Krismasi ya leo ni tulivu haina mbwembwe wala madoido

Krismasi ya leo ni tulivu haina mbwembwe wala madoido

Enzi na Enzi

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2020
Posts
888
Reaction score
821
Nimeamini pesa ndio chanzo cha maovu yte duniani

Sijawahi kuona CHRISTMAS tulivu kama ya leo.
Christimas ya leo nitulivu haina mbwembwe wala madoido.

Mitaa imejaa bodaboda wanaosubiri wateja.
Ma- guest yapo wazi, mabaa yanapiga mziki kuita watu lkn ukiingia unakuta peupe.

Leo makanisa yamejaa watu asubuhi hadi jioni.

Police nao leo nikula bata tu. Hakuna ngumi wala vurugu.

Pesa chanzo cha maovu.
Huku ni kimyaaa.
 
Nami nimekaa hapa nawazia ni kwamba watu hawana ela au ni mfumo wa maisha umebadika
 
Kama ni mtu unayetafakari matukio duniani, basi mwaka huu umeandamwa na balaa za kutosha. Magonjwa, vifo, wizi wa kisiasa pamoja na uminywaji wa haki, acha waumini wamrudie muumba wao!
Siku kuu yenye mantiki ni ya familia kukaa pamoja nyumbani kwao, kula, kunywa na kuomba!
 
Usituaumbue tuko bize kulipmbea taifa

Hii ni kauli yetu sisi tunaojikuta hatuna kitu.


Miaka mingine kama saizi nakuasielewi nilipo na huwa sijuagi xmass huwa ikoje. Lakini leo nimejikuta najikinga na korona kwa kukaa nyumbani na kuepuka misongamano
 
Maana nyingine ya Krismasi na "kukiri" & "kukili" "maasi"!!! Sasa mchakato huo hauendani kabisa na makeke uliyoyazoea. Watu wako serious kulijenga taifa la chini na juu.
 
Naona inategemea na eneo

huku kwetu pamefungwa muziki ni mwendo wa Singeli na Chibuku za kutosha
 
Ina maana guests, rest houses na hotels leo hazina wateja? Mkuu unaweza kushangaa leo vyumba vimejaa huko.

Makeke ya barabara na bar huko yasikupe mawazo, sometimes laying low is more enjoyable.
 
Tusikilizie kesho..ukiona hali ipo Kama ya leo..utapata jibu la uzi wako
 
Watu wameanz kuwa na akili

Jifyatue Akili kwa kukwangua akiba yote uone 'Cha Mtema kuni' hapo January
 
Back
Top Bottom