KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

Ndo mana nakuambia huwa sisomi unachoandika mana ckuelewagi mkuu, hv unavyodhani Tz kuingia middle Income kichwani kwako inamaanisha nini?

Au unadhani pato la mTz limebaki pale pale, yn wakati wanatafuta data za below poverty line watumie vigezo vya middle Income lkn watumie pato la ldc hv unaakili kweli ww?
Basi weka data ya since mjoin mido income?
 
Mkuuu ni kilio cha wengi.. Vijana wa IT wamejaa kitaa ni swala tuu la kuwa train na kuwasimamia..

Tunafuga vitambi tuu maofisini na kunywa chai .. [emoji1]
Mkuu sio TRA tu yani taasisi za Serikali nyingi ziko usingizini hakuna Update wala creativity jaribu kufatilaia tu Sites za Mashirika ya kenya na Tanzania ndio utashangaa yani upande wa Tehama tumelala haswa hii inaletwa na wazee wengi ambao wako outdatd na very static, mheshimiwa Rais ame establish mifumo mizuri sana ya tehama kama GePG na mingineyo ila still watendaji wakuu wa tehama wanamuangusha sana
 
Yn leo ndo umetoa boko la mwaka na inaonesha ww ni mweupe sn kichwani sema kujifanya ujuaji mwingi na kujifanya uzungu mwisho mnaolewa na wazungu.
Uzungu umetokea wapi hapa?

Mimi ni mtu mweusi,mimi sio mzungu

Ni ajabu upo hapa kutoa utaifa kwa watu mbalimbali

Kujua Kiengereza au lugha ya mahali haimaanishi wewe ni wa race ile,acha upumbavu!

Wewe Mchagga,ukijua Kisukuma basi magically unabadilika unakua "Msukuma"?

Stop this nonsense!

Na by the way,punguza uoga wa lugha ya Kingereza,ni lugha kama ilivyo lugha zingine!

Na pia usionee wivu wanaojua lugha ambayo unatamani sana kuijua ila ndio hujui..Wivu mbaya!Acha.

Elimu bure ukiacha zama za Nyerere hapa Tz imerudishwa tena juzi tu hapa na H.E president Magufuli tena ni primary to secondary only, kuhusu afya bure hatujafika huko usitupe sifa tusizostahili.
Blah blah blah

Nyerere,Magufuli,sijui secondary only,sijui pereperepere...mzungu kalamba makamasi,etc....NI ELIMU BURE!

Which means hela zinatolewa mahali wanapewa masikini!

Na weka in mind,nchi masikini kabisa,toa kwenye GDP hela ya kusomesha unabakia na 0 balance!

Nyerere alifanya kosa na alikiri hiyo,cha ajabu Meko anarudia upumbavu ule ule!

Mkapa na Mwinyi walijaribu kutuweka kwenye mstari,the funny thing,kuna mtu anaturudisha machakani halafu juha upo hapa unakenua mimeno!

Eti ni "secondary tu" as if ina justify that nonsense?

Lkn pia kwnn nimekuita ww ni mweupe na mwepesi sana ni kwasababu umenishangaza kwmb hata hujui kuna capitalist countries nyingi zina offer free education tena co primary to secondary only but they offer free education up to university level na pia wanatoa free health care services.
Brother

Wao wanapesa nyingi kwendana na GDP yao walao kufanya hilo bila kuathiri chochote..

Sasa GDP yako ukitoa elimu ya Kindergarten tu,unabaki na salio ZERO!Unaingia mtaani kuharamia biashara zinazokufa zikupe hela tena,na tena,na tena....

Na hiyo haifanyi hilo walifanyalo ni haki,sio haki na ndio maana libertarians na coservatives wanapiga hizo sera kwenye hizo nchi day in day out!

Usidhani wanachofanya ni sahihi,sio sahihi...

Nenda kwenye hizo nchi waulize Libertarianist and Conservatist wings watakujibu sawa sawa!

Capitalism haiangalii your good intentions za ku-help poor people na your feelings za huruma..

Tafuta hizo mali mwenyewe kwa jasho lako then wape hao watu...then ndio utajua maharage si zao la biashara!

Again,stop kuonea wivu watu wanaojua Kingereza ulichofeli kukijua...

