KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

Kama hujaelewa maana yake hujafahamu.,,kilichoandikwa kiko wazi kabisa,kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili sasa nini hujaelewa ?

Tatizo lako kiswahili ni lugha yako ya pili baada ya lugha ya kabila lako
Sasa kumbe unajua kwamba ni lugha yangu ya pili, mbona unashangaa nikishindwa kukielewa?. Tatizo hujiamini ulichoandika.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
1. TRA imekaa kisiasa, inaendeshwa kwa maslahi ya chama na sio Watanzania.

2. Wanasiasa wanatuambia tukiwachagua wao watatuletea maendeleo kwa kutumia pesa zao.

3. Wananchi wanachukia kulipa kodi kwa kuwa hawana haki kwenye maamuzi ya matumizi ya kodi zao.

4. Wanasiasa wanatumia umasikini wetu na matatizo yetu kama mtaji wa kututawala.

NB: SIKU AMBAYO SERIKALI ITAANZA KUSEMA WAZI WAZI KUWA MAENDELEO HAYALETWI NA WANASIASA BALI NI KODI ZETU, NDIYO SIKU AMBAYO MAENDELEO YA KWELI YATAONEKANA
Well said
 
TRA kiukweli bado wako nyuma kitendo cha tozo za kodi kutokuwekwa wazi yaani hadi mkaelewane ni ya kizamani, viwango vya kodi ni vikubwa hivyo mnaandaa watu kukwepa na kuendelea na biashara za magendo, angalia kodi za magari wanavyokomoa.
Kodi ya Gari ni kubwa kuliko Bei ya Gari kule inakotengenezwa.
Kwa kweli ni uzwazwa.

Tuipumzishe CCM kidogo ili nchi ijipange upya kwa mijadala mizito sio mazoea ya watendaji wa CCM.
Hakuna ubunifu zaidi ya kuwaza kushinda uchaguzi huku wananchi wakitoka jasho na damu kwa kukamuliwa kodi nyingi na faida kidogo.
 
Huu uongo ulioubandika humu haubadilishi hali halisia,jifariji tu ,ni bora kuukubali ukweli mapema mpunguze maumivu na muyashughulikie mapungufu yenu kama taifa.
Same moron says that kenyan currency removed one zero. thats why our currency is the strongest than madafu currency . [emoji38][emoji38][emoji38] Ujinga yenye watanzania huwa nayo.
 
Huu uongo ulioubandika humu haubadilishi hali halisia,jifariji tu ,ni bora kuukubali ukweli mapema mpunguze maumivu na muyashughulikie mapungufu yenu kama taifa.
Ok mwenzio kashindwa basi naomba unioneshe ww hyo gdp $109bln na per capita $2296 ili nifunge accnt Jf [emoji3][emoji3][emoji3]

Nb: lete credible source.
 
Same moron says that kenyan currency removed one zero. thats why our currency is the strongest than madafu currency . [emoji38][emoji38][emoji38] Ujinga yenye watanzania huwa nayo.
The real Kenyan GDP [emoji116][emoji116]
Screenshot_2020-09-18-14-42-53.jpeg
 
Hivi hujasikia Kenya wameshindwa kulipa wafanyakazi wao wote wa Counties na huduma zote zisizo za muhimu zimesitishwa kwa kukosa hela.Likizo ya wiki mbili bila malipi Serikali ya Kenya wanasema hela hskuna wakati Tanzania wafanyakazi kila mwezi kuanzia tarehe 24 wanapata mishahara
 
