kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Wakazi wa mijini msilaumiwe kwa kuwaua wazazi wenu kwa kuwaambukiza ugonjwa wa Covid 19.
Wazazi wetu ni wazee ambao hawakuchanja korona, hivyo rahisi sana kupata maambukizi ya corona Na mafua makali.
Kama sio lazima sana usiende kijijini, baki mjini kwa maslahi ya babu na bibi zako.
Wazazi wetu ni wazee ambao hawakuchanja korona, hivyo rahisi sana kupata maambukizi ya corona Na mafua makali.
Kama sio lazima sana usiende kijijini, baki mjini kwa maslahi ya babu na bibi zako.