu wanaongea upfront,zote ni Tribalism..Moja ni overt na ingine ni on the low!

Nepostism ipo pote,rulling classes TZ ni akina Mwinyis,Kikwetes,Nnauyes,Nyereres,etc

Serikalini wapo Wasukuma tu,Tresury yupo nani tena?Well,you know!

Land Justice,unachekesha sana,land system ya Kenya ni the best system,ardhi ni mali halisi ya mwenye ardhi na sio mali ya rais wa nchi.System inayojali Private Ownership na sio eti ardhi ni mali rais wewe umepangishwa tu kwa miaka 33 au 99,muda ukiisha ardhi inarudi serikalini kwa rais!

System ya kipumbavu sana,wananchi wamepagishwa kwenye ardhi yao wao wenyewe!

Kama ume-work hard ukamiliki ardhi iliyopimwa iwe ardhi yako pekee yako na haitakiwi uingiliwe na serikali au yeyote...

Watanzania wameazimishwa ardhi,sio yao,ni mali ya serikali...Na tena hiyo ardhi uliyoazimishwa ikatokea kuna madini au mafuta au chochote chenye thamani unanyang'anywa kwa uonevu mkubwa na serikali....What a theft?

Corruption ni sawa per capita....Kenya per capita yao ni kubwa na corruption ni kubwa...ila kwa per capita,tuko sawa .....Walao Kenya wana mfumo wa Mahakama unaofanyakazi,mtu akipelekwa mahakamani kwa corruption na kuna evidence anafungwa ana kama hakuna evidencce hafungwi..Tanzania rais ndio anaamua..what a stupid system?

Gap between rich na poor ni safi,maana kama wanadamu wote wapo huru kutafuta mali kwa usawa bila upendeleo basi kutatokea wa kwanza na wa mwisho,hivyo hii ni sahihi....Masikini kua masikini sio kosa la tajiri,ni kosa lake yeye binafsi...Hii sio ishu ya kuzungumzia kabisa....Pia kumbuka masikini wa Kenya kwa kipato kamzidi masikini wa Tanzania kwa kipato,na hii ni thanks to capitalism ya Kenya na blame to communism ya Tanzania tuliyonayo!
Hahahaha, hahahaha. Mwaka huu unagombea udiwani au ubunge?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aisee wewe ni bonge la mwanasiasa, ila hufai kuwa chini ya Magufuli, wewe unafaa sana kufanya kazi na Uhuru Kenyatta, wewe na James Macharia hamna tofauti kabisa, aliyejenga reli ya kizamani kwa swaga za Chinese first class [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaka hata DSM pia rates ni tofauti kulingana na maeneo, Mbagala na Sinza rates zinatofautiana, muhimu utoe taharifa TANESCO ili wakupangia daraja unalostahili, lakini yote kwa yote UMEME ni cheap Tanzania kuliko Kenya
ndio maana nakwambia yote haya ni communism ya Tanzania

Matajiri wanalipia umeme masikini,which is total stealing!

Kenya hata kama umeme ni ghali,kwanini kuna viwanda vingi zaidi ya Tanzania?

Hilo swali kulijibu sio kazi ndogo!

Swali jingine,jibu honestly....

Kwanini mchimba madini ya Tanzanite Mererani Arusha anaona ni bora akauze madini yake Nairobi na sio Dar es Salaam japo Magufuli kaweka ukuta mrefu kabisa?

Kuna reasons for all these,na majibu yake kama Tanzania inabidi tuyatafute,wenye madaraka nchi hii warekebishe sera ziwe bora mpaka mtu aone ni faida kuuza madini Dar es Salaam na ni faida kubwa kuanzisha kiwanda Tanzania....

Bila hivi tutaishia kuona viwanda na kila kitu vinaenda Kenya tu kila siku!
 
Mkuu

Kenya wapo well off zaidi yetu kwa mifumo na kila kitu...

Overall wapo mbele yetu,hili huwezi bisha....

Tribalism hata TZ ipo,kiasi gani?hakuna kipimo halisi cha kujua,hatuwezi toa jibu!

Tribalism ya TZ watu hawaongei wazi wazi,ila ya Kenya watu wanaongea upfront,zote ni Tribalism..Moja ni overt na ingine ni on the low!

