tuwekee taarifa yenyewe tujioneeKama kichwa kinavyojielezea imebidi nije mbio mbio vipo huyu jamaa kapteni wa mapambano wa NaSA kukiri live kuwa kina tallying in arusha hii imekaaje kidiplomasia na waziri wetu alikanusha kabisa TZ kuhusika
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ni 2005 sio 2015....Africa kama hajushinda wewe basi umeibiwa...sijui kwa nini usikumbali matokeo aafu urundi ujipange upya....Bohari wa Nigeria alishidwa mara 2 au zaidi lakini mwishowe alikuja shinda na kuingia IkuluJK alishinda kwa zaidi ya 80% 2015 bado Mbowe aligoma kukubali matokeo, hii ni kasumba ya viongozi wengi wa upinzani Africa, hawana ustaarabu wala ujasiri wa kukubali kushindwa. Nitajie uchaguzi wowote wa Tz, Kenya au Uganda ambapo chama kinachofuatia( cha pili) kwa ushindi wamekubali kushindwa hata mara moja.
Kwahyo suluhisho ni lipi kwa wapinzani wanaoamini tume haziko huru mfano besigye na tsvangirai wafanyeje???Maalim Seif anafanya Siasa za kizamani kabisa. Haangalii alama za nyakati na wala haendi na wakati.
Ukitaka kususa unafanya hivyo tangu mwanzo. Sio unaingia mchezoni halafu unakuja kususa katikati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani madai gani yamekuwa ya uongo??? Ndo nakupa taarifa sasa kivuitu na isaack hassa waliwahi kuwa wenyeviti wa tume ya uchaguzi wa kenya na wote wamekiri kwenye interview ya KTN news kwa mida tofauti kuwa odinga aliporwa ushindi 2013 na 2007 sasa mkuu unamaanisha unajua kuliko wenyeviti wa tume??? Kma hujui kitu ni heri unyamaze tu na ili uamini Ruto atagombea urais 2022 dhidi ya mkikuyu na still ataangushwa naye atalialia hivi hivi kuwa kaibiwa kura wait and seemkuu ni 2005 sio 2015....Africa kama hajushinda wewe basi umeibiwa...sijui kwa nini usikumbali matokeo aafu urundi ujipange upya....Bohari wa Nigeria alishidwa mara 2 au zaidi lakini mwishowe alikuja shinda na kuingia Ikulu
Mkuu acha upotoshaji hayo ya serikali ya umoja wa kitaifa ilipigwa kura ya maoni na wananchi walio wengi wakaafiki ccm na cuf ziunde serikali moja sasa maalim kaamua kipi hapo???Mwaka 2010 CUF hawakukubali matokeo, bali Maalim Seif aliridhia baada ya kuahidiwa cheo cha Umakamu wa Rais. So haikua CUF ila Maalim.
Wanasiasa wetu wa upinzani wanajiwakilisha wenyewe wala sio wananchi. Pale ambapo wao wameridhika maslahi yao yatapatikana kila kitu kiko sawa, kama hawayaoni weeeeee, no way.
Bado nakumbuka M/kiti wetu alivyobadilishia gia angani. Kuna jamaa tulishiriki kumtukana matusi ya kila aina kwa miaka minane mfululizo, mara alipokaa na kuelewana na viongozi wetu, tukaambiwa ndo mwokozi wetu. Sitaki kabisa Siasa aisee!
Sent using Jamii Forums mobile app
JK alishinda kwa zaidi ya 80% 2015 bado Mbowe aligoma kukubali matokeo, hii ni kasumba ya viongozi wengi wa upinzani Africa, hawana ustaarabu wala ujasiri wa kukubali kushindwa. Nitajie uchaguzi wowote wa Tz, Kenya au Uganda ambapo chama kinachofuatia( cha pili) kwa ushindi wamekubali kushindwa hata mara moja.
JK alishinda kwa zaidi ya 80% 2005, bado Mbowe na Lipumba, 2010 CUF walikubali kwa kuwa walikuwa wanaingia ndani ya serikali ya mseto vingenevyo wangesema uchaguzi mbovu, viongozi wa Africa mashariki hawana ustaarabu wa kukubali kushindwa.CUF 2010 walikubali matokeo zanzibar
Na ikitokea wamekataa matokeo huwa kuna kasoro mkuu na wwe nikuulize hivi ni uchaguzi gani ambao umekuwa huru na haki hapa afrika mashariki just be open ukiachana na huu wa kenya angalau umeridhisha je wa rwanda??? Uganda?? Tanzania , zenji kwa jecha??? Burundi je kwa dikteta?? Nipe uchaguzi mmoja tu ambao ulikuwa huru na haki hapa afrika mashariki ndio nijibu swaki
Hujaelewa swali, chama kinachofuata baada ya chama kinacho ongoza ina maana yake hapo.Dovutwa alikubali.
