INAUZWA KTM 690 Enduro R

INAUZWA KTM 690 Enduro R

mauajc

Member
Joined
Mar 14, 2017
Posts
57
Reaction score
24
mileage 00 bei yake ni milioni 40,000,000 tsh
 

Attachments

  • OIOI-4.jpg
    OIOI-4.jpg
    46.7 KB · Views: 82
  • KTM6.jpg
    KTM6.jpg
    48.2 KB · Views: 81
  • KTM 8.jpg
    KTM 8.jpg
    46.7 KB · Views: 69
inauzwa wapi sasa mkuu,huko zilikopigwa picha ama hapa bongo?
 
Jamaa ana maana kwa hiyo 40m unaweza pata carina Ti.. 8 (nane) ukagawa kwa vijana wazunguke nazo mjini wakupe 200 k @ / week = 1.6m kila weekend

Btw Pikpik ni nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona unachanganya mada ndugu!ndio maana kuna mchina nanuza 1.2 inategemea na uwezo wako pia Pikipiki kama hii wananunua wapenzi wa pikipiki lazima ujue kuendesha pikipiki pili usiwe na kipato kidogo spare zake ni bei chain ikatika bei yake ni sawa na carina ti yako usije ukajichanganya
 
Back
Top Bottom