Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Nimeshangaa umewajibia Watanzania wote milioni 60 plus as if wamekutumaMimi ndio Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa umewajibia Watanzania wote milioni 60 plus as if wamekutumaMimi ndio Tanzania?
Nimeshangaa umewajibia Watanzania wote milioni 60 plus as if wamekutuma
www.forbes.com
"FAKE NEWS"!!!![]()
Ranked: 10 Happiest And 10 Saddest Countries In The World
In the latest World Happiness Report, Finland ranked at the top of the list, but it’s a sad state of affairs for America.www.forbes.com
Nimeamini pesa ndio chanzo cha maovu yte duniani
Sijawahi kuona CHRISTMAS tulivu kama ya leo.
Christimas ya leo nitulivu haina mbwembwe wala madoido.
Mitaa imejaa bodaboda wanaosubiri wateja.
Ma- guest yapo wazi, mabaa yanapiga mziki kuita watu lkn ukiingia unakuta peupe.
Leo makanisa yamejaa watu asubuhi hadi jioni.
Police nao leo nikula bata tu. Hakuna ngumi wala vurugu.
Pesa chanzo cha maovu.
Huku ni kimyaaa.
Nimeamini pesa ndio chanzo cha maovu yte duniani
Sijawahi kuona CHRISTMAS tulivu kama ya leo.
Christimas ya leo nitulivu haina mbwembwe wala madoido.
Mitaa imejaa bodaboda wanaosubiri wateja.
Ma- guest yapo wazi, mabaa yanapiga mziki kuita watu lkn ukiingia unakuta peupe.
Leo makanisa yamejaa watu asubuhi hadi jioni.
Police nao leo nikula bata tu. Hakuna ngumi wala vurugu.
Pesa chanzo cha maovu.
Huku ni kimyaaa.
Mi nimetoka kinyerez mpaka coco beach nateleza tu hamna foleni kabisa. Ilikua saa kumi na moja. Sikuamini yaani. Narudi saa mbili usiku, full kuteleza tena. No foleni. Ilinishangaza.Nimeamini pesa ndio chanzo cha maovu yte duniani
Sijawahi kuona CHRISTMAS tulivu kama ya leo.
Christimas ya leo nitulivu haina mbwembwe wala madoido.
Mitaa imejaa bodaboda wanaosubiri wateja.
Ma- guest yapo wazi, mabaa yanapiga mziki kuita watu lkn ukiingia unakuta peupe.
Leo makanisa yamejaa watu asubuhi hadi jioni.
Police nao leo nikula bata tu. Hakuna ngumi wala vurugu.
Pesa chanzo cha maovu.
Huku ni kimyaaa.
hahahahahaha
Kitu pesa mzeeNami nimekaa hapa nawazia ni kwamba watu hawana ela au ni mfumo wa maisha umebadika
Ulikuwa maeneo gani bwashee?Nimeamini pesa ndio chanzo cha maovu yte duniani
Sijawahi kuona CHRISTMAS tulivu kama ya leo.
Christimas ya leo nitulivu haina mbwembwe wala madoido.
Mitaa imejaa bodaboda wanaosubiri wateja.
Ma- guest yapo wazi, mabaa yanapiga mziki kuita watu lkn ukiingia unakuta peupe.
Leo makanisa yamejaa watu asubuhi hadi jioni.
Police nao leo nikula bata tu. Hakuna ngumi wala vurugu.
Pesa chanzo cha maovu.
Huku ni kimyaaa.
Tena ipo karibu sana hiyo 'January'.Watu wameanz kuwa na akili
Jifyatue Akili kwa kukwangua akiba yote uone 'Cha Mtema kuni' hapo January
😂😂😂usijitie moyo bhana ukiwa na pesa zitakufanya utese tu😂😂😂Maisha sio kutesa kila siku😌 , Japo pesa ndo kila kitu👩🦯