Yn leo ndo umetoa boko la mwaka na inaonesha ww ni mweupe sn kichwani sema kujifanya ujuaji mwingi na kujifanya uzungu mwisho mnaolewa na wazungu.
Uzungu umetokea wapi hapa?
Mimi ni mtu mweusi,mimi sio mzungu
Ni ajabu upo hapa kutoa utaifa kwa watu mbalimbali
Kujua Kiengereza au lugha ya mahali haimaanishi wewe ni wa race ile,acha upumbavu!
Wewe Mchagga,ukijua Kisukuma basi magically unabadilika unakua "Msukuma"?
Stop this nonsense!
Na by the way,punguza uoga wa lugha ya Kingereza,ni lugha kama ilivyo lugha zingine!
Na pia usionee wivu wanaojua lugha ambayo unatamani sana kuijua ila ndio hujui..Wivu mbaya!Acha.
Elimu bure ukiacha zama za Nyerere hapa Tz imerudishwa tena juzi tu hapa na H.E president Magufuli tena ni primary to secondary only, kuhusu afya bure hatujafika huko usitupe sifa tusizostahili.
Blah blah blah
Nyerere,Magufuli,sijui secondary only,sijui pereperepere...mzungu kalamba makamasi,etc....NI ELIMU BURE!
Which means hela zinatolewa mahali wanapewa masikini!
Na weka in mind,nchi masikini kabisa,toa kwenye GDP hela ya kusomesha unabakia na 0 balance!
Nyerere alifanya kosa na alikiri hiyo,cha ajabu Meko anarudia upumbavu ule ule!
Mkapa na Mwinyi walijaribu kutuweka kwenye mstari,the funny thing,kuna mtu anaturudisha machakani halafu juha upo hapa unakenua mimeno!
Eti ni "secondary tu" as if ina justify that nonsense?
Lkn pia kwnn nimekuita ww ni mweupe na mwepesi sana ni kwasababu umenishangaza kwmb hata hujui kuna capitalist countries nyingi zina offer free education tena co primary to secondary only but they offer free education up to university level na pia wanatoa free health care services.
Brother
Wao wanapesa nyingi kwendana na GDP yao walao kufanya hilo bila kuathiri chochote..
Sasa GDP yako ukitoa elimu ya Kindergarten tu,unabaki na salio ZERO!Unaingia mtaani kuharamia biashara zinazokufa zikupe hela tena,na tena,na tena....
Na hiyo haifanyi hilo walifanyalo ni haki,sio haki na ndio maana libertarians na coservatives wanapiga hizo sera kwenye hizo nchi day in day out!
Usidhani wanachofanya ni sahihi,sio sahihi...
Nenda kwenye hizo nchi waulize Libertarianist and Conservatist wings watakujibu sawa sawa!
Capitalism haiangalii your good intentions za ku-help poor people na your feelings za huruma..
Tafuta hizo mali mwenyewe kwa jasho lako then wape hao watu...then ndio utajua maharage si zao la biashara!
Again,stop kuonea wivu watu wanaojua Kingereza ulichofeli kukijua...
Huo ni wivu mbaya sana...jifunze ukubwani utaelewa pia!
Again,usikiogope Kingereza,ni lugha kama lugha zingine...
Na hili ni tatizo la shule za bure,elimu inakua duni mno,mpaka vitu kama lugha mbalimbali hamjui...Suluhisho la hili ni kubinafsisha mfumo mzima wa elimu kwa free market,then uone wonders!
You motherfvckers never learn!