Ku collapse Clouds FM, Ni effect ya Ruge au tamaa ya Kusaga?

Ku collapse Clouds FM, Ni effect ya Ruge au tamaa ya Kusaga?

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Kwa miezi kadhaa sasa kama unafuatilia posts za Clouds FM utagundua kwamba watu wengi wanalalamika kupotea kwa redio hiyo kwenye mikoa yao kwa muda mrefu.

Miongoni mwa mikoa ambako Clouds imepotea ni Morogoro, Shinyanga, Kagera, Kilimanjaro nk. Zaidi ya miezi 6 redio hiyo haisikiki humo.

Kwa kuzingatia umaarufu na umahiri wa redio hiyo, watu wanajiuliza matatizo yanayoshuhudiwa sasa ni kutokana na kukosekana kwa Ruge au kwa sababu ya tamaa ya Joseph Kusaga kwenda kuanzisha Wasafi media kiasi cha kushindwa kuzihudumia zote mbili?!!!!
 
Biashara ya redio na TV zinaenda kufa muda si mrefu.

Ndani ya miaka 10 - 15 ijayo, sidhani kama Biashara ya redio na TV itakua biashara tena.

Yaani mtu niache kusoma habari twitter au jf nikitumia smart phone, nije kukusikiliza wewe unisimulie saa mbili usiku, how come?

Sosha network inakupa habari latest tena yenye ukweli kwa asilimia kubwa nije nisubiri taarifa ya habari tena huenda habari yenyewe imechuuujwa uongo kama wote.( haaiiiiiiiiii TV imetumika sana kushikilia/manipulate akili za watanzania, ndugu mtanzania usijione muoga linapokuja suala la kudeal na serekali yako ukadhani ulizaliwa hivyo nooo, TV na redio Station zilitumika sana kukupumbaza plus shule, ndio maana ndugu tangazaji za pale zilikua zinakula teuzi kila leo serekalini)

Nikitaka kusikiliza ngoma ya wiz khalifa sina haya ya kupiga simu redioni/tv kuomba kuchezewa ngoma hiyo, ni single click youtube naisikiliza chap, sina haja ya kumuomba dj.

Hivi hamstuki siku hizi mpaka serikali haitumii sana ma redio ni mwendo wa chawa tu.

Mwisho kabisa jiulize kwa nini TV & radio stations zoote zina akaunti sosha network and not vice versa
 
Kwa miezi kadhaa sasa kama unafuatilia posts za Clouds FM utagundua kwamba watu wengi wanalalamika kupotea kwa redio hiyo kwenye mikoa yao kwa muda mrefu.

Miongoni mwa mikoa ambako Clouds imepotea ni Morogoro, Shinyanga, Kagera, Kilimanjaro nk. Zaidi ya miezi 6 redio hiyo haisikiki humo.

Kwa kuzingatia umaarufu na umahiri wa redio hiyo, watu wanajiuliza matatizo yanayoshuhudiwa sasa ni kutokana na kukosekana kwa Ruge au kwa sababu ya tamaa ya Joseph Kusaga kwenda kuanzisha Wasafi media kiasi cha kushindwa kuzihudumia zote mbili?!!!!
Soon itakuwa RTD ya SW 1, SW 2, na MW au LW
 
Biashara ya redio na TV zinaenda kufa muda si mrefu.

Ndani ya miaka 10 - 15 ijayo, sidhani kama Biashara ya redio na TV itakua biashara tena.

Yaani mtu niache kusoma habari twitter au jf nikitumia smart phone, nije kukusikiliza wewe unisimulie saa mbili usiku, how come?

Sosha network inakupa habari latest tena yenye ukweli kwa asilimia kubwa nije nisubiri taarifa ya habari tena huenda habari yenyewe imechuuujwa uongo kama wote.( haaiiiiiiiiii TV imetumika sana kushikilia/manipulate akili za watanzania, ndugu mtanzania usijione muoga linapokuja suala la kudeal na serekali yako ukadhani ulizaliwa hivyo nooo, TV na redio Station zilitumika sana kukupumbaza plus shule, ndio maana ndugu tangazaji za pale zilikua zinakula teuzi kila leo serekalini)

Nikitaka kusikiliza ngoma ya wiz khalifa sina haya ya kupiga simu redioni/tv kuomba kuchezewa ngoma hiyo, ni single click youtube naisikiliza chap, sina haja ya kumuomba dj.

Hivi hamstuki siku hizi mpaka serikali haitumii sana ma redio ni mwendo wa chawa tu.

Mwisho kabisa jiulize kwa nini TV & radio stations zoote zina akaunti sosha network and not vice versa
Huko kwa walioanzisha hizo social network radio mpya zinaanzishwa karibu kila siku.

Sio rahisi kama unavyodhani.
 
Biashara ya redio na TV zinaenda kufa muda si mrefu.

Ndani ya miaka 10 - 15 ijayo, sidhani kama Biashara ya redio na TV itakua biashara tena.

Yaani mtu niache kusoma habari twitter au jf nikitumia smart phone, nije kukusikiliza wewe unisimulie saa mbili usiku, how come?

