KTN TV Vijimambo: Mwanamuziki wa Tanzania ajaribu kuzungumza kingereza

KTN TV Vijimambo: Mwanamuziki wa Tanzania ajaribu kuzungumza kingereza

Bora Tundu Lisu aliamua kuzungumza kwa Lugha yetu ya Kiswahili, vinginevyo asingeeleweka kwa kiingereza chake broken cha Singida!
Je Sizonje. Eti anatishia wapinzani "you can't me am another"

Na ile alicyokutana Na mseven " you know me and you photo copy together in many aspects".

Na ile alivyokuwa mbunge chato akawa anawatafsria wafadhili kutoka Canada wakiwaaga wanakijiji bye bye sinzonje akawa anawatafsria Nunua Nunua
 
Je Sizonje. Eti anatishia wapinzani "you can't me am another"

Na ile alicyokutana Na mseven " you know me and you photo copy together in many aspects".

Na ile alivyokuwa mbunge chato akawa anawatafsria wafadhili kutoka Canada wakiwaaga wanakijiji bye bye sinzonje akawa anawatafsria Nunua Nunua
Du!
 
Lugha ya slave master imechezewa, watumwa lazima waje juu na kulipigia kelele, lakini lugha yao ya Taifa ikivurugwa wala hawashughuliki, stupid.
Sasa kiherehere chake alikipeleka kwenye lugha ya ma'slave master' kwanini? Mitanzania bana.
 
Bora Tundu Lisu aliamua kuzungumza kwa Lugha yetu ya Kiswahili, vinginevyo asingeeleweka kwa kiingereza chake broken cha Singida!
kumbe wewe kichaa, tangu leo sikutaki. Unabeza kiingereza kumbe wewe akili yako instokea njia ya haja kubwa, eh! Ngoja niishie hapa. Nadhani umdnipat! INambeza!
 
Je Sizonje. Eti anatishia wapinzani "you can't me am another"

Na ile alicyokutana Na mseven " you know me and you photo copy together in many aspects".

Na ile alivyokuwa mbunge chato akawa anawatafsria wafadhili kutoka Canada wakiwaaga wanakijiji bye bye sinzonje akawa anawatafsria Nunua Nunua
Hahahaha
 
Je Sizonje. Eti anatishia wapinzani "you can't me am another"

Na ile alicyokutana Na mseven " you know me and you photo copy together in many aspects".

Na ile alivyokuwa mbunge chato akawa anawatafsria wafadhili kutoka Canada wakiwaaga wanakijiji bye bye sinzonje akawa anawatafsria Nunua Nunua
Hahahaaa, imenibidi nicheke tu kuongeza life span.
 
Kwa lugha hiyo ya msanii wetu!!!!!!

Sina la kuongeza, nabaki nawacheck dirishani
 
Hahaha kumbe ni shilole, huyo ndio zake huwa anaongea hivyo makusudi angalieni hata page yake ni broken English tupu kwenye she anaweka he hahaha
 
Huyu bidada kweli alikuwa hajui sana na alikuwa anaboronga, lakini haonagi aibu kukichapia, ila now days anaenda sana abroad, nahisi huwa anafanya makusudi, unaweza cheki hata YouTube
 
Back
Top Bottom