because we still are not in 2021. Low IQ
Kwahyo kwakuwa waliweka makadirio kwmb mtafika $109bln ifikapo 2020 basi na ww ndo unadhani mmeshafika? Kuwa na akili ww projections huwa zinabadilika kutokana na inconveniences mbali mbali mfano nyie mwaka huu uchumi wenu umekufa kwa corona so usitegemee km mtafika hata $90bln tena mkifanya mchezo mnarudi ldc [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwahyo kwakuwa waliweka makadirio kwmb mtafika $109bln ifikapo 2020 basi na ww ndo unadhani mmeshafika? Kuwa na akili ww projections huwa zinabadilika kutokana na inconveniences mbali mbali mfano nyie mwaka huu uchumi wenu umekufa kwa corona so usitegemee km mtafika hata $90bln tena mkifanya mchezo mnarudi ldc [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kipindi hiki cha korona uchumi wao umekua kwa 1.4% sasa iyo $109B iliotabiriwa last year haitawekena kwasababu hiyo! !Utabiri wa 109 ulikua kipindi kile dunia yote imefunguka na vile mlijifungia ndani kuogopa homa ya mapafu lazima uchumi wenu umeumia sana
 
Hivi hujasikia Kenya wameshindwa kulipa wafanyakazi wao wote wa Counties na huduma zote zisizo za muhimu zimesitishwa kwa kukosa hela.Likizo ya wiki mbili bila malipi Serikali ya Kenya wanasema hela hskuna wakati Tanzania wafanyakazi kila mwezi kuanzia tarehe 24 wanapata mishahara
Tanzania wafanyakazi (ukiwatoa wa ngazi za juu) hawalipwi mishahara, wanalipwa posho ya kununua mkate, waule kwa maji ili kesho warudi kazini.
 
Ok mwenzio kashindwa basi naomba unioneshe ww hyo gdp $109bln na per capita $2296 ili nifunge accnt Jf [emoji3][emoji3][emoji3]

Nb: lete credible source.
Mie siye hao unaolumbana nao humu kucha kutwa, huwa naangalia upeo wa ntu kwa mtu...

kalb hayawan
 
Mie siye hao unaolumbana nao humu kucha kutwa, huwa naangalia upeo wa ntu kwa mtu...

kalb hayawan
leave him alone. Stupid guy thinks Economics ni kindergarten level math .

He seriously thinks if Tanzania erases one zero from their currency, it will beat kenya's currency. How can you explain Gdp predictions and figures to such a person .
 
KRA vs TRA (Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania)

KRA: Kenya Revenue Authority

TRA: Tanzania Revenue Authority

Makusanyo (Tax Collection July 2019 to June 2020)

KRA-Kenya: 34 Trillion (Tsh)

TRA-Tanzania: 14 Trillion (Tsh)

Sababu ni hizi hapa.
  • Matumizi duni ya teknologia (ICT) kwa TRA
  • Kodi kubwa kwa walipa kodi TRA
  • Kazi nyingi kufanyika kwa mikono (manual processing)- TRA
  • Walipa kodi kukosa elimu ya walipa kodi: TRA
  • Kukosa ubunifu katika kuongeza walipa kodi (Tax base) : TRA
  • Kukosa uwazi kwenye viwango vya kodi kwa walipa kodi - TRA
Matumizi ya teknologia

Mfano mdogo ni ukilinganisha tovuti ya TRA vs KRA.

Tovuti ya TRA ipo duni sana na siyo tovuti ya karne hii bado ni zile tovuti static ambazo taarifa zake hazibadiliki na hazina umuhimu kwa walengwa .

Mfano.

Home page ya TRA vs Home page ya KRA.

Main menu TRA.


Ukifungua tovuti ya TRA kwanza ubnakutana na mambo yafuatayo
View attachment 1571980

Ukweli ni kwamba menu yote ambayo ndiyo memyu kuu haina umuhimu wowote kwa mlipa kodi , hata wanao isimamia hii tovuti sijui wana elimu gani.

Main menu KRA
Ukifungua tovuti ya KRA unakutana na menu ifuatayo
View attachment 1571981
Hii umekaa kihusika kabisa kwa mlipa kodi wa aina zote , ukifungua hapa individual unakutana na taarfiza zote na kodi kwa watu binafsi, ukifungua business unakutana na taariza zote za kodi kwa makampuni na taasisi, na investors unakutana na taarifa zote za kodi zinazo husu wawekezaji.