Sosha network inakupa habari latest tena yenye ukweli kwa asilimia kubwa nije nisubiri taarifa ya habari tena huenda habari yenyewe imechuuujwa uongo kama wote.( haaiiiiiiiiii TV imetumika sana kushikilia/manipulate akili za watanzania, ndugu mtanzania usijione muoga linapokuja suala la kudeal na serekali yako ukadhani ulizaliwa hivyo nooo, TV na redio Station zilitumika sana kukupumbaza plus shule, ndio maana ndugu tangazaji za pale zilikua zinakula teuzi kila leo serekalini)

Nikitaka kusikiliza ngoma ya wiz khalifa sina haya ya kupiga simu redioni/tv kuomba kuchezewa ngoma hiyo, ni single click youtube naisikiliza chap, sina haja ya kumuomba dj.

Hivi hamstuki siku hizi mpaka serikali haitumii sana ma redio ni mwendo wa chawa tu.

Mwisho kabisa jiulize kwa nini TV & radio stations zoote zina akaunti sosha network and not vice versa
Si kweli kwani kote huko pia utawakuta... Clouds Digital
 
Kwa miezi kadhaa sasa kama unafuatilia posts za Clouds FM utagundua kwamba watu wengi wanalalamika kupotea kwa redio hiyo kwenye mikoa yao kwa muda mrefu.

Miongoni mwa mikoa ambako Clouds imepotea ni Morogoro, Shinyanga, Kagera, Kilimanjaro nk. Zaidi ya miezi 6 redio hiyo haisikiki humo.

Kwa kuzingatia umaarufu na umahiri wa redio hiyo, watu wanajiuliza matatizo yanayoshuhudiwa sasa ni kutokana na kukosekana kwa Ruge au kwa sababu ya tamaa ya Joseph Kusaga kwenda kuanzisha Wasafi media kiasi cha kushindwa kuzihudumia zote mbili?!!!!
Bila kusaau na rukwa kaka imekata nayoo
 
Hakuna kitu kama icho yan ww kutokusikilza redio haimansh wengne hawaskilz na ukizngatia kwa umr ulionao harakat unazofanya unakua karbu zaid na simu kulko redio lkn bado hio akup majibu kua mfumo wa redio unaenda kufa kwenye kila taasis iz za redio na Tv ua znapata sgnal za number of views na wanaoskilza ndan ya nnch na nje kwa kila sku ndio mana kuna redio unaweza ujaiskilza zaid ya miaka 5lkn ipo na inarum mfano sibuka fm je unadhan wanapata wap fund ya kurun kituo?? Mifumo ya redio na Tv haita pitwa na wakat hata ipte miaka 100 dunian izo ndio ztabak kua major sourch of infmation dunian lasvyo ungekuta bbc washafunga matangazo yao yan waajir mtu kutoka tanzania il akusomee habar tu kwa nusu saa na wamlpe ma milion ya pesa il uskilze kwa kiswahil kutoka born ujeruman..
 
Kwa miezi kadhaa sasa kama unafuatilia posts za Clouds FM utagundua kwamba watu wengi wanalalamika kupotea kwa redio hiyo kwenye mikoa yao kwa muda mrefu.

Miongoni mwa mikoa ambako Clouds imepotea ni Morogoro, Shinyanga, Kagera, Kilimanjaro nk. Zaidi ya miezi 6 redio hiyo haisikiki humo.

Kwa kuzingatia umaarufu na umahiri wa redio hiyo, watu wanajiuliza matatizo yanayoshuhudiwa sasa ni kutokana na kukosekana kwa Ruge au kwa sababu ya tamaa ya Joseph Kusaga kwenda kuanzisha Wasafi media kiasi cha kushindwa kuzihudumia zote mbili?!!!!
Redio nyingi hazipatikani hewani.Wote wamefulia.Hakuna wa kumcheka chizi mwenzie.
 
Biashara ya redio na TV zinaenda kufa muda si mrefu.

Ndani ya miaka 10 - 15 ijayo, sidhani kama Biashara ya redio na TV itakua biashara tena.

Yaani mtu niache kusoma habari twitter au jf nikitumia smart phone, nije kukusikiliza wewe unisimulie saa mbili usiku, how come?

Sosha network inakupa habari latest tena yenye ukweli kwa asilimia kubwa nije nisubiri taarifa ya habari tena huenda habari yenyewe imechuuujwa uongo kama wote.( haaiiiiiiiiii TV imetumika sana kushikilia/manipulate akili za watanzania, ndugu mtanzania usijione muoga linapokuja suala la kudeal na serekali yako ukadhani ulizaliwa hivyo nooo, TV na redio Station zilitumika sana kukupumbaza plus shule, ndio maana ndugu tangazaji za pale zilikua zinakula teuzi kila leo serekalini)

Nikitaka kusikiliza ngoma ya wiz khalifa sina haya ya kupiga simu redioni/tv kuomba kuchezewa ngoma hiyo, ni single click youtube naisikiliza chap, sina haja ya kumuomba dj.

Hivi hamstuki siku hizi mpaka serikali haitumii sana ma redio ni mwendo wa chawa tu.

Mwisho kabisa jiulize kwa nini TV & radio stations zoote zina akaunti sosha network and not vice versa
Hii biashara ni siku nyingi tu niliishutukia lakin nilishangaa kuna miaka hapo nyuma kama 2009 mpaka 2015 watu walikurupukia sana sjui walikuwa hawaoni kama inaelekea mwisho
 
Back
Top Bottom