uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Creativity imefika mwisho wasikilizaji wamepungua ni kama duka tu Sasa wameanza kusema "hakuna"
Sasa kipindi kinachohitaji tafakuri kinaendeshwa na Kija,Sam Sasali na yule jamaa Kila mda kachoka PJ kweli
Haya ukija huku kwenye taarifa ndio Kuna Mahija Zayumba eti na "nondo za Haris"
Asia Matona wanamrekodi kwa iphone ndio wamrushe
Sasa kipindi kinachohitaji tafakuri kinaendeshwa na Kija,Sam Sasali na yule jamaa Kila mda kachoka PJ kweli
Haya ukija huku kwenye taarifa ndio Kuna Mahija Zayumba eti na "nondo za Haris"
Asia Matona wanamrekodi kwa iphone ndio wamrushe