Huo ni wivu mbaya sana...jifunze ukubwani utaelewa pia!

Again,usikiogope Kingereza,ni lugha kama lugha zingine...

Na hili ni tatizo la shule za bure,elimu inakua duni mno,mpaka vitu kama lugha mbalimbali hamjui...Suluhisho la hili ni kubinafsisha mfumo mzima wa elimu kwa free market,then uone wonders!

You motherfvckers never learn!
 
Kaka katika kitu kinachomuumiza kichwa Magufuli ni TRA na Wizara ya mambo ya ndani na BoT, wewe mwenyewe umemsikia mara kadhaa Magufuli akichanganyikiwa kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa TRA, katika kipindi cha uongozi wake wa miaka 5. amebadilisha makamishina wakuu 5, wastani wa kamishna mkuu mmoja kila mwaka [emoji23][emoji23][emoji23], hii ni dalili kwamba hakuna utendaji mzuri TRA.

Kaka tatizo la TRA lipo kwa wetendaji kuwa na uwezo mdogo, kukosa ubunifu na kutokuwepo na uongozi imara, bado wafanyakazi wengi wa TRA ni mangi meza, sidhani Kama kuna siasa.
Lakini kuna ukanda umetuharibia sana engine yetu hii ya mapato TRA, Inatakiwa reform ya kutosha ikiwezekana watu wastaafu kupisha wengine, Ajira za TRA ziendelee kupita utumishi ili ziondoe wapiga dili hii taasisi kuna mizizi inatakiwa Ikatwe CG anaweza kuja na mawazo constructive ila akishazoea tu anapewa ramani na loophole za upigaji yale yale ya MSD, Hakuna mtu hapendi hela ila hawa ndugu zetu wa kule wako too much hata kazi kwao wanaona haina maana zaidi ya deal na vile wako tayari kwenye mifumo kwa ilr kamlete mtoto wa mjomba basi upigaji kila sehemu
 
Uzungu umetokea wapi hapa?

Mimi ni mtu mweusi,mimi sio mzungu

Ni ajabu upo hapa kutoa utaifa kwa watu mbalimbali

Kujua Kiengereza au lugha ya mahali haimaanishi wewe ni wa race ile,acha upumbavu!

Wewe Mchagga,ukijua Kisukuma basi magically unabadilika unakua "Msukuma"?

Stop this nonsense!

Na by the way,punguza uoga wa lugha ya Kingereza,ni lugha kama ilivyo lugha zingine!

Na pia usionee wivu wanaojua lugha ambayo unatamani sana kuijua ila ndio hujui..Wivu mbaya!Acha.


Blah blah blah

Nyerere,Magufuli,sijui secondary only,sijui pereperepere...mzungu kalamba makamasi,etc....NI ELIMU BURE!

Which means hela zinatolewa mahali wanapewa masikini!

Na weka in mind,nchi masikini kabisa,toa kwenye GDP hela ya kusomesha unabakia na 0 balance!

Nyerere alifanya kosa na alikiri hiyo,cha ajabu Meko anarudia upumbavu ule ule!

Mkapa na Mwinyi walijaribu kutuweka kwenye mstari,the funny thing,kuna mtu anaturudisha machakani halafu juha upo hapa unakenua mimeno!

Eti ni "secondary tu" as if ina justify that nonsense?


Brother

Wao wanapesa nyingi kwendana na GDP yao walao kufanya hilo bila kuathiri chochote..

Sasa GDP yako ukitoa elimu ya Kindergarten tu,unabaki na salio ZERO!Unaingia mtaani kuharamia biashara zinazokufa zikupe hela tena,na tena,na tena....

Na hiyo haifanyi hilo walifanyalo ni haki,sio haki na ndio maana libertarians na coservatives wanapiga hizo sera kwenye hizo nchi day in day out!

Usidhani wanachofanya ni sahihi,sio sahihi...

Nenda kwenye hizo nchi waulize Libertarianist and Conservatist wings watakujibu sawa sawa!

Capitalism haiangalii your good intentions za ku-help poor people na your feelings za huruma..

Tafuta hizo mali mwenyewe kwa jasho lako then wape hao watu...then ndio utajua maharage si zao la biashara!

Again,stop kuonea wivu watu wanaojua Kingereza ulichofeli kukijua...

