Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NIKAMPUNI KAMA HONDA AU KAWASAKIKtm ni honda au suzuki au kawasaki?,nauliza tu nijue
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
Asante kiongoziNIKAMPUNI KAMA HONDA AU KAWASAKI
KARIBUAsante kiongozi
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
inauzwa wapi sasa mkuu,huko zilikopigwa picha ama hapa bongo?[/QUOT Tumeasafirisha moja tu tunapatiakana Tabata puma.
milioni 40,000,000 TshMilioni 4 au milioni 40 mkuu?
zimo CARINA TI ngapi kweli?milioni 40,000,000 Tsh
sio carina ni pikipikizimo CARINA TI ngapi kweli?
Jamaa ana maana kwa hiyo 40m unaweza pata carina Ti.. 8 (nane) ukagawa kwa vijana wazunguke nazo mjini wakupe 200 k @ / week = 1.6m kila weekendsio carina ni pikipiki
mbona unachanganya mada ndugu!ndio maana kuna mchina nanuza 1.2 inategemea na uwezo wako pia Pikipiki kama hii wananunua wapenzi wa pikipiki lazima ujue kuendesha pikipiki pili usiwe na kipato kidogo spare zake ni bei chain ikatika bei yake ni sawa na carina ti yako usije ukajichanganyaJamaa ana maana kwa hiyo 40m unaweza pata carina Ti.. 8 (nane) ukagawa kwa vijana wazunguke nazo mjini wakupe 200 k @ / week = 1.6m kila weekend
Btw Pikpik ni nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app