Home page TRA vs KRA

Home page ya TRA
.
Utakutana picha zinazo za wanasiasa, ndege za ATCL, picha ya commissioner general ,picha za barabara etc, hivi vyote havina umuhimu wowote na wala havimusaidii mlipa kodi . Ni mambo ya kizamani sana .. nadhani mkuu wa ICT TRA atakua na miaka zaidi ya 50. Picha ya CG inahusika na nini na walipa kodi.. tovuti imejaa taarifa ambazo hazina mashiko.
View attachment 1571983

Home page ya KRA
Unakutana na maelezo ya jinsi ya kutafuta huduma yoyote ya kodi na kuna sehemu una chagua taarfia na huduma unayo itaka (very friendly )
View attachment 1571984
Hii ni mifano tuu jinsi TRA ilivyo nyuma katika matumizi ya teknologia katika kurahisisha ukusanyaji wa kodi. Tovuti hii ya KRA inafanya kazi za watu zaidi ya 5000, na uhakika KRA itakua na wafanyakazi wachache kuliko TRA pamoja na kwamba inakusanya kodi mara 3 ya TRA.
View attachment 1571985
Kwa ujumla tovuti ya TRA na KRA zina tofauti zifutazo.
  • KRA ina maelezo karibia yote ya aina za kodi na jinsi ya kulipa Pamoja na maelezo mengine ya kumsaidia mlipa kodi mkubwa na mdogo wakati tovuti ya TRA , taarifa ni chache san ana hazija pangwa kiutaratibu kiasi kwamba tovuti haina msaada .
  • KRA kodi karibia zote unalipa kwa kutumia mitandao au una faili kwa kutumia teknologia na ii unapunguza sana rushwa na kubambikiwa kodi sizizo na maana. Mfano Capital Gain tax ambayo Tanzania Tax pengine inayo ongoza kwa rushwa, Kenya una faili online na baada ya muda unapewa risiti online ya kulipia .
  • KRA imejengwa vizuri na ina taarifa ambazo zinamsadia mlipa kodi, zimehuishwa , tofauti na tovuti ya TRA ambayo imejaza taarifa ambazo hazina maana mfano: number of vistors inamsadia nini mlipa kodi, au link za taasisi za kodi ambazo hazipo Tanzania, utadhani hawana kitu cha kuweka kwenye tovuti sasa wanaamua kukusanya chochote na kujaza huko.
Kwa leo niishie hapa, nitamalizia next week.

Naamini department ya TRA mtabadirika, au tafuteni namna mkajifunze kwa wenzenu wa KRA.

Tanzania bado inanafasi ya kufikia walau nusu ya makusanyo ya kenya kama itazingatia matumizi ya tehama na kuaachana na matumizi ya binadamu kwa sehemu kubwa, lakini kwa utaratibu huu wa sasa kenya muda si mrefu itakusanya mara 4 ta Kenya.
KRA vs TRA (Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania)

KRA: Kenya Revenue Authority

TRA: Tanzania Revenue Authority

Makusanyo (Tax Collection July 2019 to June 2020)

KRA-Kenya: 34 Trillion (Tsh)

TRA-Tanzania: 14 Trillion (Tsh)

Sababu ni hizi hapa.
  • Matumizi duni ya teknologia (ICT) kwa TRA
  • Kodi kubwa kwa walipa kodi TRA
  • Kazi nyingi kufanyika kwa mikono (manual processing)- TRA
  • Walipa kodi kukosa elimu ya walipa kodi: TRA
  • Kukosa ubunifu katika kuongeza walipa kodi (Tax base) : TRA
  • Kukosa uwazi kwenye viwango vya kodi kwa walipa kodi - TRA
Matumizi ya teknologia

Mfano mdogo ni ukilinganisha tovuti ya TRA vs KRA.

Tovuti ya TRA ipo duni sana na siyo tovuti ya karne hii bado ni zile tovuti static ambazo taarifa zake hazibadiliki na hazina umuhimu kwa walengwa .