Huo ni wivu mbaya sana...jifunze ukubwani utaelewa pia!

Again,usikiogope Kingereza,ni lugha kama lugha zingine...

Na hili ni tatizo la shule za bure,elimu inakua duni mno,mpaka vitu kama lugha mbalimbali hamjui...Suluhisho la hili ni kubinafsisha mfumo mzima wa elimu kwa free market,then uone wonders!

You motherfvckers never learn!
Kudadadeki nimekubana kwenye corner unaanza ku attack personality [emoji3][emoji3][emoji3]

Mimi nikitoa hoja yng kilaza km ww huwezi jibu zaidi utaenda personal tu.

Zen usitoke kwenye hoja ukaanza kuongelea kingereza, wanaojua kingereza wakiambiwa watoke mbele we utakatiza pua yako?

Umesema elimu bure na afya bure ni upuuzi na kwamba kwa maoni yako ulitaka kuaminisha watu kwamba capitalist countries hawafanyi hivyo, nimekuwekea hapa unaanza kutoa execuses "ooh Wana GDP kubwa cjui nn na nn" badala ya kukubali kwamba ulikuwa hujui.

Unaongelea Nyerere alifeli je unataka kufananisha uchumi wa enzi za Nyerere na uchumi wa Magufuli unaojenga reli ya umeme?

Wacha upuuzi na leo umejidhihirisha kwamba una wivu wa kijinga sn, eti unaongea bila aibu kwamba wazungu wanapinga free services kwn zimeanza jana au juzi mbn mpk leo zinatolewa?
Au unataka kujiaminisha kwamba ww unaakili sn kuliko wazungu waliokutengenezea mifumo ya maisha na bado leo unaona fahari ku act km wao, nimekudharau sn leo na watu wameona humu.

Again pitia hii na uache ujinga [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

Top 10 Countries With Free Healthcare For Everyone Including Students - 2020 Study Abroad Nations
 
Mie naona si eti hawajui kama IT system za TRA ni mchicha, ni janja tu ya hao hao mabepari ndani ya System yoote, kufanya iwe hivyo ndo waweze kuikojolea na kukemba kando ya Mtandao!!!
 
Kudadadeki nimekubana kwenye corner unaanza ku attack personality [emoji3][emoji3][emoji3]

Mimi nikitoa hoja yng kilaza km ww huwezi jibu zaidi utaenda personal tu.

Zen usitoke kwenye hoja ukaanza kuongelea kingereza, wanaojua kingereza wakiambiwa watoke mbele we utakatiza pua yako?

Umesema elimu bure na afya bure ni upuuzi na kwamba kwa maoni yako ulitaka kuaminisha watu kwamba capitalist countries hawafanyi hivyo, nimekuwekea hapa unaanza kutoa execuses "ooh Wana GDP kubwa cjui nn na nn" badala ya kukubali kwamba ulikuwa hujui.

Unaongelea Nyerere alifeli je unataka kufananisha uchumi wa enzi za Nyerere na uchumi wa Magufuli unaojenga reli ya umeme?

Wacha upuuzi na leo umejidhihirisha kwamba una wivu wa kijinga sn, eti unaongea bila aibu kwamba wazungu wanapinga free services kwn zimeanza jana au juzi mbn mpk leo zinatolewa?
Au unataka kujiaminisha kwamba ww unaakili sn kuliko wazungu waliokutengenezea mifumo ya maisha na bado leo unaona fahari ku act km wao, nimekudharau sn leo na watu wameona humu.

Again pitia hii na uache ujinga [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

Top 10 Countries With Free Healthcare For Everyone Including Students - 2020 Study Abroad Nations

miathirika vyeti feki huyo tuliishamshtukia kitambo.

atakuchosha tu,anachofanya huwa ni kutafuta pa kuegemea iwe kwa wakenya au wasomali twendeee.
 
miathirika vyeti feki huyo tuliishamshtukia kitambo.

atakuchosha tu,anachofanya huwa ni kutafuta pa kuegemea iwe kwa wakenya au wasomali twendeee.
Kila nikimpuuza anakuja na maneno yake ya kipuuzi inakera sana unajua ila ngj niachane naye, nishampa facts akitaka ameze akishindwa ateme.
 
