Krismas ya mwaka huu yawa ya mfano, Chadema wahaha

Umeona eeeeeah. Na korosho tumelipwa cash huku kusini wala hatuna njaa. Hao chadema wamkome jpm. Za kuambiwa changanya na zako we unaangalia huko tu njoo huku mwezi wa nne korosho zetu hatujalipwa na mvua zimeanza tutalimaje sijui TUPENI HELA ZETU
 
Chakula ni matumizi ya muhimu kwa binadamu
Kwa kawaida mapato yanagawanywa katika makundi mawili, matumizi ya kila siku na akiba, suala la kwanza kuathirika ni akiba akiba inawekwa bank ukiona bank zinapata shida ujue vyuma vimekaza.

Sokoni ni sehemu ya mwisho kuangalia, huko tunaangalia ukubwa wa kapu na thamani yake.
 
Mmeumbuka vibaya mno
 
Umeona eeeeeah. Na korosho tumelipwa cash huku kusini wala hatuna njaa. Hao chadema wamkome jpm. Za kuambiwa changanya na zako we unaangalia huko tu njoo huku mwezi wa nne korosho zetu hatujalipwa na mvua zimeanza tutalimaje sijui TUPENI HELA ZETU
Uongo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misifa ya kijinga hii, jiji la kwanza maendeleo ni Dar kwa wazaramo na jiji la pili kwa maendeleo ni Mwanza kwa wasukuma
Kwa hiyo makabila yanayoongoza kwa maendeleo ni 1. Wazaramo 2. Wasukuma 3. Wamasai. Au nimekuelewa tofauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…