Mfano.

Home page ya TRA vs Home page ya KRA.

Main menu TRA.


Ukifungua tovuti ya TRA kwanza ubnakutana na mambo yafuatayo
View attachment 1571980

Ukweli ni kwamba menu yote ambayo ndiyo memyu kuu haina umuhimu wowote kwa mlipa kodi , hata wanao isimamia hii tovuti sijui wana elimu gani.

Main menu KRA
Ukifungua tovuti ya KRA unakutana na menu ifuatayo
View attachment 1571981
Hii umekaa kihusika kabisa kwa mlipa kodi wa aina zote , ukifungua hapa individual unakutana na taarfiza zote na kodi kwa watu binafsi, ukifungua business unakutana na taariza zote za kodi kwa makampuni na taasisi, na investors unakutana na taarifa zote za kodi zinazo husu wawekezaji.

Home page TRA vs KRA

Home page ya TRA
.
Utakutana picha zinazo za wanasiasa, ndege za ATCL, picha ya commissioner general ,picha za barabara etc, hivi vyote havina umuhimu wowote na wala havimusaidii mlipa kodi . Ni mambo ya kizamani sana .. nadhani mkuu wa ICT TRA atakua na miaka zaidi ya 50. Picha ya CG inahusika na nini na walipa kodi.. tovuti imejaa taarifa ambazo hazina mashiko.
View attachment 1571983

Home page ya KRA
Unakutana na maelezo ya jinsi ya kutafuta huduma yoyote ya kodi na kuna sehemu una chagua taarfia na huduma unayo itaka (very friendly )
View attachment 1571984
Hii ni mifano tuu jinsi TRA ilivyo nyuma katika matumizi ya teknologia katika kurahisisha ukusanyaji wa kodi. Tovuti hii ya KRA inafanya kazi za watu zaidi ya 5000, na uhakika KRA itakua na wafanyakazi wachache kuliko TRA pamoja na kwamba inakusanya kodi mara 3 ya TRA.
View attachment 1571985
Kwa ujumla tovuti ya TRA na KRA zina tofauti zifutazo.
  • KRA ina maelezo karibia yote ya aina za kodi na jinsi ya kulipa Pamoja na maelezo mengine ya kumsaidia mlipa kodi mkubwa na mdogo wakati tovuti ya TRA , taarifa ni chache san ana hazija pangwa kiutaratibu kiasi kwamba tovuti haina msaada .
  • KRA kodi karibia zote unalipa kwa kutumia mitandao au una faili kwa kutumia teknologia na ii unapunguza sana rushwa na kubambikiwa kodi sizizo na maana. Mfano Capital Gain tax ambayo Tanzania Tax pengine inayo ongoza kwa rushwa, Kenya una faili online na baada ya muda unapewa risiti online ya kulipia .
  • KRA imejengwa vizuri na ina taarifa ambazo zinamsadia mlipa kodi, zimehuishwa , tofauti na tovuti ya TRA ambayo imejaza taarifa ambazo hazina maana mfano: number of vistors inamsadia nini mlipa kodi, au link za taasisi za kodi ambazo hazipo Tanzania, utadhani hawana kitu cha kuweka kwenye tovuti sasa wanaamua kukusanya chochote na kujaza huko.
Kwa leo niishie hapa, nitamalizia next week.

Naamini department ya TRA mtabadirika, au tafuteni namna mkajifunze kwa wenzenu wa KRA.

Tanzania bado inanafasi ya kufikia walau nusu ya makusanyo ya kenya kama itazingatia matumizi ya tehama na kuaachana na matumizi ya binadamu kwa sehemu kubwa, lakini kwa utaratibu huu wa sasa kenya muda si mrefu itakusanya mara 4 ta Kenya.
Sasa hata wakikusanya mara mia moja zaidi ya Tanzania wewe inakuuma nini?
 
Back
Top Bottom