Vice J
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 530
- 766
E fm arusha na kilimanjaro miezi zaidi ya mitano haiskikiMbona Wassfi na E fm bado zinatamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
E fm arusha na kilimanjaro miezi zaidi ya mitano haiskikiMbona Wassfi na E fm bado zinatamba
Kitambo sanaHaa Short Waves 1,2 Na Medium Waves , Low Waves
Kitambo Sana Kwasasa Radio Nyingi Ni Frequency Moderation
Yaani biashara ya redio ife Tz kwa sababu ya social networks, ninyi watu mko nje ya nchi au ndani humuhumu, na kama ni ndani nyie mnaishi wapi huko??Hii biashara ni siku nyingi tu niliishutukia lakin nilishangaa kuna miaka hapo nyuma kama 2009 mpaka 2015 watu walikurupukia sana sjui walikuwa hawaoni kama inaelekea mwisho
vijana wengi sahv naona muda wote wanasikiliza nyimbo za kwenye card,ni ngumu kukuta kijana mwenye miaka 25 kushuka chini katune anasikiliza redioYaani biashara ya redio ife Tz kwa sababu ya social networks, ninyi watu mko nje ya nchi au ndani humuhumu, na kama ni ndani nyie mnaishi wapi huko??
Mpaka kesho tv na radio stations ndio major source of inf kikwetu kwetu hapa. Watu wengi bado hawana smartphone na hata walionazo bado wengi hawajui wapate vipi habari ziwahusuzo.
Huoni wanagombaniana watangazaji huko kila leo, huyo kenda kule na yule kaenda huku, ujue bado tunawahitaji.
Kuondoka Kwa Ruge ni Pigo kubwa Kwa clouds fmKwa miezi kadhaa sasa kama unafuatilia posts za Clouds FM utagundua kwamba watu wengi wanalalamika kupotea kwa redio hiyo kwenye mikoa yao kwa muda mrefu.
Miongoni mwa mikoa ambako Clouds imepotea ni Morogoro, Shinyanga, Kagera, Kilimanjaro nk. Zaidi ya miezi 6 redio hiyo haisikiki humo.
Kwa kuzingatia umaarufu na umahiri wa redio hiyo, watu wanajiuliza matatizo yanayoshuhudiwa sasa ni kutokana na kukosekana kwa Ruge au kwa sababu ya tamaa ya Joseph Kusaga kwenda kuanzisha Wasafi media kiasi cha kushindwa kuzihudumia zote mbili?!!!!
HahahaPanua wigo uwe mpana. Kifo Cha nani hakikukuuma.
Sipendi mawazo uzembe.. Saahwah?🤣🤣
😂Nilitaka kusema kitu ila nilivyoona skeleton anakata vibuno nimeahirishaMazishi wapi
Ushahidi???Partnership kwa Afrika bado sana, ni kujidanganya tu. Kusaga alianza kuonesha ubinafsi hata kabla ya kifo cha Ruge.
Ndo vitu gani hivyoSoon itakuwa RTD ya SW 1, SW 2, na MW au LW
Makada mahiri wa ccm.Vifo vya Ruge, Ephraim Kibonde na Gardner G Habash viliniuma sana.
Kuna wwataalam watakuja kukujibuNdo vitu gani hivyo
Ni wengi ndgu, nenda masokoni huko na magetoni mwao. Na wengi husikiliza habari za michezo redioni na sio mitandaoni.vijana wengi sahv naona muda wote wanasikiliza nyimbo za kwenye card,ni ngumu kukuta kijana mwenye miaka 25 kushuka chini katune anasikiliza redio
Hizo redio zinalipiwa kwa kila mkoa?Redio nyingi hazipatikani hewani.Wote wamefulia.Hakuna wa kumcheka chizi mwenzie.