Nepostism ipo pote,rulling classes TZ ni akina Mwinyis,Kikwetes,Nnauyes,Nyereres,etc

Serikalini wapo Wasukuma tu,Tresury yupo nani tena?Well,you know!

Land Justice,unachekesha sana,land system ya Kenya ni the best system,ardhi ni mali halisi ya mwenye ardhi na sio mali ya rais wa nchi.System inayojali Private Ownership na sio eti ardhi ni mali rais wewe umepangishwa tu kwa miaka 33 au 99,muda ukiisha ardhi inarudi serikalini kwa rais!

System ya kipumbavu sana,wananchi wamepagishwa kwenye ardhi yao wao wenyewe!

Kama ume-work hard ukamiliki ardhi iliyopimwa iwe ardhi yako pekee yako na haitakiwi uingiliwe na serikali au yeyote...

Watanzania wameazimishwa ardhi,sio yao,ni mali ya serikali...Na tena hiyo ardhi uliyoazimishwa ikatokea kuna madini au mafuta au chochote chenye thamani unanyang'anywa kwa uonevu mkubwa na serikali....What a theft?

Corruption ni sawa per capita....Kenya per capita yao ni kubwa na corruption ni kubwa...ila kwa per capita,tuko sawa .....Walao Kenya wana mfumo wa Mahakama unaofanyakazi,mtu akipelekwa mahakamani kwa corruption na kuna evidence anafungwa ana kama hakuna evidencce hafungwi..Tanzania rais ndio anaamua..what a stupid system?

Gap between rich na poor ni safi,maana kama wanadamu wote wapo huru kutafuta mali kwa usawa bila upendeleo basi kutatokea wa kwanza na wa mwisho,hivyo hii ni sahihi....Masikini kua masikini sio kosa la tajiri,ni kosa lake yeye binafsi...Hii sio ishu ya kuzungumzia kabisa....Pia kumbuka masikini wa Kenya kwa kipato kamzidi masikini wa Tanzania kwa kipato,na hii ni thanks to capitalism ya Kenya na blame to communism ya Tanzania tuliyonayo!
We jamaa huu mjadala ni very constructive unafaa kujifunza kwa ujumla wake......
Ila ulivyouleta hapa Inaonekana tayari unajibu lako kichwani.
 
Hahahaha, hahahaha. Mwaka huu unagombea udiwani au ubunge?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aisee wewe ni bonge la mwanasiasa, ila hufai kuwa chini ya Magufuli, wewe unafaa sana kufanya kazi na Uhuru Kenyatta, wewe na James Macharia hamna tofauti kabisa, aliyejenga reli ya kizamani kwa swaga za Chinese first class [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu

Siwezi fanyakazi chini Ya Magufuli maana core belief yake kuhusu serikali na nini maana ya maendeleo ni tofauti kabisa!

Mimi ni believer wa True Capitalism,Private Ownership na Personal Freedoms of citizens...Na yeye anaamini Serikali inatakiwa kua Totalitarian Communist na iwaelekeze citizens what to do and what not to do na kunyang'anya hawa mali zao na kuwapa wale kwa lazima..thats wrong
 
ndio maana nakwambia yote haya ni communism ya Tanzania

Matajiri wanalipia umeme masikini,which is total stealing!

Kenya hata kama umeme ni ghali,kwanini kuna viwanda vingi zaidi ya Tanzania?

Hilo swali kulijibu sio kazi ndogo!

Swali jingine,jibu honestly....

Kwanini mchimba madini ya Tanzanite Mererani Arusha anaona ni bora akauze madini yake Nairobi na sio Dar es Salaam japo Magufuli kaweka ukuta mrefu kabisa?

Kuna reasons for all these,na majibu yake kama Tanzania inabidi tuyatafute,wenye madaraka nchi hii warekebishe sera ziwe bora mpaka mtu aone ni faida kuuza madini Dar es Salaam na ni faida kubwa kuanzisha kiwanda Tanzania....

Bila hivi tutaishia kuona viwanda na kila kitu vinaenda Kenya tu kila siku!
Hata kodi anayolipa Zuckerberg hailingani na tekash au mange kimambi
iko ivyo dunia nzima matajiri wanalipa juu kuliko maskini

kuhusu tz hatuna cha kujifunza toka kenya kwa tuko tofaut sana kutulinganisha nchi ya kijamaa na kibepari
 
Back
Top Bottom