Ss we jamaa mbn unashangaza? Hv wakitoa takwimu hata leo unadhani nani atakechekesha? Haiitaji Phd kujua kwamba kenya kuna tatizo la ajira kwa ss kuliko miaka yote iliyowahi kutokea.

Watu kila siku wanapunguzwa kazi, mashirika ya kigeni yanafunga ofisi, hasara kila uchwao, serikali inashindwa kulipa mishahara, je unadhani wakitoa takwimu itakuwaje?
Numbers never lie. Uchumi duniani unasuasua., mengine yanafunga na mengine yanapiga hela ndefu., competition apart from others external global factors. Kwa mfano kwenye retail sector kina Tuskys na Shoprite arw almost folding kabisa! wameonyeshwa kivumbi na akina Naivas, Tumaini na Qiuck Mat which are expanding rapidly., others exit or fall as others rise, hakuna gap ina achwa, capitalism is alive and kicking hard here, mwenye nguvu mpishe.,
 
Numbers never lie. Uchumi duniani unasuasua., mengine yanafunga na mengine yanapiga hela ndefu., competition apart from others external global factors. Kwa mfano kwenye retail sector kina Tuskys na Shoprite arw almost folding kabisa! wameonyeshwa kivumbi na akina Naivas, Tumaini na Qiuck Mat which are expanding rapidly., others exit or fall as others rise, hakuna gap ina achwa, capitalism is alive and kicking hard here, mwenye nguvu mpishe.,
Sawa lkn usipinge kwamba watu wamepunguzwa sn kazi kipindi hiki huko kenya kuliko wakati wowote ule.
 
Kudadadeki nimekubana kwenye corner unaanza ku attack personality [emoji3][emoji3][emoji3]

Mimi nikitoa hoja yng kilaza km ww huwezi jibu zaidi utaenda personal tu.

Zen usitoke kwenye hoja ukaanza kuongelea kingereza, wanaojua kingereza wakiambiwa watoke mbele we utakatiza pua yako?

Umesema elimu bure na afya bure ni upuuzi na kwamba kwa maoni yako ulitaka kuaminisha watu kwamba capitalist countries hawafanyi hivyo, nimekuwekea hapa unaanza kutoa execuses "ooh Wana GDP kubwa cjui nn na nn" badala ya kukubali kwamba ulikuwa hujui.

Unaongelea Nyerere alifeli je unataka kufananisha uchumi wa enzi za Nyerere na uchumi wa Magufuli unaojenga reli ya umeme?

Wacha upuuzi na leo umejidhihirisha kwamba una wivu wa kijinga sn, eti unaongea bila aibu kwamba wazungu wanapinga free services kwn zimeanza jana au juzi mbn mpk leo zinatolewa?
Au unataka kujiaminisha kwamba ww unaakili sn kuliko wazungu waliokutengenezea mifumo ya maisha na bado leo unaona fahari ku act km wao, nimekudharau sn leo na watu wameona humu.

Again pitia hii na uache ujinga [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

Top 10 Countries With Free Healthcare For Everyone Including Students - 2020 Study Abroad Nations
Kumbe tupo hapa na jitu linalotetea incompetence ya serikali ya Meko?

Tupo hapa na mtu anaetetea udikteta?

Tupo na mtu anaedhani Magufuli kamzidi Nyerere kwa chochote?

Tupo hapa na jitu linaloshabikia serikali za ki-totalitarian?

Tupo hapa na jitu linaloshabikia Socialism?

....Aisee I wish I knew this nonsense mapema
 
Kudadadeki nimekubana kwenye corner unaanza ku attack personality [emoji3][emoji3][emoji3]

Mimi nikitoa hoja yng kilaza km ww huwezi jibu zaidi utaenda personal tu.

Zen usitoke kwenye hoja ukaanza kuongelea kingereza, wanaojua kingereza wakiambiwa watoke mbele we utakatiza pua yako?

Umesema elimu bure na afya bure ni upuuzi na kwamba kwa maoni yako ulitaka kuaminisha watu kwamba capitalist countries hawafanyi hivyo, nimekuwekea hapa unaanza kutoa execuses "ooh Wana GDP kubwa cjui nn na nn" badala ya kukubali kwamba ulikuwa hujui.