Mkuu mpinzani hawezi kubali matokeo kma kuna madhaifu na kasoro nyingi sasa lipumba angekubalije matokeo wakati maalim aliibiwa wazi wazi 2005 si wangeonekana wasaliti???JK alishinda kwa zaidi ya 80% 2005, bado Mbowe na Lipumba, 2010 CUF walikubali kwa kuwa walikuwa wanaingia ndani ya serikali ya mseto vingenevyo wangesema uchaguzi mbovu, viongozi wa Africa mashariki hawana ustaarabu wa kukubali kushindwa.
Kwa nini Mbowe na Lipumba walishindwa kukubali pia matokeo 2005, ni kasoro gani hizo wakati Mbowe alikuwa na 5% tu, ni kukosa ustaarabu na uungwana tu, hata kwa Kagame ambapo ameshinda kwa 98% bado watakuambia wapinzani wake watakuambia ameiba tu.Mkuu mpinzani hawezi kubali matokeo kma kuna madhaifu na kasoro nyingi sasa lipumba angekubalije matokeo wakati maalim aliibiwa wazi wazi 2005 si wangeonekana wasaliti???
Ndio nakuuliza hapa nipe uchaguzi mmoja tu ambao unaona ulikuwa huru na haki just be true to yourself
Walikataa sio sababu kikwete hakushinda kihalali ila figisu kwenye baadhi ya vituo mfano mawakala kutolewa nje.... wagombea kuswekwa ndani, wanaccm kuruhusiwa vituoni ilihali wapinzani walizuiwa n.k hivyo ila kukataa uchaguzi sio necessarily kunamaanisha uliibiwa kuraKwa nini Mbowe na Lipumba walishindwa kukubali pia matokeo 2005, ni kasoro gani hizo wakati Mbowe alikuwa na 5% tu, ni kukosa ustaarabu na uungwana tu, hata kwa Kagame ambapo ameshinda kwa 98% bado watakuambia wapinzani wake watakuambia ameiba tu.
BTW, unajua chaguzi zote za Tz ( sio Zenji) zimekuwa zinawekwa kwenye kundi la chaguzi huru na haki na tume zote za kimataifa, kwa hiyo huu mchecheto wa Kenya uondoe.
Kivuitu aliadai kwamba hajui nani alishinda...ukweli 2007 Raila alishinda hilo linafahamika..usishangae na huyu wa sasa akipigwa chini akasema na mwaka Rao alishinda..its thier words aganist 15m Kenyans who voted...Africa wapinzani kwa kweli mazingira hua ni magumu sana kuingia Ikulu uchaguzi huru na haki...katika mazingira ambayo hata baada ya Raila kukaa na ma interntational observers na bado wakasema uchaguzi upo credible ndio ujue Raila kashindwa kihalali...jana Nasa wamemshambulia mpaka John Kelly eti hana sifa za kua muangalizi na kadhalika....ukiona manyoya ujue ime.....Mkuu kwani madai gani yamekuwa ya uongo??? Ndo nakupa taarifa sasa kivuitu na isaack hassa waliwahi kuwa wenyeviti wa tume ya uchaguzi wa kenya na wote wamekiri kwenye interview ya KTN news kwa mida tofauti kuwa odinga aliporwa ushindi 2013 na 2007 sasa mkuu unamaanisha unajua kuliko wenyeviti wa tume??? Kma hujui kitu ni heri unyamaze tu na ili uamini Ruto atagombea urais 2022 dhidi ya mkikuyu na still ataangushwa naye atalialia hivi hivi kuwa kaibiwa kura wait and see
Namsupport raila ingawa binafsi nina imani na IEBC na nmekubali matokeo kuwa tumeanguka simply becoz kenyatta ni incumbent so kazi zake zimeonekana thats all ila hoja yangu ni kwamba Rail hajafa kisiasa au sijui kupigwa knockout kma wachangiaji wengi kwenye huu uzi wanavyosema sababu kapata 7 milion votes!! Pia seneti na ugavana wamegawana na jubilee pasu kwa pasu ila nmekuelewa sana hoja yako mkuu na naafikiKivuitu aliadai kwamba hajui nani alishinda...ukweli 2007 Raila alishinda hilo linafahamika..usishangae na huyu wa sasa akipigwa chini akasema na mwaka Rao alishinda..its thier words aganist 15m Kenyans who voted...Africa wapinzani kwa kweli mazingira hua ni magumu sana kuingia Ikulu uchaguzi huru na haki...katika mazingira ambayo hata baada ya Raila kukaa na ma interntational observers na bado wakasema uchaguzi upo credible ndio ujue Raila kashindwa kihalali...jana Nasa wamemshambulia mpaka John Kelly eti hana sifa za kua muangalizi na kadhalika....ukiona manyoya ujue ime.....
