igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 957
- 1,496
Hapana mkuu ... nilikuwa najaribu kufanya mahesabu ya 40m kwa uelewa wangu.mbona unachanganya mada ndugu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu ... nilikuwa najaribu kufanya mahesabu ya 40m kwa uelewa wangu.mbona unachanganya mada ndugu!
milio 40,000,000 Tsh unapata container mbili za pikipiki za kichina mpyaaa nisawa na KTM unit 1 upo mkuu,Hapana mkuu ... nilikuwa najaribu kufanya mahesabu ya 40m kwa uelewa wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu bei za kawaida sana kwenye pikipiki usishangae milioni 40,000,000 Tsh kuna pikipiki zinabei kubwa zaidi nazipo hapa bongo watu wanazitumia unakuta mtu kaipaki nyumbani kwake anatumia mala moja tu kwamwezi ushingae ndugu
kuna watu wamezoea Sanlg ukimwambia milion 40,000,000 pikipiki moja anakuona mwiziKuna pikipiki moja ya BMW niliiona nikaambiwa bei yake ni millions 75 nilichoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
sio ya kijeshi rada ya nini?
Kwa bei ya jumla unachukua carina TI tanozimo CARINA TI ngapi kweli?
kwaiyo?Kwa bei ya jumla unachukua carina TI tano
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
5zimo CARINA TI ngapi kweli?
KTM, ni KTM...Ktm ni honda au suzuki au kawasaki?,nauliza tu nijue
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
Unajuwa watu wengi hawaijuwi KTM kama huna pesa kaa kimya soma comment tu kwa mfano unautajiri wa bl moja ukanunue pikpik ya 1.8mlmkuu bei za kawaida sana kwenye pikipiki usishangae milioni 40,000,000 Tsh kuna pikipiki zinabei kubwa zaidi nazipo hapa bongo watu wanazitumia unakuta mtu kaipaki nyumbani kwake anatumia mala moja tu kwamwezi ushingae ndugu
umeitendea haki post yangu. wote tunasoma uzi lakini tunauelewa tofauti tofauti.Jamaa ana maana kwa hiyo 40m unaweza pata carina Ti.. 8 (nane) ukagawa kwa vijana wazunguke nazo mjini wakupe 200 k @ / week = 1.6m kila weekend
Btw Pikpik ni nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa msimu huu, ukitulia dar unakusanya zaidi ya 10 japo na vispana kadhaa lakini bora kuosha nyotaKwa bei ya jumla unachukua carina TI tano
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
used zipo tofauti ya bei sio kubwa sana.