Unaongelea Nyerere alifeli je unataka kufananisha uchumi wa enzi za Nyerere na uchumi wa Magufuli unaojenga reli ya umeme?

Wacha upuuzi na leo umejidhihirisha kwamba una wivu wa kijinga sn, eti unaongea bila aibu kwamba wazungu wanapinga free services kwn zimeanza jana au juzi mbn mpk leo zinatolewa?
Au unataka kujiaminisha kwamba ww unaakili sn kuliko wazungu waliokutengenezea mifumo ya maisha na bado leo unaona fahari ku act km wao, nimekudharau sn leo na watu wameona humu.

Again pitia hii na uache ujinga [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

Top 10 Countries With Free Healthcare For Everyone Including Students - 2020 Study Abroad Nations
Unadhani atakuelewa huyo anayeongozwa na chuki binafsi?

Na yeye ana account kule twitter eti ni mwanaharakati uchwara anaiponda serikali [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuuu ni kilio cha wengi.. Vijana wa IT wamejaa kitaa ni swala tuu la kuwa train na kuwasimamia..

Tunafuga vitambi tuu maofisini na kunywa chai .. [emoji1]

Tatizo kubwa huwa lipo kwenye serikali kutokuthamini IT, tembelea taasisi nyingi za serikali utakuta kitengo cha ICT ni ka-unit fulani na wala sio department, na huwa wanatambulika tu kama supporting unit, sio idara yenye huduma nyeti na muhimu, humo wanawekwa vijana wawili au wakizidi sana watatu, halafu kazi zao wanazongwa na repairs za printers na computers, hawana muda kabisa wa kuhakikisha sera za TEHAMA zinafuatiliwa.
Hakuna hata mwenye fursa ya kucheck tovuti ya wizara kama imekua updted na taarifa mpya, au hata updates za kiusalama, tovuti nyingi za kiserikali zinatumia mifumo ya kitambo ambayo haijawa updated
 
Kumbe tupo hapa na jitu linalotetea incompetence ya serikali ya Meko?

Tupo hapa na mtu anaetetea udikteta?

Tupo na mtu anaedhani Magufuli kamzidi Nyerere kwa chochote?

Tupo hapa na jitu linaloshabikia serikali za ki-totalitarian?

Tupo hapa na jitu linaloshabikia Socialism?

....Aisee I wish I knew this nonsense mapema
Umeona ulivyomjinga, nani kasema Magufuli kamzd Nyerere? Umeshindwa hoja umebaki ku attack mtu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unadhani atakuelewa huyo anayeongozwa na chuki binafsi?

Na yeye ana account kule twitter eti ni mwanaharakati uchwara anaiponda serikali [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ni mjinga tu hawezi kutamba humu akileta upupu wake watu tunapangua zen tunapiga panapouma lazima aende personal [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mada ni nzuri sana japo lengo lake si sahihi, KRA haijawahi izidi TRA makusanyo ya kodi hata siku moja, wanachotuzidi kenya si makusanyo ya kodi bali ni thamani ya pesa

Tsh100 na ksh100 zote ni sh100 ila zinatofautishwa na thamani ya pesa ya nchi husika hivo mada hii tulipaswa kujadili kwa nini pesa ya kenya ina thamani kubwa dhidi ya pesa yetu or mambo gani yafanyike ili pesa yetu iwe na thaman sawa na pesa ya kenya or tuizidi?
Dah!!! Uliachia darasa la ngapi?
Kenya walifuta 0 moja hvyo kiuhalisia pesa ya kenya inazd ya Tz kwa sh 2 tu yn 1ksh = 2.1tsh.
Hahaha... Mwalimu Nyerere anahuzunika sana huko aliko kwa level ya ujinga uliopo mwiongoni mwa wananchi wake
 
Dah!!! Uliachia darasa la ngapi?

Hahaha... Mwalimu Nyerere anahuzunika sana huko aliko kwa level ya ujinga uliopo mwiongoni mwa wananchi wake

wewe ndio kiazi ama hujui nini kinaendelea.

kwa taarifa yako kenya inakusanya pesa kubwa kuizidi tz sio nyingi kuizidi tz,ndio sababu watu wanaandamama mishahara huko.
 
Back
Top Bottom