Unaweza kuona kwamba CUF na Chadema hawana haja ya kumuita Lipumba msaliti. Wote ni wale wale ila wanatumia approach tofauti.Mwaka 2010 CUF hawakukubali matokeo, bali Maalim Seif aliridhia baada ya kuahidiwa cheo cha Umakamu wa Rais. So haikua CUF ila Maalim.
Wanasiasa wetu wa upinzani wanajiwakilisha wenyewe wala sio wananchi. Pale ambapo wao wameridhika maslahi yao yatapatikana kila kitu kiko sawa, kama hawayaoni weeeeee, no way.
Bado nakumbuka M/kiti wetu alivyobadilishia gia angani. Kuna jamaa tulishiriki kumtukana matusi ya kila aina kwa miaka minane mfululizo, mara alipokaa na kuelewana na viongozi wetu, tukaambiwa ndo mwokozi wetu. Sitaki kabisa Siasa aisee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana mimi huwa namuombea Dovutwa awe anashika namba mbili kwenye uchaguzi....coz that man is very humble.Hujaelewa swali, chama kinachofuata baada ya chama kinacho ongoza ina maana yake hapo.
binafsi Mkuu sitaki kua mnafiki Kenyatta na Ruto wamefanya rushwa ishamili sana Kenya, na hii inafanya maisha yao kua ya shinda kweli kweli hilo pekee lilotosha kuwapeleka nyumbani endapo ...sasa Raila kosa la kwanza alilofanya ni mapema ni yeye na ma principal wenzie kutangaza jinsi watakvyogawana madaraka baada ya kuingia Ikulu...kosa hapo ni kwamba goverment expenditure ingepanda juu maradufu...ufahamu mpaka sasa Kenya ni moja ya nchi yenye mishahara mikubwa sana kwa wabunge,diwani,gavan,senata,Raisi...sasa mpaka hapo kaka hawa Nasa ubinafsi wao ulionekana mapema sana...pia social media department yao ilikua so poor kuuza sera zao compared to Jubilee...lingine na yule tenderprenuer nguli kusemekana ndio financier wao kwa ahadi atapewa bandari Mombasa n kiwanda cha bostola Eldoret...pia vyama wahusika Nasa kutokumbaliana majimboni kua na mgombea mmoja,hii ilikipa Jubilee kupenya kwenye mgoma zao kama Magharibi, Pwani n.k....wewe ni shaidi mzee Lowasa alikua anajaza umati 2015 kwenye kampeni zake ila sasa kuna tofauti iliyopo sio wote wanaofurika kwenye kampeni ni wapigakura...wakenya walijiadikisha milioni 19 na waliopiga kura ni 15 hivi..sasa usishangae hawa 4m ndio walikua wanajaza mikutano ya Raila...Namsupport raila ingawa binafsi nina imani na IEBC na nmekubali matokeo kuwa tumeanguka simply becoz kenyatta ni incumbent so kazi zake zimeonekana thats all ila hoja yangu ni kwamba Rail hajafa kisiasa au sijui kupigwa knockout kma wachangiaji wengi kwenye huu uzi wanavyosema sababu kapata 7 milion votes!! Pia seneti na ugavana wamegawana na jubilee pasu kwa pasu ila nmekuelewa sana hoja yako mkuu na naafiki
Ni hayo tu
[emoji3][emoji3][emoji3]wabongoooWakenya waliopo Tanzania nao wamepiga kura kama walivyopiga nchi zingine...cha ajabu ni kipi hapo.